controler
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 1,562
- 361
Lema Arusha anabebwa na Wachagga wenzake.. Siasa za Arusha zimejaa ukabila na udini
Lema ashukuru sana Arusha kuna wachagga wengi
Godbless Lema ni think tank ya CHADEMA kwa sasa na kwa maana hii, CHADEMA kinafanya vizuri sana katika uwanja wa siasa!.
Eti CCM hawawezi kushinda Arusha.
Eti Watanzania ni waoga.
Eti Godbless Lema ni jasiri.
Mnatoa matamko, mnahamasisha migomo na maandamano lakini watanzania wanawapuuza siyo kwa sababu ya uwoga wao bali kwa sababu ya hekima na busara zao.
Kama kweli Godbless Lema ni jasiri na ana mbinu za kisiasa za kuishinda CCM, ilikuwaje katika kampeni hii,
Kwa nini hakutumia ujasiri wake na kulichukua jimbo la Kalenga?
Busara kama za laki si pesa za kufanya wachaga si raia wa nchi hii si ndio? Wachaga wapo wanawaangalia tu watafanya maamuzi katika mda muafaka.