Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
asante kwa picha mkuu.Mikael P Aweda
UJUMBE una busara na hekima hakika CDM tungepata wabunge 10 kama Lema basi hawa wahuni wa ccm wasingekuwepo madarakani mpaka leo Lema ni mbunge jasiri aliyetolea kwa lolote tunamwombea maisha marefu zaidi MUNGU azidi kumlinda na kumpa afya njema MUDA WA UKOMBOZI UMESHAKARIBIA TIME WILL TELL
View attachment 190770
VIVA CHADEMA DAIMA
Shemeji, Mikael Aweda, JJMnyika is one of the best that Chadema has!, na yeyote anayeliwazia jimbo lake, atakuwa hana akili Timamu!.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shemeji, JJMnyika is one of the best that Chadema has!, na yeyote anayeliwazia jimbo lake, atakuwa hana akili Timamu!.
Mimi nikiamua, nitasimama as an independent candidate, kwa wapiga kura wa Sinza na Manzese type, ni ngumu kwa independent candidate kushinda!. Nikiamua kusimama, nitasimama huku kwa watu wanaojielewa!.
Pasco