Tusipomsemea Rais Samia Watanzania; dunia, miti, wanyama na viumbe vingine vitanena kwa ajili yake

Tusipomsemea Rais Samia Watanzania; dunia, miti, wanyama na viumbe vingine vitanena kwa ajili yake

Chipoku

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
254
Reaction score
181
WAUNGWANA WALINENA HAKUNA KAMA MAMA ILA WATANZANIA TUNASEMA HAKUNA KAMA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN (aka Mama wa Taifa)!

Ukimuangalia Mh Rais kwa jicho la akili haraka haraka utagundua kuwa ni:
•JASIRI
• MKOMAVU KI UONGOZI
•HANA PAPARA
• ANA JIAMINI AFANYACHO NA KUBWA ZAIDI ANA MAPENZI YA DHATI KWA TANZANIA NA WATANZANIA.

Wakati anaingia Madarakani March, 2021(as President) baadhi ya watu walijipa hofu kuwa MADAM ataweza kweli.....sababu ya Upole na silka yake ya utulivu, Jinsia nk

Lakini mwaka mmoja+ Madarakani mambo yamekuwa tofauti , Mh Samia S Hassan AMEFANIKIWA (above extreme) KUITENGENGENEZA TANZANIA MPYA INAYO HITAJIKA NA KILA MTANZANIA NA WAGENI
Wakulima wanashangilia, Wanaojihusisha na masuala ya Utalii wanafururaia , Wafanyabiashara wanachekelea , Wahitimu wa Ngazi mbalimbali za Elimu Ajira zinamwagwa na Serikali kila uchao, Watumishi ndio usipime (Mishahara juu na posho juu zaidi )... watake nini tena?

Vijana wa mjini wanasema Mh Rais SSH (aka Mama) ANAUPIGA MWINGI, MWINGI ALAFU MWINGI TENA. Kweli Mungu yupo upande wa Rais Samia.

Mh Rais Samia amefanya mengi kwa kipindi kifupi kwa Tanzania na Watanzania na BADO ANA MIPANGO MINGI MIZURI YA KUIFIKISHA TANZANIA NA WATANZANIA KILELE CHA MAFANIKIO TUNACHOKIHITAJI, Ikumbukwe kwamba:

1. Rais Samia hachoki kwa safari za nje kuimalisha ushirikiano na Mataifa mbalimbali

2. Hasinzii kuhakikisha kuhakikisha vyombo vya habari na wana habari wako huru.....anawapapasa

3. Hajapumzika hadi ameona Watumishi wa serikali wamepandishwa madaraja , mishahara, na Posho mbalimbali.

Nani kama Rais Samia?

4. Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania Mama yetu SSH ameongeza bajeti ya Kilimo ili kukidhi matakwa ya wakulima wetu

5. Wananichezo na wasanii kawafanya wanatembea vifua mbele, June 1 tutashangilia nao pamoja Mkapa Stadium na tukimuongezea mitano tena Basi na Tz Taifa Stars 2026 Itashiriki Mashindano ya Kombe la DUNIA, sababu Wizara Imefika kwa Muhusika. TWENZETU KWA MKAPA JUNI MOSI TUKAMPE TANO MH WAZIRI WA MICHEZO

6. Aliahidi Serikali ku subsidize ili bei ya Petrol na Diesel ishuke, amehakikisha inashuka. EWURA WASHAACHIA MKEKA MAPEMAAA KABLA MUDA.

Mungu atupe nini Watanzania zaidi ya Rais Samia
Tusipomuunga mkono dunia ITATUSHANGAA hadi miti na milima Itanena kwa ajili ya Rais Samia

Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania; Mungu Mbariki Rais Samia Suluhu Hassan

JF Expert Member
June kasoro dakika chache
 
Kwa dhati ya moyo Samia Suluhu Hassan ni kiongozi by nature. Ana uchungu n maendeleo ya watanzania Tanzania na Afrika.
Ktk muda wake mfupi wa Urais ameweza kufanya mengi hadi tusiyoyatarajia. Abarikiwe huyu mh Rais SSH jamani
 
Kwa dhati ya moyo Samia Suluhu Hassan ni kiongozi by nature. Ana uchungu n maendeleo ya watanzania Tanzania na Afrika.
Ktk muda wake mfupi wa Urais ameweza kufanya mengi hadi tusiyoyatarajia. Abarikiwe huyu mh Rais SSH jamani
Huku kwetu mche wa sabuni 4500
 
WAUNGWANA WALINENA HAKUNA KAMA MAMA ILA WATANZANIA TUNASEMA HAKUNA KAMA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN (aka Mama wa Taifa)!

Ukimuangalia Mh Rais kwa jicho la akili haraka haraka utagundua kuwa ni:
•JASIRI
• MKOMAVU KI UONGOZI
•HANA PAPARA
• ANA JIAMINI AFANYACHO NA KUBWA ZAIDI ANA MAPENZI YA DHATI KWA TANZANIA NA WATANZANIA.

Wakati anaingia Madarakani March, 2021(as President) baadhi ya watu walijipa hofu kuwa MADAM ataweza kweli.....sababu ya Upole na silka yake ya utulivu, Jinsia nk

Lakini mwaka mmoja+ Madarakani mambo yamekuwa tofauti , Mh Samia S Hassan AMEFANIKIWA (above extreme) KUITENGENGENEZA TANZANIA MPYA INAYO HITAJIKA NA KILA MTANZANIA NA WAGENI
Wakulima wanashangilia, Wanaojihusisha na masuala ya Utalii wanafururaia , Wafanyabiashara wanachekelea , Wahitimu wa Ngazi mbalimbali za Elimu Ajira zinamwagwa na Serikali kila uchao, Watumishi ndio usipime (Mishahara juu na posho juu zaidi )... watake nini tena?

Vijana wa mjini wanasema Mh Rais SSH (aka Mama) ANAUPIGA MWINGI, MWINGI ALAFU MWINGI TENA. Kweli Mungu yupo upande wa Rais Samia.

Mh Rais Samia amefanya mengi kwa kipindi kifupi kwa Tanzania na Watanzania na BADO ANA MIPANGO MINGI MIZURI YA KUIFIKISHA TANZANIA NA WATANZANIA KILELE CHA MAFANIKIO TUNACHOKIHITAJI, Ikumbukwe kwamba:

1. Rais Samia hachoki kwa safari za nje kuimalisha ushirikiano na Mataifa mbalimbali

2. Hasinzii kuhakikisha kuhakikisha vyombo vya habari na wana habari wako huru.....anawapapasa

3. Hajapumzika hadi ameona Watumishi wa serikali wamepandishwa madaraja , mishahara, na Posho mbalimbali.

Nani kama Rais Samia?

4. Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania Mama yetu SSH ameongeza bajeti ya Kilimo ili kukidhi matakwa ya wakulima wetu

5. Wananichezo na wasanii kawafanya wanatembea vifua mbele, June 1 tutashangilia nao pamoja Mkapa Stadium na tukimuongezea mitano tena Basi na Tz Taifa Stars 2026 Itashiriki Mashindano ya Kombe la DUNIA, sababu Wizara Imefika kwa Muhusika. TWENZETU KWA MKAPA JUNI MOSI TUKAMPE TANO MH WAZIRI WA MICHEZO

6. Aliahidi Serikali ku subsidize ili bei ya Petrol na Diesel ishuke, amehakikisha inashuka. EWURA WASHAACHIA MKEKA MAPEMAAA KABLA MUDA.

Mungu atupe nini Watanzania zaidi ya Rais Samia
Tusipomuunga mkono dunia ITATUSHANGAA hadi miti na milima Itanena kwa ajili ya Rais Samia

Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania; Mungu Mbariki Rais Samia Suluhu Hassan

JF Expert Member
June kasoro dakika chache

Mmeshavimbiwa asali, sasa kila mmoja anakuja na chorus zake ili kumpapasa mama! Ila huu ujinga wa kumsifia rais kwa kutekeleza wajibu wake anaolipwa mshahara uliopandikizwa na Magufuli, utachukua muda sana kuondoka.
 
Ngoja sisi wakulima warina asali tuibanie tuone kama hamtalamba shobo zenu .nipishe mie
 
WAUNGWANA WALINENA HAKUNA KAMA MAMA ILA WATANZANIA TUNASEMA HAKUNA KAMA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN (aka Mama wa Taifa)!

Ukimuangalia Mh Rais kwa jicho la akili haraka haraka utagundua kuwa ni:
•JASIRI
• MKOMAVU KI UONGOZI
•HANA PAPARA
• ANA JIAMINI AFANYACHO NA KUBWA ZAIDI ANA MAPENZI YA DHATI KWA TANZANIA NA WATANZANIA.

Wakati anaingia Madarakani March, 2021(as President) baadhi ya watu walijipa hofu kuwa MADAM ataweza kweli.....sababu ya Upole na silka yake ya utulivu, Jinsia nk

Lakini mwaka mmoja+ Madarakani mambo yamekuwa tofauti , Mh Samia S Hassan AMEFANIKIWA (above extreme) KUITENGENGENEZA TANZANIA MPYA INAYO HITAJIKA NA KILA MTANZANIA NA WAGENI
Wakulima wanashangilia, Wanaojihusisha na masuala ya Utalii wanafururaia , Wafanyabiashara wanachekelea , Wahitimu wa Ngazi mbalimbali za Elimu Ajira zinamwagwa na Serikali kila uchao, Watumishi ndio usipime (Mishahara juu na posho juu zaidi )... watake nini tena?

Vijana wa mjini wanasema Mh Rais SSH (aka Mama) ANAUPIGA MWINGI, MWINGI ALAFU MWINGI TENA. Kweli Mungu yupo upande wa Rais Samia.

Mh Rais Samia amefanya mengi kwa kipindi kifupi kwa Tanzania na Watanzania na BADO ANA MIPANGO MINGI MIZURI YA KUIFIKISHA TANZANIA NA WATANZANIA KILELE CHA MAFANIKIO TUNACHOKIHITAJI, Ikumbukwe kwamba:

1. Rais Samia hachoki kwa safari za nje kuimalisha ushirikiano na Mataifa mbalimbali

2. Hasinzii kuhakikisha kuhakikisha vyombo vya habari na wana habari wako huru.....anawapapasa

3. Hajapumzika hadi ameona Watumishi wa serikali wamepandishwa madaraja , mishahara, na Posho mbalimbali.

Nani kama Rais Samia?

4. Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania Mama yetu SSH ameongeza bajeti ya Kilimo ili kukidhi matakwa ya wakulima wetu

5. Wananichezo na wasanii kawafanya wanatembea vifua mbele, June 1 tutashangilia nao pamoja Mkapa Stadium na tukimuongezea mitano tena Basi na Tz Taifa Stars 2026 Itashiriki Mashindano ya Kombe la DUNIA, sababu Wizara Imefika kwa Muhusika. TWENZETU KWA MKAPA JUNI MOSI TUKAMPE TANO MH WAZIRI WA MICHEZO

6. Aliahidi Serikali ku subsidize ili bei ya Petrol na Diesel ishuke, amehakikisha inashuka. EWURA WASHAACHIA MKEKA MAPEMAAA KABLA MUDA.

Mungu atupe nini Watanzania zaidi ya Rais Samia
Tusipomuunga mkono dunia ITATUSHANGAA hadi miti na milima Itanena kwa ajili ya Rais Samia

Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania; Mungu Mbariki Rais Samia Suluhu Hassan

JF Expert Member
June kasoro dakika chache
Bia zimekwisha mezani? Kunywa bia kijana haya hayana tija kijijini kwako, wenzenu wanajenga makwao.
 
WAUNGWANA WALINENA HAKUNA KAMA MAMA ILA WATANZANIA TUNASEMA HAKUNA KAMA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN (aka Mama wa Taifa)!

Ukimuangalia Mh Rais kwa jicho la akili haraka haraka utagundua kuwa ni:
•JASIRI
• MKOMAVU KI UONGOZI
•HANA PAPARA
• ANA JIAMINI AFANYACHO NA KUBWA ZAIDI ANA MAPENZI YA DHATI KWA TANZANIA NA WATANZANIA.

Wakati anaingia Madarakani March, 2021(as President) baadhi ya watu walijipa hofu kuwa MADAM ataweza kweli.....sababu ya Upole na silka yake ya utulivu, Jinsia nk

Lakini mwaka mmoja+ Madarakani mambo yamekuwa tofauti , Mh Samia S Hassan AMEFANIKIWA (above extreme) KUITENGENGENEZA TANZANIA MPYA INAYO HITAJIKA NA KILA MTANZANIA NA WAGENI
Wakulima wanashangilia, Wanaojihusisha na masuala ya Utalii wanafururaia , Wafanyabiashara wanachekelea , Wahitimu wa Ngazi mbalimbali za Elimu Ajira zinamwagwa na Serikali kila uchao, Watumishi ndio usipime (Mishahara juu na posho juu zaidi )... watake nini tena?

Vijana wa mjini wanasema Mh Rais SSH (aka Mama) ANAUPIGA MWINGI, MWINGI ALAFU MWINGI TENA. Kweli Mungu yupo upande wa Rais Samia.

Mh Rais Samia amefanya mengi kwa kipindi kifupi kwa Tanzania na Watanzania na BADO ANA MIPANGO MINGI MIZURI YA KUIFIKISHA TANZANIA NA WATANZANIA KILELE CHA MAFANIKIO TUNACHOKIHITAJI, Ikumbukwe kwamba:

1. Rais Samia hachoki kwa safari za nje kuimalisha ushirikiano na Mataifa mbalimbali

2. Hasinzii kuhakikisha kuhakikisha vyombo vya habari na wana habari wako huru.....anawapapasa

3. Hajapumzika hadi ameona Watumishi wa serikali wamepandishwa madaraja , mishahara, na Posho mbalimbali.

Nani kama Rais Samia?

4. Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania Mama yetu SSH ameongeza bajeti ya Kilimo ili kukidhi matakwa ya wakulima wetu

5. Wananichezo na wasanii kawafanya wanatembea vifua mbele, June 1 tutashangilia nao pamoja Mkapa Stadium na tukimuongezea mitano tena Basi na Tz Taifa Stars 2026 Itashiriki Mashindano ya Kombe la DUNIA, sababu Wizara Imefika kwa Muhusika. TWENZETU KWA MKAPA JUNI MOSI TUKAMPE TANO MH WAZIRI WA MICHEZO

6. Aliahidi Serikali ku subsidize ili bei ya Petrol na Diesel ishuke, amehakikisha inashuka. EWURA WASHAACHIA MKEKA MAPEMAAA KABLA MUDA.

Mungu atupe nini Watanzania zaidi ya Rais Samia
Tusipomuunga mkono dunia ITATUSHANGAA hadi miti na milima Itanena kwa ajili ya Rais Samia

Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania; Mungu Mbariki Rais Samia Suluhu Hassan

JF Expert Member
June kasoro dakika chache
Magufuli hakushukuriwa tu aliitwa mungu kabisa. Na huyu mwiteni mungu ili mioyo yenu iwe na amani
 
Rais ana msemaji wake Ikulu na analipwa mshahara kabisa.
 
Back
Top Bottom