Umeongea sahihi kabisa,hembu ona walimu wanakatwa mishahara eti wajenge maabara,jee kikwete na baraza lake la mawaziri watakatwa hizo pesa pia?Wanajua waalimu ni dhaifu waoga ndio maana wanawachezea hivyo!Ingekua nchi zilizoendelea rais angekua hana kazi muda huu
Unajua kufanya kz ya ualimu hapa Tz unatakiwa sehemu ya Ubongo wako ama iwe domanti au imekufa vinginevyo utapata shida sana.
Tujiulize mbona zahanati na hspl zinapojengwa hatusikii kama madaktari wanakatwa kuchangia, au au uwanja wa ndege, Barbara tukasia kuwa wafanyakazi Katuka idara hz wanakatwa mshahara kuchangia?
Kama ningekuwa mwalimu hata shilingi Moja tu kukatwa kwa Maelezo ya kiwendawazimu kama haya ilikuwatosha kuacha kz