Tusipoangalia Sukuma Gang watafanikiwa sana

Tusipoangalia Sukuma Gang watafanikiwa sana

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kwa namna mambo yalivyokuwa yanaenda sukuma gang walikuwa hawapumui kabisa na walikuwa wamebanwa kila kona. Maombi yao yalikuwa ni kuona Rais Samia anakosea ili wapate mlango wa kutokea.

Mwanya umejitokeza kwenye hili sakata la DP World naona sukuma gang wanasukuma ajenda zao kwa kasi ya ajabu.

1. Tumeona Ndugai akipewa unabii na utukufu eti kuwa aliona mbali kwasabb tu aliwahi kutamka "nchi itapigwa mnada.

2. Tunaona mafedhuli akina Makonda, Ali Happy na Sabaya wakipigiwa chapuo warudishwe chamani au serikalini ili kumnusuru Rais Samia. Hii itawapa sukuma gang credit.

3. Tunaona wahuni wakianza kufanya vitenda vya utekaji na kutishia wakosoaji sawa sawa na ilivyokuwa ikifanyika enzi za jiwe (Mungu wa sukuma gang) ili kuhalalisha kuwa jiwe alikuwa sahihi kuongoza nchi kwa mfumo huo.

Kama Rais Samia na timu yake hawatatuliza vichwa katika sakata hili sukuma gang watasambaratisha kila mtu huko serikalini kwa kuuaminisha umma kuwa hawafai. Na wao ndiyo watajipenyeza haraka kuchukua nafasi zao.

Sukuma gang wapingwe daima. Hata kuongelea habari ya kuteua Makonda, Sabaya na Ali Happi tuone aibu. Majitu fedhuli kama haya yapewe vyeo ili kufanya nn ktk karne hii ya ustaarabu??
 
Kwa namna mambo yalivyokuwa yanaenda sukuma gang walikuwa hawapumui kabisa na walikuwa wamebanwa kila kona. Maombi yao yalikuwa ni kuona rais Samia anakosea ili wapate mlango wa kutokea.

Mwanya umejitokeza kwenye hili sakata la DP World naona sukuma gang wanasukuma ajenda zao kwa kasi ya ajabu. 1. Tumeona Ndugai akipewa unabii na utukufu eti kuwa aliona mbali kwasabb tu aliwahi kutamka "nchi itapigwa mnada.
2. Tunaona mafedhuli akina Makonda, Ali Happy na Sabaya wakipigiwa chapuo warudishwe chamani au serikalini ili kumnusuru rais Samia. Hii itawapa sukuma gang credit.

3. Tunaona wahuni wakianza kufanya vitenda vya utekaji na kutishia wakosoaji sawa sawa na ilivyokuwa ikifanyika enzi za jiwe (Mungu wa sukuma gang) ili kuhalalisha kuwa jiwe alikuwa sahihi kuongoza nchi kwa mfumo huo.

Kama rais Samia na timu yake hawatatuliza vichwa ktk sakata hili sukuma gang watasambaratisha kila mtu huko serikalini kwa kuuaminisha umma kuwa hawafai. Na wao ndiyo watajipenyeza haraka kuchukua nafasi zao.

Sukuma gang wapingwe daima. Hata kuongelea habari ya kuteua Makonda, Sabaya na Ali Happi tuone aibu. Majitu fedhuli kama haya yapewe vyeo ili kufanya nn ktk karne hii ya ustaarabu??
Sukuma gang ni akina nani? ziko tetesi tu, wataje tuwajue tuwakabiri. Lkn kama wanapinga hili la bandari, basi tuko nao. hayo mengine tukishawaondoa waarabu, tutajuana mbele
 
Sukuma gang ni akina nani? ziko tetesi tu, wataje tuwajue tuwakabiri. Lkn kama wanapinga hili la bandari, basi tuko nao. hayo mengine tukishawaondoa waarabu, tutajuana mbele
Weli seidi mwamba!

Wasijifiche kwenye maneno na porojo, wawataje, tuijue listi na agenda zao; lakini iwe baada ya kumaliza tatìzo la DPW na UZANZIBARI kwa sasa!

Sio, oooh, Magu kaficha pesa China, Magu kaua, Magu kafilisi etc, ukiwauliza; kama mmejua kaficha pesa, ina maana gani kuweka maneno matupu hadharani? Weka taarifa kamilifu yenye ushahidi na kisha mtuoneshe jinsi mlivyo-recover hizo lost fortune, si mmeweza kujua, shugulikieni!

Weka idadi ya waliouwawa kwa udhalimu, familia ziombwe radhi na serikali na ikibidi, wapewe mkono wa pole! Mbona vyeti feki umewarudisha ingawa hawakwenda kuthibitisha au kulalamika mahakamani kama wameonewa?
 
Kwa namna mambo yalivyokuwa yanaenda sukuma gang walikuwa hawapumui kabisa na walikuwa wamebanwa kila kona. Maombi yao yalikuwa ni kuona rais Samia anakosea ili wapate mlango wa kutokea.

Mwanya umejitokeza kwenye hili sakata la DP World naona sukuma gang wanasukuma ajenda zao kwa kasi ya ajabu. 1. Tumeona Ndugai akipewa unabii na utukufu eti kuwa aliona mbali kwasabb tu aliwahi kutamka "nchi itapigwa mnada.
2. Tunaona mafedhuli akina Makonda, Ali Happy na Sabaya wakipigiwa chapuo warudishwe chamani au serikalini ili kumnusuru rais Samia. Hii itawapa sukuma gang credit.

3. Tunaona wahuni wakianza kufanya vitenda vya utekaji na kutishia wakosoaji sawa sawa na ilivyokuwa ikifanyika enzi za jiwe (Mungu wa sukuma gang) ili kuhalalisha kuwa jiwe alikuwa sahihi kuongoza nchi kwa mfumo huo.

Kama rais Samia na timu yake hawatatuliza vichwa ktk sakata hili sukuma gang watasambaratisha kila mtu huko serikalini kwa kuuaminisha umma kuwa hawafai. Na wao ndiyo watajipenyeza haraka kuchukua nafasi zao.

Sukuma gang wapingwe daima. Hata kuongelea habari ya kuteua Makonda, Sabaya na Ali Happi tuone aibu. Majitu fedhuli kama haya yapewe vyeo ili kufanya nn ktk karne hii ya ustaarabu??
Muda wa CCM kuondoka madarakani umefika na waondoke na Muungano wao.
Vyombo vya usalama vijipange kwa ajili ya hayo mabadiliko Nchi isipitie machafuko.
 
"Ni kichaa tu ndo anaweza kusaini mkataba kama huu" Alisema JPM

Mama naye kaonyesha anavyopigwa hadi DP World lakini hana la kufanya.

Sasa kwa usawa huu kwa nini sukuma gang wasipate ushawishi?
 
Ona sasa ulichoandika ni utumbo mtupu na ujinga uliokujaa kichwani!

Kwani sukuma gang ndio kinanani hasa?

Ni wale wasomi na wanazuoni, wana ccm na wasio wana ccm, wanaojadili kuhusu uhalali wa mkataba wa bandari zetu?

Au unaongelea kina nani?

Hoja yako ni zile hoja zinazotaka kuhamisha mjadara mahususi unaotuleta pamoja kama taifa kuhusiana na mkataba wa warabu wa kihuni!

Acha uzwazwa, umetumwa?

Kama ndivyo, basi sukuma gang ni kundi bora na linapaswa kuungwa mkono na kila mwenye akili nchini
 
Kwa namna mambo yalivyokuwa yanaenda sukuma gang walikuwa hawapumui kabisa na walikuwa wamebanwa kila kona. Maombi yao yalikuwa ni kuona Rais Samia anakosea ili wapate mlango wa kutokea.

Mwanya umejitokeza kwenye hili sakata la DP World naona sukuma gang wanasukuma ajenda zao kwa kasi ya ajabu.

1. Tumeona Ndugai akipewa unabii na utukufu eti kuwa aliona mbali kwasabb tu aliwahi kutamka "nchi itapigwa mnada.

2. Tunaona mafedhuli akina Makonda, Ali Happy na Sabaya wakipigiwa chapuo warudishwe chamani au serikalini ili kumnusuru Rais Samia. Hii itawapa sukuma gang credit.

3. Tunaona wahuni wakianza kufanya vitenda vya utekaji na kutishia wakosoaji sawa sawa na ilivyokuwa ikifanyika enzi za jiwe (Mungu wa sukuma gang) ili kuhalalisha kuwa jiwe alikuwa sahihi kuongoza nchi kwa mfumo huo.

