TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Acha warudi, unadhani hata hawa wanaoteka wameachiwa karatasi na JPM kuwa wateke na kuua?.
Acha warudi, kwani wakirudi unadhani maisha yako yatabadirika?, Mbona hata sasa unalalamika ungali humo humo chamani?.
Acha warudi, natamani Makonda awe mwenezi wa chama au hata waziri wa ulinzi, (😄) najua hata wewe utajulikana maana tutaingia pale JF headquarter na kukutafuta humo kwa kutumia email yako (😂).
Acha warudi, kama wao wenyewe wameona maji yapo shingoni, wewe ni nani wa kubweka nje ya geti lililofungwa?.
Acha warudi, kwani wakirudi unadhani maisha yako yatabadirika?, Mbona hata sasa unalalamika ungali humo humo chamani?.
Acha warudi, natamani Makonda awe mwenezi wa chama au hata waziri wa ulinzi, (😄) najua hata wewe utajulikana maana tutaingia pale JF headquarter na kukutafuta humo kwa kutumia email yako (😂).
Acha warudi, kama wao wenyewe wameona maji yapo shingoni, wewe ni nani wa kubweka nje ya geti lililofungwa?.