Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kwani wanakamati wanasemaje?Mimi mwekahazina wa kamati
Nahisi halina pingamiziMimi nakuwa mgeni rasmi
Kwani wanakamati wanasemaje?
Ile si ilileta utata kuwa aliyesajili ni tofaut na mmiliki wa line kisa majina hayaendani ...sio kupigwa huko kweli?Wanasema pesa watatuma kwnye ile account number tulioichagua kikao cha kwanza.
Mkuu mgeni rasmi wewe si ndo unatakiwa uwe wa mfano ...pledge kubwaaaaBila kusahau watoa ahadi wote wakumbushwe waje na michango yao mapema kabla hatujawataja kikaoni
Mwekahazina mbona anasema ulitoa ahadi ...au ndo tunapigwa na mwekahazinaMkuu Mimi nimetoa keshi hapa sijaweka ahadi yoyote ile yaan kraap on point
Bila kusahau watoa ahadi wote wakumbushwe waje na michango yao mapema kabla hatujawataja kikaoni
Mwekahazina mbona anasema ulitoa ahadi ...au ndo tunapigwa na mwekahazina
Ile si ilileta utata kuwa aliyesajili ni tofaut na mmiliki wa line kisa majina hayaendani ...sio kupigwa huko kweli?
Sasa hapo ndo unatuchanganya wanakamati ...bhasi mengine uwe unasema kabla ya kikao cha kamati kuanza ili tusiumbuanee[emoji38][emoji38][emoji38]mbona unataka kunivua nguo mwenyekiti
Hukumbuki nilitoa ahadi kwnye kikao cha pili
Huu muhtasari niliusikia make nilichelewa nikajua maneno ya ya wajumbe make walikuwa wanakupinga na kukusupport wengi wakaniacha dilemmaHapana katibu niliona kuna shida kwnye ile laini nikatoa namba ya account ya CRDB labla haukua kwnye kile kikao.
Sasa wewe unaonaje au tuvunje kamatiAtakuwa hajarekebisha database ila nimelipa sasa hiv hapa tena kwa mfumo Wa MasterCard mkuu
Kuna na kukosa maji navoonaMwekahazina watangazie mapema wakizembea kutoa michango kwenye kikao watajikuta wanakunywa maji ya TANZA tu
Sasa hapo ndo unatuchanganya wanakamati ...bhasi mengine uwe unasema kabla ya kikao cha kamati kuanza ili tusiumbuanee
Muhimu ile percentage usinisahau kwenye ufalme