Kama Rais Samia na timu yake hawatatuliza vichwa katika sakata hili sukuma gang watasambaratisha kila mtu huko serikalini kwa kuuaminisha umma kuwa hawafai. Na wao ndiyo watajipenyeza haraka kuchukua nafasi zao.

Sukuma gang wapingwe daima. Hata kuongelea habari ya kuteua Makonda, Sabaya na Ali Happi tuone aibu. Majitu fedhuli kama haya yapewe vyeo ili kufanya nn ktk karne hii ya ustaarabu??
Kwanini unapenda kuleta lugha za uchonganishi!?
Hakuna kitu kinaitwa sukuma gang!?
Watu wote wanaopingana kwa hoja ni watanzania. Infact Askari wanatakiwa waanze kukudaka wewe unaeleta ubaguzi. Uwekwe jela ( mbwa Koko wa jela ww)
 
Kwa namna mambo yalivyokuwa yanaenda sukuma gang walikuwa hawapumui kabisa na walikuwa wamebanwa kila kona. Maombi yao yalikuwa ni kuona Rais Samia anakosea ili wapate mlango wa kutokea.

Mwanya umejitokeza kwenye hili sakata la DP World naona sukuma gang wanasukuma ajenda zao kwa kasi ya ajabu.

1. Tumeona Ndugai akipewa unabii na utukufu eti kuwa aliona mbali kwasabb tu aliwahi kutamka "nchi itapigwa mnada.

2. Tunaona mafedhuli akina Makonda, Ali Happy na Sabaya wakipigiwa chapuo warudishwe chamani au serikalini ili kumnusuru Rais Samia. Hii itawapa sukuma gang credit.

3. Tunaona wahuni wakianza kufanya vitenda vya utekaji na kutishia wakosoaji sawa sawa na ilivyokuwa ikifanyika enzi za jiwe (Mungu wa sukuma gang) ili kuhalalisha kuwa jiwe alikuwa sahihi kuongoza nchi kwa mfumo huo.

Kama Rais Samia na timu yake hawatatuliza vichwa katika sakata hili sukuma gang watasambaratisha kila mtu huko serikalini kwa kuuaminisha umma kuwa hawafai. Na wao ndiyo watajipenyeza haraka kuchukua nafasi zao.

Sukuma gang wapingwe daima. Hata kuongelea habari ya kuteua Makonda, Sabaya na Ali Happi tuone aibu. Majitu fedhuli kama haya yapewe vyeo ili kufanya nn ktk karne hii ya ustaarabu??
Hao kina Makonda na Hapi wamekulia humo humo CCM pengine kabla ya kuingia kwako humo chamani.

CCM kujivua gamba ni sifa yao ya miaka mingi, huwa hawadumu katika hali za mifarakano. Ni chama kimekomaa kwa miaka mingi usitegemee kuona kinavunjika kirahisi tu.
 
Kwa namna mambo yalivyokuwa yanaenda sukuma gang walikuwa hawapumui kabisa na walikuwa wamebanwa kila kona. Maombi yao yalikuwa ni kuona Rais Samia anakosea ili wapate mlango wa kutokea.

Mwanya umejitokeza kwenye hili sakata la DP World naona sukuma gang wanasukuma ajenda zao kwa kasi ya ajabu.

1. Tumeona Ndugai akipewa unabii na utukufu eti kuwa aliona mbali kwasabb tu aliwahi kutamka "nchi itapigwa mnada.

2. Tunaona mafedhuli akina Makonda, Ali Happy na Sabaya wakipigiwa chapuo warudishwe chamani au serikalini ili kumnusuru Rais Samia. Hii itawapa sukuma gang credit.

3. Tunaona wahuni wakianza kufanya vitenda vya utekaji na kutishia wakosoaji sawa sawa na ilivyokuwa ikifanyika enzi za jiwe (Mungu wa sukuma gang) ili kuhalalisha kuwa jiwe alikuwa sahihi kuongoza nchi kwa mfumo huo.

Kama Rais Samia na timu yake hawatatuliza vichwa katika sakata hili sukuma gang watasambaratisha kila mtu huko serikalini kwa kuuaminisha umma kuwa hawafai. Na wao ndiyo watajipenyeza haraka kuchukua nafasi zao.

Sukuma gang wapingwe daima. Hata kuongelea habari ya kuteua Makonda, Sabaya na Ali Happi tuone aibu. Majitu fedhuli kama haya yapewe vyeo ili kufanya nn ktk karne hii ya ustaarabu??
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom