Tusipoangalia kanda ya ziwa itatuletea tyranny of the majority

Tusipoangalia kanda ya ziwa itatuletea tyranny of the majority

Na waliojenga katoro ni watu wa kaskazini mostly
Hai kuna mabilionea wengi na wanajenga nyumba za kisasa kama ile ya Mbowe,
Thubutu wa kaskazini wakutafuta na tochi pale Katoro. Aidha hiyo nyumba ya Mbowe mbona ya kawaida Sana. Hujaona mijengo nini
 
Thubutu wa kaskazini wakutafuta na tochi pale Katoro. Aidha hiyo nyumba ya Mbowe mbona ya kawaida Sana. Hujaona mijengo nini
Hao ndio wanaoleta maendeleo kwa % kubwa,
Nyumba ya mbowe iko kijiini kabisa pale
 
Hofu Yako tu!Hata mkiwa maelfu kama hamna maarifa ni kama ng'ombe.Wazungu walitumia maarifa Yao wakawatala maelfu ya waafrika Tena wenyewe wakiwa ulaya waliotumika kufanya hiyo kazi hawafiki hata hamsini lakini Africa yote waliitwala.
 
Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.

Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.
ukija mfumo wa majimbo ni ushindi wa sera ya chadema. Ccm wakijitia wazimu kupalilia majimbo watajitengenezea dubwasha la kuwamaliza kwa maana jimbo la kanda ya ziwa ndilo litakuwa na uwezo wa kuamua nani awe mshindi wa urais kwa kupata kura nyingi huko
 
ukija mfumo wa majimbo ni ushindi wa sera ya chadema. Ccm wakijitia wazimu kupalilia majimbo watajitengenezea dubwasha la kuwamaliza kwa maana jimbo la kanda ya ziwa ndilo litakuwa na uwezo wa kuamua nani awe mshindi wa urais kwa kupata kura nyingi huko
Itapendeza mikoa ndiyo iwe majimbo na si kanda.
 
Back
Top Bottom