Nyerere aliendesha nchi kwa mafanikio makubwa sana bila kuwa na wasomi wa kutosha kwanini tumerudi nyuma baada ya kuwa na hao unaoita wasomi wa kutosha?
Viwanda vilikufa
Mashirika yalikufa na mambo mengine ya hovyo
Kwasababu huna akili za kutosha na huo usomi haujakusaidia chochote utasema tumepiga hatua kubwa lakini kiuhalisia kama kweli usomi ungekuwa umeplay part yake tungekuwa mbele mara mia kuliko pale tulipo sasa
Lakini kwasababu huna unachokijua pamoja na usomi wako wote hapa tulipo wewe uliye msomi unaona ni sawa sawa kabisa
Wenye akili wanaona siyo sawa nyie wasomi wa vyeti mnapambana, unapambana nini sasa
Tuambie mlifaulu kwenye jambo gani zaidi ya makaratasi tu
Umeme hovyo
maji hovyo
Barabara hovyo
Elimu hovyo
Hospitali hovyo
Uongozi hovyo
Taja mambo yanayokupambanueni kwamba nyie ni wasomi ili mueleweke hakuna hata kimoja badala yake watanzania tunadharaulika na hii nchi kidunia ni shamba la bibi tu kwa watu waliosoma huko kwenye nchi zao wanakuja hapa kuvuna
Sent from my TECNO KC8 using
JamiiForums mobile app