Tusipoangalia Sukuma Gang watafanikiwa sana

Tusipoangalia Sukuma Gang watafanikiwa sana

Acha warudi, unadhani hata hawa wanaoteka wameachiwa karatasi na JPM kuwa wateke na kuua?.

Acha warudi, kwani wakirudi unadhani maisha yako yatabadirika?, Mbona hata sasa unalalamika ungali humo humo chamani?.

Acha warudi, natamani Makonda awe mwenezi wa chama au hata waziri wa ulinzi, (😄) najua hata wewe utajulikana maana tutaingia pale JF headquarter na kukutafuta humo kwa kutumia email yako (😂).

Acha warudi, kama wao wenyewe wameona maji yapo shingoni, wewe ni nani wa kubweka nje ya geti lililofungwa?.
 
mkurugenzi anaingiza taifa hasara alafu unamhamishia eneo lingine la kazi,yakiwatokea puani eti sukuma gang! pambaneni na hali yenu mmeachiwa uwanja tuone mtafika wapi.
 
Stupid!

Ina maana watanzania wote wanaopinga huu mkataba wa hovyo nao ni sukuma gang?

Eleweni kuwa your so called MAMA ameshindwa kuongoza.

Muda utaongea.[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
 
Kwa namna mambo yalivyokuwa yanaenda sukuma gang walikuwa hawapumui kabisa na walikuwa wamebanwa kila kona. Maombi yao yalikuwa ni kuona Rais Samia anakosea ili wapate mlango wa kutokea.

Mwanya umejitokeza kwenye hili sakata la DP World naona sukuma gang wanasukuma ajenda zao kwa kasi ya ajabu.

1. Tumeona Ndugai akipewa unabii na utukufu eti kuwa aliona mbali kwasabb tu aliwahi kutamka "nchi itapigwa mnada.

2. Tunaona mafedhuli akina Makonda, Ali Happy na Sabaya wakipigiwa chapuo warudishwe chamani au serikalini ili kumnusuru Rais Samia. Hii itawapa sukuma gang credit.

3. Tunaona wahuni wakianza kufanya vitenda vya utekaji na kutishia wakosoaji sawa sawa na ilivyokuwa ikifanyika enzi za jiwe (Mungu wa sukuma gang) ili kuhalalisha kuwa jiwe alikuwa sahihi kuongoza nchi kwa mfumo huo.

Kama Rais Samia na timu yake hawatatuliza vichwa katika sakata hili sukuma gang watasambaratisha kila mtu huko serikalini kwa kuuaminisha umma kuwa hawafai. Na wao ndiyo watajipenyeza haraka kuchukua nafasi zao.

Sukuma gang wapingwe daima. Hata kuongelea habari ya kuteua Makonda, Sabaya na Ali Happi tuone aibu. Majitu fedhuli kama haya yapewe vyeo ili kufanya nn ktk karne hii ya ustaarabu??
Watanzania Daima tutapinga Siasa chafu.

Kuwazodoa, Kuwanyanyasa, kuwabeza na Kulishushia hadhi kabila zima la Wasukuma ilimradi kuendeleza ajenda zenu....Ni kutafufuta Vita ndani ya NCHI hii. Hio ni siasa chafu.

Ukemewe mleta mada kwa nguvu zote.

Mmedanganya SSH kashikwa mpaka kaenda kwa wajomba zake kutafuta suluhu! How ironic! Halafu mnajifanya kumtafuta mchawi.

Mmeze sumu zenu wenyewe nyie mamluki na mahuani wa Nchi hii .... mtahama Nchi

Hakuna genge wala gang lelote lile Tanzania. Kuna kabila la Wasukuma.
 
Muda wa CCM kuondoka madarakani umefika na waondoke na Muungano wao.
Vyombo vya usalama vijipange kwa ajili ya hayo mabadiliko Nchi isipitie machafuko.
Mie naona Wasukuma warudishiwe silaha zao za Jadi...wamekandamizwa miaka mingi sana.....
Labda tukipata machafuko tutaelewana vizuri....siombei hivyo ila ikiwa ni lazima kuwaondoa hawa Maharamia na Mamluki wa Ukoloni mamboleo basi iwe hivyo. Chapa rungu kisawasawa qmmnioko
 
Makonda anaandaliwa kuwa katibu mwenezi wa CCM.
Hapo ndipo CCM itajua haijui.
Makonda na msukuma piwa.
 
Kwa namna mambo yalivyokuwa yanaenda sukuma gang walikuwa hawapumui kabisa na walikuwa wamebanwa kila kona. Maombi yao yalikuwa ni kuona Rais Samia anakosea ili wapate mlango wa kutokea.

Mwanya umejitokeza kwenye hili sakata la DP World naona sukuma gang wanasukuma ajenda zao kwa kasi ya ajabu.

1. Tumeona Ndugai akipewa unabii na utukufu eti kuwa aliona mbali kwasabb tu aliwahi kutamka "nchi itapigwa mnada.

2. Tunaona mafedhuli akina Makonda, Ali Happy na Sabaya wakipigiwa chapuo warudishwe chamani au serikalini ili kumnusuru Rais Samia. Hii itawapa sukuma gang credit.

3. Tunaona wahuni wakianza kufanya vitenda vya utekaji na kutishia wakosoaji sawa sawa na ilivyokuwa ikifanyika enzi za jiwe (Mungu wa sukuma gang) ili kuhalalisha kuwa jiwe alikuwa sahihi kuongoza nchi kwa mfumo huo.

Kama Rais Samia na timu yake hawatatuliza vichwa katika sakata hili sukuma gang watasambaratisha kila mtu huko serikalini kwa kuuaminisha umma kuwa hawafai. Na wao ndiyo watajipenyeza haraka kuchukua nafasi zao.

Sukuma gang wapingwe daima. Hata kuongelea habari ya kuteua Makonda, Sabaya na Ali Happi tuone aibu. Majitu fedhuli kama haya yapewe vyeo ili kufanya nn ktk karne hii ya ustaarabu??
We Mzoga gang acha uhuni kwani waliouza bandari ni nani?
 
Mwanya umejitokeza kwenye hili sakata la DP World naona sukuma gang wanasukuma ajenda zao kwa kasi ya ajabu.
Kwa taarifa yako Halmashauri Kuu ya CCM imeridhia mkataba wa kugawa bandari za Tanganyika kwa Sultan.
Kama tunaopinga hiyo ndiyo sukuma gang then count me in.
Btw, ile pambio ya mama anaupiga mwingi mbona mmeacha kuimba?
 
Mbona mapema sana jemeni si tulikubaliana Hadi 2030 au [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa namna mambo yalivyokuwa yanaenda sukuma gang walikuwa hawapumui kabisa na walikuwa wamebanwa kila kona. Maombi yao yalikuwa ni kuona Rais Samia anakosea ili wapate mlango wa kutokea.

Mwanya umejitokeza kwenye hili sakata la DP World naona sukuma gang wanasukuma ajenda zao kwa kasi ya ajabu.

1. Tumeona Ndugai akipewa unabii na utukufu eti kuwa aliona mbali kwasabb tu aliwahi kutamka "nchi itapigwa mnada.

2. Tunaona mafedhuli akina Makonda, Ali Happy na Sabaya wakipigiwa chapuo warudishwe chamani au serikalini ili kumnusuru Rais Samia. Hii itawapa sukuma gang credit.

3. Tunaona wahuni wakianza kufanya vitenda vya utekaji na kutishia wakosoaji sawa sawa na ilivyokuwa ikifanyika enzi za jiwe (Mungu wa sukuma gang) ili kuhalalisha kuwa jiwe alikuwa sahihi kuongoza nchi kwa mfumo huo.

Kama Rais Samia na timu yake hawatatuliza vichwa katika sakata hili sukuma gang watasambaratisha kila mtu huko serikalini kwa kuuaminisha umma kuwa hawafai. Na wao ndiyo watajipenyeza haraka kuchukua nafasi zao.

Sukuma gang wapingwe daima. Hata kuongelea habari ya kuteua Makonda, Sabaya na Ali Happi tuone aibu. Majitu fedhuli kama haya yapewe vyeo ili kufanya nn ktk karne hii ya ustaarabu??
Watafanikiwaje wakati Rais huwa hachaguliwi na wananchi? Hawawezi chochote.
 
Back
Top Bottom