Uchaguzi 2020 Tusipomchagua Rais Magufuli tutalaaniwa milele na vizazi vyetu. Wapinzani wasiwadanganye

Uchaguzi 2020 Tusipomchagua Rais Magufuli tutalaaniwa milele na vizazi vyetu. Wapinzani wasiwadanganye

Kipindi cha ugonjwa hatari wa corona ambao ulitikisa ulimwengu na mataifa makubwa kama China, America, Uingeleza,nk Rais wetu mpendwa Magufuli alituonyesha njia kuwa njia ya pekee kutuponya na gonjwa hili ni kumwomba Mungu muumba wa mbingu na nchi,kutubu na kuombolezea dhambi zetu na Mungu ataghairi atatuponya kama alivyoghairia asiwaangamize watu wa Ninawi baada ya mfalme wao kutangaza Siku za maombolezo.

Kweli Mungu wetu hakuangalia dhambi zetu bali alimtazama Rais wetu kwa namna alivyojinyekeza mbele zake na kuwaongoza watu 60 million kuelekea kwa Mungu. Kiongozi wa nchi kama Rais na kama mfalme,kulitaja jina la Mungu kwa unyenyekevu mbele ya wanadamu na marais wa nchi sijambo jepesi hata kidogo. Mimi na wewe tusingeweza na hata sasa hatuwezi.

Baada tu ya kutoangaza kuwa Mungu atatuponya na Corona (covid 19) Rais wetu alionekana mtu asiyekuwa na ufahamu .tuliona Kila thihaka kutoka kwa wapinzani na mataifa .

Sasa ikiwa Rais wetu Mungu alisikia kilio chake na cha watu wake Utaachaje kumchagua halafu umchague mtu asiyemwamnini Mungu tena watu ambao walisubili tuangamie ndipo Waone sababu ya kumsema Rais kuwa hafai?( kumbuka kipindi cha bunge la bajeti namna wapinzani walivyotoka bungeni eti wanajiweka karatini ili wenzao waliyokataa kutoka bungeni waangamie!!!).

Wakuu wa dini Mliangalie hili.sijasema mhubiri siasa lakini Mungu awatumie kwa kadri mtakavyoona inafaa. Kumbukeni makanisa na misikiti haikufungwa kwa ajiri ya utukufu wa Mungu wenu mnayemwabudu usiku na mchana .je mtamchagua nani?

Aliyesema Mungu hawezi au aliyesema Mungu anaweza?Anayeshabikia ushoga au anayechukia ushoga? Sikilizo rohoni kunasemaje kama sivyo Tumia akili kufikiri.usipige kura kwa kushawishiwa na hadithi zisizokuwa na maana.
Utalaaniwa wewe peke yako!!
 
Kwa hiyo hata mahospiatali na vituo vya afya alivyojenga unavikataa? basi usiende kutibiwa kwenye Kwenye hospitali au vituo vyote vya kutolea huduma nchi nzima

Kwani hizo Hospital alijenga kwa Pesa yake mwenyewe ?.
 
Kipindi cha ugonjwa hatari wa corona ambao ulitikisa ulimwengu na mataifa makubwa kama China, America, Uingeleza,nk Rais wetu mpendwa Magufuli alituonyesha njia kuwa njia ya pekee kutuponya na gonjwa hili ni kumwomba Mungu muumba wa mbingu na nchi,kutubu na kuombolezea dhambi zetu na Mungu ataghairi atatuponya kama alivyoghairia asiwaangamize watu wa Ninawi baada ya mfalme wao kutangaza Siku za maombolezo.

Kweli Mungu wetu hakuangalia dhambi zetu bali alimtazama Rais wetu kwa namna alivyojinyekeza mbele zake na kuwaongoza watu 60 million kuelekea kwa Mungu. Kiongozi wa nchi kama Rais na kama mfalme,kulitaja jina la Mungu kwa unyenyekevu mbele ya wanadamu na marais wa nchi sijambo jepesi hata kidogo. Mimi na wewe tusingeweza na hata sasa hatuwezi.

Baada tu ya kutoangaza kuwa Mungu atatuponya na Corona (covid 19) Rais wetu alionekana mtu asiyekuwa na ufahamu .tuliona Kila thihaka kutoka kwa wapinzani na mataifa .

Sasa ikiwa Rais wetu Mungu alisikia kilio chake na cha watu wake Utaachaje kumchagua halafu umchague mtu asiyemwamnini Mungu tena watu ambao walisubili tuangamie ndipo Waone sababu ya kumsema Rais kuwa hafai?( kumbuka kipindi cha bunge la bajeti namna wapinzani walivyotoka bungeni eti wanajiweka karatini ili wenzao waliyokataa kutoka bungeni waangamie!!!).

Wakuu wa dini Mliangalie hili.sijasema mhubiri siasa lakini Mungu awatumie kwa kadri mtakavyoona inafaa. Kumbukeni makanisa na misikiti haikufungwa kwa ajiri ya utukufu wa Mungu wenu mnayemwabudu usiku na mchana .je mtamchagua nani?

Aliyesema Mungu hawezi au aliyesema Mungu anaweza?Anayeshabikia ushoga au anayechukia ushoga? Sikilizo rohoni kunasemaje kama sivyo Tumia akili kufikiri.usipige kura kwa kushawishiwa na hadithi zisizokuwa na maana.
Watu wangekuwa hawaamini Mungu unazani wangepona kwenye risasi 16?
 
Kipindi cha ugonjwa hatari wa corona ambao ulitikisa ulimwengu na mataifa makubwa kama China, America, Uingeleza,nk Rais wetu mpendwa Magufuli alituonyesha njia kuwa njia ya pekee kutuponya na gonjwa hili ni kumwomba Mungu muumba wa mbingu na nchi,kutubu na kuombolezea dhambi zetu na Mungu ataghairi atatuponya kama alivyoghairia asiwaangamize watu wa Ninawi baada ya mfalme wao kutangaza Siku za maombolezo.

Kweli Mungu wetu hakuangalia dhambi zetu bali alimtazama Rais wetu kwa namna alivyojinyekeza mbele zake na kuwaongoza watu 60 million kuelekea kwa Mungu. Kiongozi wa nchi kama Rais na kama mfalme,kulitaja jina la Mungu kwa unyenyekevu mbele ya wanadamu na marais wa nchi sijambo jepesi hata kidogo. Mimi na wewe tusingeweza na hata sasa hatuwezi.

Baada tu ya kutoangaza kuwa Mungu atatuponya na Corona (covid 19) Rais wetu alionekana mtu asiyekuwa na ufahamu .tuliona Kila thihaka kutoka kwa wapinzani na mataifa .

Sasa ikiwa Rais wetu Mungu alisikia kilio chake na cha watu wake Utaachaje kumchagua halafu umchague mtu asiyemwamnini Mungu tena watu ambao walisubili tuangamie ndipo Waone sababu ya kumsema Rais kuwa hafai?( kumbuka kipindi cha bunge la bajeti namna wapinzani walivyotoka bungeni eti wanajiweka karatini ili wenzao waliyokataa kutoka bungeni waangamie!!!).

Wakuu wa dini Mliangalie hili.sijasema mhubiri siasa lakini Mungu awatumie kwa kadri mtakavyoona inafaa. Kumbukeni makanisa na misikiti haikufungwa kwa ajiri ya utukufu wa Mungu wenu mnayemwabudu usiku na mchana .je mtamchagua nani?

Aliyesema Mungu hawezi au aliyesema Mungu anaweza?Anayeshabikia ushoga au anayechukia ushoga? Sikilizo rohoni kunasemaje kama sivyo Tumia akili kufikiri.usipige kura kwa kushawishiwa na hadithi zisizokuwa na maana.
Delete ccm Oct 28
 
Tatizo kubwa la Rais Magufuli ni kushindwa kuelewa kwamba,

Hatred sounds more than good he has delivered!

The ignored matters more than the complimenting companies

Anatakiwa kujua yeye ana jeuri na kiburi kinachomfanya kupuuza sauti za watu wanaoumia ambao kimsingi unapokuwa rais wote hao ni watu wako.

Hupaswi kusema sileti maendeleo kwa sababu hamkunichagua.

Hupaswi kupuuza shida za watumishi wa serikali

Hupaswi kuwa wa kwanza kuumiza hisia za watu badala ya kuwa mfariji hata wakati wa matatizo

Hapaswi kutumia miradi mizuri anayoijenga kama ngao ya kutomuadhibu pale anaofanya makosa kwa upande mwingine.

Anatakiwa kuelewa yeye amejiriwa na wananchi wake wote na inampasa kuwaongoza kwa heshima waliyompa.

Yapo mengi ila ni vyema mumshauri haya kwa sasa
 
Awamu zingine hawakutekwa?nani alimuua Alfonce Mawazo?nani alimteka Ulimboka? Una uhakika gani kuwa walikufa au kupotea walitekwa au kuuawa na awamu ya Tano?
Nani anawakumbatia watu wasiojulikana ambao hawatakiwi wajulikane
 
Back
Top Bottom