Tusipoangalia kanda ya ziwa itatuletea tyranny of the majority

Tusipoangalia kanda ya ziwa itatuletea tyranny of the majority

Unapoizungumzia Kanda ya Ziwa kwa maana ya block moja yenye wingi wa kura nadhani tunajidanganya mchana kweupe.

Kanda ya Ziwa kuna Wasukuma ( makabila madogo madogo mengi ndani yake).
Wapo Wahaya ambao wana utamaduni wao usioingiliana na Wasukuma kabisa.Ukienda Kagera Wahaya wanajiona kama Wahaya hawajinadibishi na Wasukuma hata kidogo.Wahaya wana Lugha yao,wana mila zao,wana matambiko yao ambayo ni tofauti kabisa na Wasukuma !.

Kanda ya Ziwa wapo Wakurya sijaona mfano wao na Wasukuma au Wahaya.Wakurya ni Wakurya hawajioni ni sehemu ya Wahaya ama Wasuma.

Kanda ya Ziwa ina idadi kubwa ya watu ambao si wamoja wala hawapigi kura as a block kama wafanyavyo Wazanzibari au Wakikuyu wa Kenya ama Wakamba wa Kenya.

Ni ushamba wa Kiwango cha kustaajabisha kujaribu kutuambia Tanzania ina viwango vya ukabila sawa na Majirani wetu wa Kenya ambao kila uchaguzi unapofika suala la ukanda na ukabila linachukua nafasi kubwa.
Pole Sana. Kanda ya Ziwa linapofika suala la Kura ni wamoja. Acha kujitekenya.
 
Kanda ya ziwa Karne hii Bado watu wanajisaidia porini,wanautanaduni wa chagulaga yaani ukiwa kwenye ngoma unaweza kimbaka mwanamke,Bado hawaelewani miongoni mwao, Kuna Wahaya japo wapi Kanda ya Ziwa hawataki kufananishwa na wasukuma,Kuna Wakurya,Wajalio,wanyantunzu wa bariadi wote hawa hawako pamoja. Lakini Kuna wakara,wazanaki na Hata Kagera Kuna makabola meingi yapo tofauti na Wahaya so unaposema Kanda ya Ziwa wako wengi unabidi uchanganue usiwajumiishe wote sio wamojja hao.
Wachagga Karne hii bado wanaoa Kwa kukamata wasichana Kwa nguvu na baba kuzaa na mke wa mwanawe. Mbona hata wapemba wanakunya baharini.
 
Kanda ya ziwa Karne hii Bado watu wanajisaidia porini,wanautanaduni wa chagulaga yaani ukiwa kwenye ngoma unaweza kimbaka mwanamke,Bado hawaelewani miongoni mwao, Kuna Wahaya japo wapi Kanda ya Ziwa hawataki kufananishwa na wasukuma,Kuna Wakurya,Wajalio,wanyantunzu wa bariadi wote hawa hawako pamoja. Lakini Kuna wakara,wazanaki na Hata Kagera Kuna makabola meingi yapo tofauti na Wahaya so unaposema Kanda ya Ziwa wako wengi unabidi uchanganue usiwajumiishe wote sio wamojja hao.
Kanda ya Ziwa itakufanya ukonde. Kama vipi kajinyonge ufe
 
Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.

Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.
Kama hawana akili na pesa hata wawe milions of then haina effect
 
Karudie shule elimu ya gumbaru,,,mkoa kama mwaza,geita,shinyanga inamchango kidogo kivipi wakati almasi nchi hii ipo shinganga pekee,geita dhahabu,mwaza ziwa,simiyu na mara dhahabu.
Hizo almas ni mali za mabeberu wewe stuka
 
Sema hii Nchi tumeshachangamana sana.. Hakuna kitu kama hicho kinaweza tokea.

Kila kabila lipo Kila sehemu. Pia makabila yameoana sana , yaani hakuna jamii yenye nguvu tena.. Shukran sana kwa waliofanikisha kuunganisha
Ndio maana hatuendelei
 
Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.

Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.

Kanda ya ziwa n mara, kagera, geita mwanza kwan mikoa yote wako kabila moja acha uoga kwann usihimize na kwenu wazaliane
 
Makosa waliyafanya wale waliojidai wanawasema Sukima g ambayo haikuwepo, mdomo huo umewaumba na wao sasa wame gang up...
Sure mkuu ,sukuma gang ilikuwa ni ya kufikiria ,viongozi wa CCM walikosea Sana walidhani wanatoa bonge la tusi kwa wasukuma ,Sasa wamejiunda(gang up), kwa nguvu haswa,inabidi zifanyike juhudi hiyo Kanda ivunjwe ,kuipunguzia nguvu
 
Pesa alitoa Sana kusaidia harakati za Uhuru John Rupia msukuma toka Shinyanga. Hao unaowataja walikuwa wanywa kahawa Tu.
Dossa Azizi ndiye alikuwa tajiri, Kuna kipindi alikuwa anaitwa aka 'BENKI ' unajua kwa Nini aliitwa BENKI?
 
Uwingi siyo tatizo, mkoa wenye pesa ndiyo wenye maamuzi. Kutegemea serikali kukuletea maendeleo utasubiri sana.
 
Back
Top Bottom