DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Hata aliewaletea uhuru alitoka huko, akajua kuwalindia rasilimali ambazo Leo mnagawa bure kwa wajomba na vibaraka wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa chukua hao wa ma PHD kumi wakalishe na msukuma peke yake kama hawajatoka jasho ogopa mtu anae tumia akili yake timamu na yule alie kalili ma upuuzi kibao l.Ndio hayo maupuuzi mmejaza kichwani kwamba msomi ndo ana akili.Kanda ya Ziwa ni Washamba, hawana impact yoyote, wabunge wao wote la saba
Kweli mimi natoka simiyu lakini ushamba ni mwingi sana huku.Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautahepukika.
eneo likiwa na watu mambumbumbu unategemea nini.Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautahepukika.
Kuzaana, dah yani sijui wameambiwa ndio mtaji?Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautahepukika.
Ngosha so far nakubaliana na wewe, Wabunge wa kanda ya ziwa akina Mpina,Simbachawene Msukuma na wengine ndio wazungumzaji , mkoa kama kilimanjaro mtu unaweza kusema walipeleka magogo.Tuache unazi ww akisimama msukuma anaongelea mwanza tu ama ..Mpina nae akisimama anaongelea mwanza tu na kingine labda hujui Hii nchi itakuja kunyooshwa na mtu wa kanda ya ziwa mfano tulianza na JPM sasa kuna vijana tu km Makonda wanataka watu wasionewe.Nyie kaeni kuharibu nchi kabla ya kua wazalendo.Sasa hivi wabunge wanao ongea hoja za msingi ni walio toka bara ukija nnje unakutana na Makonda anasikiliza matatizo ya watu mikutanoni huko na ukiwatoa hao kuna kina nani tena wenye hoja za kizalendo
Ulianza vizuri kisha ukamtaja Makonda!! Jitahidi kuwa serious mkuu.Tuache unazi ww akisimama msukuma anaongelea mwanza tu ama ..Mpina nae akisimama anaongelea mwanza tu na kingine labda hujui Hii nchi itakuja kunyooshwa na mtu wa kanda ya ziwa mfano tulianza na JPM sasa kuna vijana tu km Makonda wanataka watu wasionewe.Nyie kaeni kuharibu nchi kabla ya kua wazalendo.Sasa hivi wabunge wanao ongea hoja za msingi ni walio toka bara ukija nnje unakutana na Makonda anasikiliza matatizo ya watu mikutanoni huko na ukiwatoa hao kuna kina nani tena wenye hoja za kizalendo
Sema hii Nchi tumeshachangamana sana.. Hakuna kitu kama hicho kinaweza tokea.
Kwani mmezuiwa kuzaliana?Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautahepukika.
Wewe ni kanda ipi hapa nchini,?tuanzie hapo kwanzaKanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautahepukika.
Njaa anayopata mtoto wa kanda ya ziwa haina tofauti na njaa anayopata mtoto wa kaskazini. Fikra za kujigawanya ni za kipuuziMgawanyo haujawahi kuisha. Hata US wanajitambua kuwa kuna wahispania, walatino, weusi, weupe ambao nao kuna wajerumani, wascotland, Waireland, Waingereza wa England, Wafaransa, Waitaliano, Wayahudi, Wascandnavia
Wakishajigawa wanafaidika na nini??Hata weupe wanajigawa kikanda
Acheni wawasemee matatizo yenu.Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautahepukika.
Sasa mtu kuwa msaada kwenye familia yake kwako ni tatizo?Kanda zisizo na mchango ni kama kanda ya kati na ya kaskazini, Kaskazini hawa wana michango yao binafsi na kwa faida ya familia zao.
Daah!Kanda ya Ziwa ni Washamba, hawana impact yoyote, wabunge wao wote la saba