Tusipopaza sauti, Viongozi wa Machinga Mwanza watadhuriwa mikononi mwa Polisi

Kwa Buhongwa Pale ni Junction ya Maeneo mengi nimewah kumtembelea ndugu yangu Busisi alikua na biashara yake ya kuuza Mboga Mboga na Matunda ivo bidhaa zote anazifata Buhongwa ni bora waboreshe Buhongwa
Ukifika Buhongwa, ulizia dampo.
 
Kuna mipango miji we poyoyo km mmezoea kuishia maisha ya uchafu huko mnakoishai msilete kwenye majiji yetu. Fuata sheria za mipango miji na uache kuleta uchochezi kikinuka we hautakuwepo umejificha nyuma ya screen yako. Unataka kuturudisha enzi za yule mshamba majiji yalikuwa km mahema ya wakimbizi. hapana mkatii sheria na mjifunze kuwa wasafi mkiingia mjini. umepangiwa soko unataka upange biashara barabarani, huna hata haya? shenz type!
 
Inawezekana hujui unazungumzia nini.

Hizo vurugu zilianzaje? Umejipa muda wa kutafiki kabla haujalipuka kuwalaani?

Unawatuma mgambo wakawapige ili iweje? Kwa nini usifanye nao kikao cha kuwasikiliza kabla hawajakusikiliza?
siyo kuwapiga wangevunjwa viuno, aliwaambia wakavunje sheria za jiji na ya nchi nani? Kuna sheria ya mipango miji we popoma. Huo ushamba wenu na mazoea ya kuishi mazingira machafu mkarusi huko mlikojifunzia. Mijitu mingine mipumbavu kweli hawataki kufuata maelekezo ya serikali kisa wanyonge, maskini, nani kakufanya uwe maskini naumaskini wako isiwe sababu ya kuharibu taratibu wa wastaarabu. After all mtetezi wenu ameitwa na hatarudi mkiweza mkamfuate watu tubaki na ustaarabu wetu.
 
Mliambiwa wamachinga ni bomu ambalo linasubiri kulipuka jitahidini kundi hili kulipatia shughuli mbadala ya kufanya badala ya kutandika soksi na magauni mabarabani mkabisha, haya pambaneni nao sasa.
Acha uchochezi ndezi, bomu la aina gani hilo, hebu wajaribu kurudi watalipuka wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…