Uchaguzi 2020 Tusipomchagua Rais Magufuli tutalaaniwa milele na vizazi vyetu. Wapinzani wasiwadanganye

Uchaguzi 2020 Tusipomchagua Rais Magufuli tutalaaniwa milele na vizazi vyetu. Wapinzani wasiwadanganye

Kipindi cha ugonjwa Hatari wa cororo ambao ulitikisa ulimwengu na mataifa makubwa kama China, America, Uingeleza,nk Rais wetu mpendwa Magufuli alituonyesha njia kuwa njia ya pekee kutuponya na gonjwa hili ni kumwomba Mungu muumba wa mbingu na nchi,kutubu na kuombolezea dhambi zetu na Mungu ataghairi atatuponya kama alivyoghairia asiwaangamize watu wa Ninawi baada ya mfalme wao kutangaza Siku za maombolezo....
Mmeamia kuomba kura za huruma?

😂😂😂😂 kweli CCM mna hali mbaya!!!
 
Awamu zingine hawakutekwa?nani alimuua Alfonce Mawazo?nani alimteka Ulimboka? Una uhakika gani kuwa walikufa au kupotea walitekwa au kuuawa na awamu ya Tano?
Utajua mwenyewe! Atajibeba mwaka huu. Vithresd vyenu havitamwokoa mwaka huu. Nyundo na spana tu.
 
Magufuli tunamkataa na kazi zake zote twazikataa
Kwa hiyo hata mahospiatali na vituo vya afya alivyojenga unavikataa? basi usiende kutibiwa kwenye Kwenye hospitali au vituo vyote vya kutolea huduma nchi nzima
 
Kwa hiyo hata mahospiatali na vituo vya afya alivyojenga unavikataa?basi usiende kutibiwa kwenye Kwenye hospitali au vituo vyote vya kutolea huduma nchi nzima
Twazikataa na mambo yake yote.
 
Kipindi cha ugonjwa Hatari wa cororo ambao ulitikisa ulimwengu na mataifa makubwa kama China, America, Uingeleza,nk Rais wetu mpendwa Magufuli alituonyesha njia kuwa njia ya pekee kutuponya na gonjwa hili ni kumwomba Mungu muumba wa mbingu na nchi,kutubu na kuombolezea dhambi zetu na Mungu ataghairi atatuponya kama alivyoghairia asiwaangamize watu wa Ninawi baada ya mfalme wao kutangaza Siku za maombolezo....
Utalaaniwa wewe ama umchague au usimchague usitishe watu.
 
Kipindi cha ugonjwa Hatari wa cororo ambao ulitikisa ulimwengu na mataifa makubwa kama China, America, Uingeleza,nk Rais wetu mpendwa Magufuli alituonyesha njia kuwa njia ya pekee kutuponya na gonjwa hili ni kumwomba Mungu muumba wa mbingu na nchi,kutubu na kuombolezea dhambi zetu na Mungu ataghairi atatuponya kama alivyoghairia asiwaangamize watu wa Ninawi baada ya mfalme wao kutangaza Siku za maombolezo...
Hata hotuba yake yoyote sisikilizi, bora niangalie porn
 
Utalaaniwa wewe na kizazi chako, siai wengine turabarikiwa kwa kumchagua Lissu
Comrade nakupa pole sana naona povu zito limekutoka. Lissu hatoshinda watanzania sio wajinga kumchagua Lissu.
 
Tunazungumzia uchaguzi mkuu wa 2020, Wewe unatuletea habari za Korona. 28 ocktoba ushindi wa kishindo unakuja CHADEMA.
Lissu akifukua makaburi mnakuja mbio kukata mauno hapa jamvini. Tukifukua sisi kazi njema za jemedari Magufuli mnatokwa mapovu kama nguruwe.
 
Israel [emoji1134] taifa teule la mungu Leo siku ya pili wako kwenye lockdown

Maka na madina walizuia Mpaka watu kwenda kuhiji kisa korona

Majirani zetu wote wana cases mpya kila siku za Korona

Ni mtu wa ajabu pekee anaweza kusema Tanzania hakuna Korona
Unapoacha kupima utasemaje hakuna pima ndipo useme

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Yani nimchague Magufuli? Bora siku hiyo niungue moto nife!

In short namchukia kupita kiasi!
 
Wajukuu na vitukuu vyenu vitatandika viboko makaburi yenu kwa kulea udikteta tena udiketea uchwara wakati mlikuwa na fursa ya kutengeneza mfumo wa utawala bora, utawala wa sheria, utawala wa haki.

Ninyi mmeng'ang'ania kutengeneza umungu mtu wa mtu ambaye hata kama ataishi maisha marefu si zaidi ya miaka 50 ijayo, wakati mfumo unaweza kuishi hata miaka 200 hadi 300.
 
Comrade nakupa pole sana naona povu zito limekutoka. Lissu hatoshinda watanzania sio wajinga kumchagua Lissu.
Ni wajanja sana kumzomea mwenywkiti wetu pale bukoba, na kura watampa
 
Kipindi cha ugonjwa Hatari wa cororo ambao ulitikisa ulimwengu na mataifa makubwa kama China, America, Uingeleza,nk Rais wetu mpendwa Magufuli alituonyesha njia kuwa njia ya pekee kutuponya na gonjwa hili ni kumwomba Mungu muumba wa mbingu na nchi,kutubu na kuombolezea dhambi zetu na Mungu ataghairi atatuponya kama alivyoghairia asiwaangamize watu wa Ninawi baada ya mfalme wao kutangaza Siku za maombolezo....
Kuna watu vichwa vyao nimekaa mlenda badala ya ubongo. Na wewe ZALEMDA ni mmoja wapo. Hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kuiba kupitia miradi ya ujenzi, kuvunja katiba, kuua wakosoaji, kuwafunga rumande matajiri, kufanya ufuska, kufanya uteuzi wa upendeleo no

TUNMTAKA LISSU TU
 
Back
Top Bottom