Tusiotaka kufunga mwaka tukiwa 'single'

Tusiotaka kufunga mwaka tukiwa 'single'

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Tunakimbilia 'December' funga mwaka, kama malengo yako ya kuoa / kuolewa yamefanikiwa, tunakupatia pongezi; kama bado kufanikisha, tunakupa pole pia tunakushauri ujikague na ujirekebishe na usonge mbele. Kupitia uzi huu, jaribu kunadi sera zako ili wale wasiotaka kufunga mwaka wakiwa makapera, waweze kupata watu wa kuwaweka bize katika haya maisha.
 
Sema kama mwaka umeuanza au humu kati kumetokea ya kutokea bora umalize alafu subiria mpka mwakani kama mwez wa tatu ...kuna
1.kodi changanya na vurugu mechi nyingne
2.ada kwa masingle mazaz🤣🤣🤣
3.marejesho ya vicoba tena hili liwe namba moja
4.mengineyo

Utanishukuru baadae
 
Wanasema pesa watatuma kwnye ile account number tulioichagua kikao cha kwanza.
Ile si ilileta utata kuwa aliyesajili ni tofaut na mmiliki wa line kisa majina hayaendani ...sio kupigwa huko kweli?
 
Ile si ilileta utata kuwa aliyesajili ni tofaut na mmiliki wa line kisa majina hayaendani ...sio kupigwa huko kweli?

Hapana katibu niliona kuna shida kwnye ile laini nikatoa namba ya account ya CRDB labla haukua kwnye kile kikao.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]mbona unataka kunivua nguo mwenyekiti
Hukumbuki nilitoa ahadi kwnye kikao cha pili
Sasa hapo ndo unatuchanganya wanakamati ...bhasi mengine uwe unasema kabla ya kikao cha kamati kuanza ili tusiumbuanee
Muhimu ile percentage usinisahau kwenye ufalme
 
Hapana katibu niliona kuna shida kwnye ile laini nikatoa namba ya account ya CRDB labla haukua kwnye kile kikao.
Huu muhtasari niliusikia make nilichelewa nikajua maneno ya ya wajumbe make walikuwa wanakupinga na kukusupport wengi wakaniacha dilemma
 
Sasa hapo ndo unatuchanganya wanakamati ...bhasi mengine uwe unasema kabla ya kikao cha kamati kuanza ili tusiumbuanee
Muhimu ile percentage usinisahau kwenye ufalme

Usijali nitakufikiria kwnye huo ufalme mana umeonesha kama huniamin hivi
Ila nitajitahidi nsikusahau katibu
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom