Wakudadisi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 626
- 528
Kweli Dr. Biteko, dk mwiguluNyerere aliendesha nchi kwa mafanikio makubwa sana bila kuwa na wasomi wa kutosha kwanini tumerudi nyuma baada ya kuwa na hao unaoita wasomi wa kutosha?
Viwanda vilikufa
Mashirika yalikufa na mambo mengine ya hovyo
Kwasababu huna akili za kutosha na huo usomi haujakusaidia chochote utasema tumepiga hatua kubwa lakini kiuhalisia kama kweli usomi ungekuwa umeplay part yake tungekuwa mbele mara mia kuliko pale tulipo sasa
Lakini kwasababu huna unachokijua pamoja na usomi wako wote hapa tulipo wewe uliye msomi unaona ni sawa sawa kabisa
Wenye akili wanaona nyie wasomi wa vyeti mnapamba, unapambana nini sasa
Tuambie mlifaulu kwenye jambo gani zaidi ya makaratasi tu
Umeme hovyo
maji hovyo
Barabara hovyo
Elimu hovyo
Hospitali hovyo
Uongozi hovyo
Taja mambo yanayokupambanueni kwamba nyie ni wasomi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Form six ana Nini Cha ziada kumzidi darasa la saba mwenye pesaSijaona hoja Kali waliyotoa zaidi ya vooja.... Hakuna hoja hata maji ya kujenga nchi hapo.... Au ishu ya matiti kudondoka ndio umeona hoja Mkuu???
Nina wasiwasi watu wengi hawajui kazi ya bunge ni nini.... Sema tu na katiba yetu ya hovyo Sana.... Mbunge ilipaswa kwa Sasa aanzie form six angalau amepata mwanga kidogo.
Nani amekuambia Nyererea liendesha nchi kwa mafanikio makubwa? Haujui kama kipindi chake ndio nchi ilitopea kwenye lindi la umasikiniNyerere aliendesha nchi kwa mafanikio makubwa sana bila kuwa na wasomi wa kutosha kwanini tumerudi nyuma baada ya kuwa na hao unaoita wasomi wa kutosha?
Viwanda vilikufa
Mashirika yalikufa na mambo mengine ya hovyo
Kwasababu huna akili za kutosha na huo usomi haujakusaidia chochote utasema tumepiga hatua kubwa lakini kiuhalisia kama kweli usomi ungekuwa umeplay part yake tungekuwa mbele mara mia kuliko pale tulipo sasa
Lakini kwasababu huna unachokijua pamoja na usomi wako wote hapa tulipo wewe uliye msomi unaona ni sawa sawa kabisa
Wenye akili wanaona nyie wasomi wa vyeti mnapamba, unapambana nini sasa
Tuambie mlifaulu kwenye jambo gani zaidi ya makaratasi tu
Umeme hovyo
maji hovyo
Barabara hovyo
Elimu hovyo
Hospitali hovyo
Uongozi hovyo
Taja mambo yanayokupambanueni kwamba nyie ni wasomi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Viwanda vilikufa wakati wa Nyerere, nadhani hukuwepo. Yaani ujamaa na azimio la Arusha alishindwa.Nyerere aliendesha nchi kwa mafanikio makubwa sana bila kuwa na wasomi wa kutosha kwanini tumerudi nyuma baada ya kuwa na hao unaoita wasomi wa kutosha?
Viwanda vilikufa
Mashirika yalikufa na mambo mengine ya hovyo
Kwasababu huna akili za kutosha na huo usomi haujakusaidia chochote utasema tumepiga hatua kubwa lakini kiuhalisia kama kweli usomi ungekuwa umeplay part yake tungekuwa mbele mara mia kuliko pale tulipo sasa
Lakini kwasababu huna unachokijua pamoja na usomi wako wote hapa tulipo wewe uliye msomi unaona ni sawa sawa kabisa
Wenye akili wanaona siyo sawa nyie wasomi wa vyeti mnapambana, unapambana nini sasa
Tuambie mlifaulu kwenye jambo gani zaidi ya makaratasi tu
Umeme hovyo
maji hovyo
Barabara hovyo
Elimu hovyo
Hospitali hovyo
Uongozi hovyo
Taja mambo yanayokupambanueni kwamba nyie ni wasomi ili mueleweke hakuna hata kimoja badala yake watanzania tunadharaulika na hii nchi kidunia ni shamba la bibi tu kwa watu waliosoma huko kwenye nchi zao wanakuja hapa kuvuna
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Usisahau pia miaka hiyo ya 2005 kurudi nyuma jinsi watu wasiosoma walivyokuwa wakidharaulika kuwa walikimbia umande walioonekana Kama watu wasio na faida kwa taifa hiliKuanzia zama za magufuli wasomi wamedhalaulika sana, ukosefu wa ajira na mambo waliyokua wanayafanya wanasiasa wasomi mfano Pro. Kabudi imesababisha wasomi wote waonekana hamnazo.
Mbaya zaidi viongozi wanalijua ilo lakini hawawezi kulifanyia kazi kwa sababu iyo elimu mbovu ni nyenzo yao ya kuendelea kubaki madarakaniElimu ya watanzania ni mbovuu haina improvement kwa watoto wa taifa la keshoo
Tufunge shule zote mtoto akifikia miaka 7 aende kupambana mtaaniNi aibu zaidi kuwa na wasomi ambao hawana impact kwa jamii na wana behave just like laymans.
Miaka 20 plus ya kukaa darasani kutafuta degree inatakiwa iende sawia na matokeo chanya ya ujuzi uliopatikana,
Msom anapelekwa puta na wanasiasa la saba, unaona ni sawa?
Yap nyakati zinabadilika mkuu. Hata zamani vipotabo ilikua ndio habari ya mjini walikua wanaita english figure sasa hivi chura ndio mpango mzima.Usisahau pia miaka hiyo ya 2005 kurudi nyuma jinsi watu wasiosoma walivyokuwa wakidharaulika kuwa walikimbia umande walioonekana Kama watu wasio na faida kwa taifa hili
Mafanikio gani?Nyerere aliendesha nchi kwa mafanikio makubwa sana bila kuwa na wasomi wa kutosha kwanini tumerudi nyuma baada ya kuwa na hao unaoita wasomi wa kutosha?
Viwanda vilikufa
Mashirika yalikufa na mambo mengine ya hovyo
Kwasababu huna akili za kutosha na huo usomi haujakusaidia chochote utasema tumepiga hatua kubwa lakini kiuhalisia kama kweli usomi ungekuwa umeplay part yake tungekuwa mbele mara mia kuliko pale tulipo sasa
Lakini kwasababu huna unachokijua pamoja na usomi wako wote hapa tulipo wewe uliye msomi unaona ni sawa sawa kabisa
Wenye akili wanaona nyie wasomi wa vyeti mnapamba, unapambana nini sasa
Tuambie mlifaulu kwenye jambo gani zaidi ya makaratasi tu
Umeme hovyo
maji hovyo
Barabara hovyo
Elimu hovyo
Hospitali hovyo
Uongozi hovyo
Taja mambo yanayokupambanueni kwamba nyie ni wasomi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Acha uongo unataka kusema benjamin franklin alikua hajasomaMimi napinga kabisa kwamba usomi ndo unaleta maendeleo, kusoma kote huko sisi watanzania na bado nchi inazidi kuwa maskini tu, mimi najua tupate watu wa kuwajibika na kuleta maarifa, tupate watu wa kujua na kupambana, na mazingira kwenye jamii na kuondoa changamoto zinazowakabili, wananchi. Kwa mfano marekan ilianza kujengwa na watu wakaida kabisa wasio na elimu, na ndo waliiweka kwenye msingi ndo leo!
Hapa umetumia akili za kijiwe,yaani unasoma mpaka ya u Professor kwa kutumia ya kiingereza then bado lugha hiyo hiyo inakupiga chengaKiingereza sio usomi.... Lakini pia kosa ka mmoja lisihalalishe wasomi wote
Mkuu jaribu kuangalia picha kubwa. Ili msomi aweze kua-apply elimu yake inahitajika awe kwenye taasisi kubwa au ya kati au apate support kubwa sana ya capital, leo hii mchukue msomi aliehitimu uinjia ua udaktari umpe laki moja mwambie a-apply elimu yake we unafikiri atafanya nini? Atafungua phamarcy, ataanzisha hospitali, atafungua ofisi ya architect ya majengo? Haitoshi iyo hela kwaiyo ataishia uko uko tu kwenye mishe za uchuuzi zinazofanywa na hao standard 7, ndipo hapo unakuta msomi akikosa ajira hana ujanja kwa sababu alichosomea kinahitaji capital kubwa ambayo hana. Utawasema madokta wameshindwa kutengeneza hata panado tu lakini unajua gharama za kutengeneza dawa kuanzia utafiti, vifaa, majaribio, vibali mpaka inaruhusiwa kutumika? Jiulize graduates au madokta wetu wataweza kuzimudu?Ni aibu zaidi kuwa na wasomi ambao hawana impact kwa jamii na wana behave just like laymans.
Miaka 20 plus ya kukaa darasani kutafuta degree inatakiwa iende sawia na matokeo chanya ya ujuzi uliopatikana,
Msom anapelekwa puta na wanasiasa la saba, unaona ni sawa?
Sasa si ndo uelewe kuna some thing behindAcha ukweli usemwe. Inakuwaje mtu Anakuwa professor Hana Tija Kwa Taifa
Hata kingereza Hajui.
Mfano Ndalichako waziri...Alifanya nini Kwenye Taifa hili kama waziri wa Elimu
Wako wengi tu. Hawana impact Kwa jamii
Acha ukweli usemwe. Inakuwaje mtu Anakuwa professor Hana Tija Kwa Taifa
Hata kingereza Hajui.
Mfano Ndalichako waziri...Alifanya nini Kwenye Taifa hili kama waziri wa Elimu
Wako wengi tu. Hawana impact Kwa jamii
Daah hao wabunge wana tu ponda sana hawajui nini kinatukumba aiseeMkuu jaribu kuangalia picha kubwa. Ili msomi aweze kua-apply elimu yake inahitajika awe kwenye taasisi kubwa au ya kati au apate support kubwa sana ya capital, leo hii mchukue msomi aliehitimu uinjia ua udaktari umpe laki moja mwambie a-apply elimu yake we unafikiri atafanya nini? Atafungua phamarcy, ataanzisha hospitali, atafungua ofisi ya architect ya majengo? Haitoshi iyo hela kwaiyo ataishia uko uko tu kwenye mishe za uchuuzi zinazofanywa na hao standard 7, ndipo hapo unakuta msomi akikosa ajira hana ujanja kwa sababu alichosomea kinahitaji capital kubwa ambayo hana. Utawasema madokta wameshindwa kutengeneza hata panado tu lakini unajua gharama za kutengeneza dawa kuanzia utafiti, vifaa, majaribio, vibali mpaka inaruhusiwa kutumika? Jiulize graduates au madokta wetu wataweza kuzimudu?
Acha uoga wataje kwa majina unaogopa Nini.Habari wanaBodi...
Nimekua mfatiliaji kidogo wa mijadala ya Bungeni hasa michango inayotolewa na wabunge mashuhuri wawili watatu hivi kuhusu Taifa na maendeleo yake Kiuchumi kisiasa na kiteknolojia.
Lengo la kuandika huu uzi sio kuwataja hao wabunge au kuwadhalilisha Bali ni kuwakosoa ili kujenga Taifa Bora Zaidi.
Mara zote katika michango yao, wabunge Hawa wawili wamekua wakipinga Sana ajenda ya usomi na wasomi wenyewe. Kwa haraka haraka wanaamini kabisa wasomi wetu ambao wapo katika sekta mbalimbali hakuna wanalolifanya kwa Kutumia elimu yao. Yaani kimsingi wanaamini mambo yataenda tu kienyeji bila elimu. Kifupi hawaamini kama elimu Ina msaada wowote katika kukuza chumi za nchi na ustawi wa Wananchi wake.
Hawa watu ukiwafatilia kiundani ni watu waliofanikiwa Kiuchumi kwa njia ambazo wao wanaamini hazikuhitaji elimu, sababu wao wameishia la Saba. Hivyo wanaamini mtu yoyote sio lazima asome ili afanikiwe, kisa tu wao hawajasoma na wametoboa.
Tusipowadhibiti au kupinga hizi kauli zao za kibaguzi dhidi ya wasomi wetu, yamkini watoto au wajukuu zetu huko mbeleni wakipata hizi Hansard hawataona umuhimu wa kusoma, wataamini kama huyu "Joshua" alitoboa(ga) bila kusoma basi kumbe Kuna short cut ya Maisha inawezekana.
TUWAKEMEE MARA MOJA.
Nawasilisha.