Mikael P Aweda
Mkuu tutafika tu.
Kama South Afrika ya Mandela waliweza sisi tutashindwe nini?
Walichokifanya Kwa Mwenyekiti wa BAWACHA leo iwechachu na mwanzo wa mapambano,Maandamano ya amani maana hii haki ya Kiraia,na haifai kuwekewa mipaka na watawala.
Watawala walioshindwa wanatakiwa kuachia ngazi na nakuanza upya kupitia majukwaa ya kisiasa na siyo kutumia Jeshi dhidi ya Raia.
Mkuu natumai makamanda watakuwa wamepata ujumbe huu murua !
Mkuu tutafika tu.
Kama South Afrika ya Mandela waliweza sisi tutashindwe nini?
Walichokifanya Kwa Mwenyekiti wa BAWACHA leo iwechachu na mwanzo wa mapambano,Maandamano ya amani maana hii haki ya Kiraia,na haifai kuwekewa mipaka na watawala.
Watawala walioshindwa wanatakiwa kuachia ngazi na nakuanza upya kupitia majukwaa ya kisiasa na siyo kutumia Jeshi dhidi ya Raia.
Mkuu natumai makamanda watakuwa wamepata ujumbe huu murua !
Last edited by a moderator: