Tusipotoshe, swala la mkataba wa bandari si la kisiasa ni la kiuchumi

Tusipotoshe, swala la mkataba wa bandari si la kisiasa ni la kiuchumi

iMind

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
3,039
Reaction score
4,889
Kuna watu wanapotosha kuwa TEC imeingilia maswala ya kisiasa. Kwamba TEC iache kuchanganya dini na siasa.

Ninachopenda mfahamu ni kwamba, michakato katika nchi imegawanyika katika sehemu tatu Siasa, uchumi na jamii...yaani political, economic and social.

Swala la mkataba wa bandari si swala la siasa ni swala la kiuchumi. Michakato ya kisiasa ni kama kujiandikisha kupiga kura, uchaguzi, mikutano ya hadhara, kujiunga na chama cha siasa etc.

Bandari ni swala la kiuchumi. Hakuna siasa kwenye uchumi ila kuna principles. Muwe na siku njema
 
Kuna watu wanapotosha kuwa TEC imeingilia maswala ya kisiasa. Kwamba TEC iache kuchanganya dini na siasa.

Ninachopenda mfahamu ni kwamba, michakato katika nchi imegawanyika katika sehemu tatu Siasa, uchumi na jamii...yaani political, economic and social.

Swala la mkataba wa bandari si swala la siasa ni swala la kiuchumi. Michakato ya kisiasa ni kama kujiandikisha kupiga kura, uchaguzi, mikutano ya hadhara, kujiunga na chama cha siasa etc.

Bandari ni swala la kiuchumi. Hakuna siasa kwenye uchumi ila kuna principles. Muwe na siku njema
Wanao utetea ni wanufaika na hiyo mipango
 
JK ndiye aliteuliwa yule bibi .
Akijua wazi hawezi kazi hiyo ila wengine wataifanya ila yeye bibi akalie kiti tu.
 
Ndugu Yetu Paskali Mayalla tayari ameishapelekewa ujumbe huu. Tena Mimi naongezea suala la Bandari ni la kiuchumi na ulinzi wa nchi yetu.
 
Kuna watu wanapotosha kuwa TEC imeingilia maswala ya kisiasa. Kwamba TEC iache kuchanganya dini na siasa.

Ninachopenda mfahamu ni kwamba, michakato katika nchi imegawanyika katika sehemu tatu Siasa, uchumi na jamii...yaani political, economic and social.

Swala la mkataba wa bandari si swala la siasa ni swala la kiuchumi. Michakato ya kisiasa ni kama kujiandikisha kupiga kura, uchaguzi, mikutano ya hadhara, kujiunga na chama cha siasa etc.

Bandari ni swala la kiuchumi. Hakuna siasa kwenye uchumi ila kuna principles. Muwe na siku njema
Shukrani Kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom