Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
tafadhali
Kipindi cha ugonjwa Hatari wa cororo ambao ulitikisa ulimwengu na mataifa makubwa kama China, America, Uingeleza,nk Rais wetu mpendwa Magufuli alituonyesha njia kuwa njia ya pekee kutuponya na gonjwa hili ni kumwomba Mungu muumba wa mbingu na nchi,kutubu na kuombolezea dhambi zetu na Mungu ataghairi atatuponya kama alivyoghairia asiwaangamize watu wa Ninawi baada ya mfalme wao kutangaza Siku za maombolezo...
[/QUOTE
tafadhali,rekebisha kauli yako
sema UTALAANIWA WEWE NA KIZAZI CHAKO.