Uchaguzi 2020 Tusipomchagua Rais Magufuli tutalaaniwa milele na vizazi vyetu. Wapinzani wasiwadanganye

Uchaguzi 2020 Tusipomchagua Rais Magufuli tutalaaniwa milele na vizazi vyetu. Wapinzani wasiwadanganye

Comrade Kuenguliwa kwa namna isiyokubalika maana yake nini?

Wagombea wameenguliwa baada ya kuwekewa mapingamizi. Lissu alimwekea Magufuli mapingamizi ili aenguliwe, anajua ni utaratibu wa kisheria. Leo wagombea wa chama chake wameenguliwa kwa utaratibu ule ule aliotumia Lissu kutaka kumuengua Magufuli mnakuja kulalamika hapa kama mahayawani "eti wanaenguliwa kwa namna isiyokubalika".
Mapingamizi ya magufuli yalikuwa ya kweli lakini Tumeccm NECCCM ikamlinda kienyeji kwa njia haramu za kishetani, na sasa Tumeccm inawahujumu chadema kwa mapingamizi ya hovyo hovyo yasiyo na tija.
 
Mapingamizi ya magufuli yalikuwa ya kweli lakini Tumeccm NECCCM ikamlinda kienyeji kwa njia haramu za kishetani, na sasa Tumeccm inawahujumu chadema kwa mapingamizi ya hovyo hovyo yasiyo na tija.
Wembe uleule ukiwanyoa ccm mnashangilia ukiwanyoa wapinzani mnaweweseka kama kuku mwenye kideli.
 
Kumbe mnajua kuwa pesa za maendeleo zinatokana na kodi na mnavyosema mtafuta kodi mnategemea kuendesha nchi kwa pesa ipi?
Kodi zitapunguzwa na kutengeneza kodi rafiki ambayo italipwa na watanzania wengi pasipo ukwepaji kodi kama ilivyokuwa sasa, kodi rafiki huleta hamasa ya wengi kulipa kuliko kodi kubwa ambayo hulipwa na wachache kwa kutumia nguvu kubwa
 
Kodi zitapunguzwa na kutengeneza kodi rafiki ambayo italipwa na watanzania wengi pasipo ukwepaji kodi kama ilivyokuwa sasa, kodi rafiki huleta hamasa ya wengi kulipa kuliko kodi kubwa ambayo hulipwa na wachache kwa kutumia nguvu kubwa
Ipo kwenye ilani yenu au ni mawazo yako comrade?? Tumeomba ilani yenu tuisome mmejikausha.
 
Wembe uleule ukiwanyoa ccm mnashangilia ukiwanyoa wapinzani mnaweweseka kama kuku mwenye kideli.
Wembe upi? Huo wembe haufanani kwani mtukufu alibebwa hakunyolewa na sasa wanatumia wembe kienyeji kuwakomoa wapinzani
 
Ipo kwenye ilani yenu au ni mawazo yako comrade?? Tumeomba ilani yenu tuisome mmejikausha.
ilani ya CCM haizuii kuchukua pesa hazina BOT kienyeji pasipo idhini ya bunge kwenda kununua Ndege, kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, ilani ya CCM haijali watumishi wa umma ndiyo maana hawakupewa nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano.
 
Wembe upi? Huo wembe haufanani kwani mtukufu alibebwa hakunyolewa na sasa wanatumia wembe kienyeji kuwakomoa wapinzani
Kuna upande tunaona wembe umewanyoa wote sawa na kuna upande mnaona wembe wa tume unawapunyua wapinzani. Kila mtu anaona vile kutokana na upande aliosimama.

Umekunywa maji ya bendera ya chadema lazima uone unaonewa.
 
ilani ya CCM haizuii kuchukua pesa hazina BOT kienyeji pasipo idhini ya bunge kwenda kununua Ndege, kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, ilani ya CCM haijali watumishi wa umma ndiyo maana hawakupewa nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano.
Iyo ndio sababu ya kuficha ilani yenu uvunguni?
 
Mpaka sasa wameshakufa ndugu zako wangapi kwa Corona?
ndugu zako wote rafiki zako hata usiowajua wamekufa kwa corona lakini wamesingizia ni magonjwa mengine kukwepa kutengwa na jamii , corona ipo Tanzania ingekuwa wanaokufa kwa corona hawatangazwi imekuwa siri sasa
 
Ilani ya CCM inaruhusu Rais kumteua mtoto wake wa nje kisha kuzuga ni binamu yake kuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha ili wachukue Pesa Hazina kienyeji mda wowote wakijisikia pasipo idhini ya bunge
 
Hivi kulaaniwa zaidi ya huku tulikolaaniwa sasa hivi?
 
Mjinga wewe bora niipate hiyo laana kuliko kuchagua hawa mashetani..naamin ukiipigia kura chadema hata malaika watashangilia
Hiki Chama kinawashabiki wengi kuliko wanachama.Saccos haiwezi shinda leo wala kesho.
 
CCM ndio chama pekee pendwa na watanzania. Endeleeni kutukana tu.
Chama pendwa na kinaogopa tume huru,kinaogopa uhuru wa vyombo vya habari?
Safari hii mtalazimika kuumiza raia, sababu hatutakubali "janja,janja" tunataka mshindi wa halali.
 
Magufuli kwenye korona alipatia na nilimuunga mkono 100%...hata hivyo kuna mambo mengine mengi amebugi hivyo kura yangu HAPATI!.
 
Kwa kuwa umequote Biblia, nikuambie tu kwamba Yesu alileta habari njema za uzima wa milele, watu wakamkataa, wakamuua! Lakini hata kifoni, Yesu alinena baraka tu! Lakini Wewe na Lugola mna Yesu anaye laani watu na vizazi vyao!
Kwa kusema hivyo sijakubali kwamba Yesu wenu aliondoa corona! Pia Yule, aliye pigwa risasi 16, akitetea Watanzania anakaribia kwenye kufanana na Yesu kuliko waliomfyatulia! #justsaying!
 
[emoji848] Napata tabu sana kuimeza hilo [emoji848]

Sidhani hata kidogo kama naweza kupata laana kihivyo... anyways, kura langu ni siri langu... inaweza ikaenda kwa yoyote yule.. lakini ikienda kwa Magufuli, kamwe haitakuwa kwa sababu ya kuogopa laana isinikute kwa sababu uliyoieleza... grow up bro, hata kiimani na kifikra inaonesha, you have a long way to go! Pole kama nitakuwa nimekuumiza kwa vyoyote vile, nisije kupata laana... hilo neno 'laana' naona kama vile nimeshaanza kuiogopa ogopa kwa mbali... si unajua tena binadamu sisi mara zingine ni waoga sana bila sababu yoyote ile ya kimsingi, wakati tunatakiwa tumwogope Mungu, na kwa mantiki na miongozo hizo hizo za Mungu, kitu cha msingi kabisa ni kutenda wema kwa kila jambo na sio kwa kuchagua... Uwe kiongozi wa aina yoyote ile au usiwe kiongozi...

Anyways, una haki zote za kufikiria unavyoona inakufaa ilimradi nia yako ni njema, kwa sababu Mungu huona pia nia, na mara nyingi sana Mungu hutengeneza mazingira ambazo zinamfanya binadamu abadilishe matendo na fikra zake yasiyo sawa kwa sababu ya nia njema.. Na hapo nikiwemo mimi pia ofkozi... kila la kheri...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom