Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,904
- Thread starter
- #101
Kwanza nashukuru kunijuza kuwa post yangu ilikatika nusu,
pili, shemeji yangu kwa jinsi unavyojenga kila aina ya hoja kumtetea mtu wako, nahisi akikosa utajisikia vibaya mwezi mzima. Punguza matumaini shemeji. Najua Lema ni mbaya wenu pale Arusha anawaharibia sana. Hata hivyo, naomba mjiandae kisaikojia kushidwa --- kwa Arusha hakuna haja ya kujifariji, jaribuni mahali pengine.
pili, shemeji yangu kwa jinsi unavyojenga kila aina ya hoja kumtetea mtu wako, nahisi akikosa utajisikia vibaya mwezi mzima. Punguza matumaini shemeji. Najua Lema ni mbaya wenu pale Arusha anawaharibia sana. Hata hivyo, naomba mjiandae kisaikojia kushidwa --- kwa Arusha hakuna haja ya kujifariji, jaribuni mahali pengine.