Tusipowakemea hawa wabunge wanaobeza elimu yetu na wasomi wetu, tutazalisha Taifa la hovyo kabisa

Elimu gani unayoisema?
Hii elimu ni mbinu ya wakoloni kutengeneza watumwa wa akili.
Hata wewe hapo ni mtumwa kwaniunawaza kudhibiti maoni ya wengine kwa kuwa huna hoja,we ni dhaifu na umebaki na cheti kwa ajili ya kutambia tu lakini huna lolote katika kuchangia uchumi wa nchi.
Ningekuwa Rais, wasomi wote ningefuta vyeti vyenu na kutoa elimi mpya ya kuwafanya muwe wabunifu na sio upuuzi tunaouona sasa.
 
Ndiyooooooo,kazi yake ndogo sana.
 
Wasomi wa bungeni ilibidi wawe mstari wa mbele kupinga hoja na udhalilishaji wa hao wasio wasomi.

Siku zote wasio wasomi huwa na chuki sana kwa wasomi afu hapo hapo hao std 7C nao wanaanza kujiita Dr 😂 😂
 
Naamini wewe ni mmoja wa wasomi wetu, maana una behave just exactly the same
nimetoa mfano wa napster na dogo, lengo ilikuwa ni kukuonesha kuwa jinsi elimu inavyoweza kumfanyia mtu awe mbunifu na kujitegemea kama itafundishwa kwa mitaala mzuri, wewe umekuja na mijadala yako ya kutunga tunga ili ku accommodate idea zako binafsi. Eti America Kuna funds za software developments, huu uongo umetoa wapi? Napster yenyewe kwanza ilifungwa kwa kesi kibao maana ilikuwa ina violate music copyrights, halafu ndo useme ilikuwa funded na USA government?
Aliyetoa mfano wa medical graduate eti hawana capital ya kufungua hospitali naye yupo kwenye kifungo hicho hicho mnachohangaika wasomi wetu, hamna clue, ingekuwa elimu yetu ni nzuri mngekua mnaajirika kwenye mashirika ya kimataifa.
 
Hakuna anayeiponda elimu, ni vile wewe umeamua kupeleka mijadala kwenye angle hiyo.
Kinachojadiliwa ni ubora wa wasomi wetu kwenye kufanya maamuzi yenye tija kutokana na fani zao husika.
 
Msomi sio lazima avumbue kitu, reasoning yake tu kwenye kutatua chamgamoto ni sifa tosha.
Pale ubungo mataa pamesumbua foleni kwa miaka Mingi sana, Mchina alikuja kuweka roud about, aka maliza tatizo, na tuna wataalamu ila hawakuwa na hiyo clue.
 
Msomi sio lazima avumbue kitu, reasoning yake tu kwenye kutatua chamgamoto ni sifa tosha.
Pale ubungo mataa pamesumbua foleni kwa miaka Mingi sana, Mchina alikuja kuweka roud about, aka maliza tatizo, na tuna wataalamu ila hawakuwa na hiyo clue.
Mkuu unachanganya siasa na elimu hivo ni vitu viwili tofauti kwenye siasa njano sio njano ni blue utawalalamikia wasomi sana kwa siasa zetu uchwara
 
Kama unajiona msomi na umesoma prove it Kwa matendo yako na fanya mambo ya maana, naona mnalazimisha kuheshimiwa Kwa sababu tuu mna degree, na kama umesoma unaogopa Nini wakikuita mtu wa hovyo, watu wanajua Mchele upi na pumba zipi, msilazimishe heshima msiyostahili, huyo msukuma hajasoma lakini anaongea mambo ya maana kuliko 90% ya wenye degree
 
Mkuu unachanganya siasa na elimu hivo ni vitu viwili tofauti kwenye siasa njano sio njano ni blue utawalalamikia wasomi sana kwa siasa zetu uchwara
Naelewa sana Siasa na wasomi hawachangamani, lakini naamini Msomi anatakiwa kuwa na mamlaka ya command kutokana na uelewa wake.
Ukishaona Msomi ana compromise integity kwa wanasiasa basi jua Msomi ndo mwenye shida, Akina msukuma huko bungeni wamesimamia kwenye udhaifu huo wa wasomi.
 
Tupe mfano msomi asiyekuwa na mamlaka wala nyenzo pesa anatakiwa afanyeje ili kuonesha uwezo wake ukiachana na wasomi walio kwenye siasa(ajira rasmi na vyeo vya kuteuliwa)
 
Tupe mfano msomi asiyekuwa na mamlaka wala nyenzo pesa anatakiwa afanyeje ili kuonesha uwezo wake ukiachana na wasomi walio kwenye siasa(ajira rasmi na vyeo vya kuteuliwa)
Ndani ya mfumo wa Elimu yetu hii ya kukariri siwezi kukupa mfano wa Msomi anayeweza kuonesha uwezo wa alichosoma ni wachache sana,
Ukishakuwa na elimu ya kukariri jua huwezi vumbua kitu naishia kwenye hiyo hiyo cycle.,
 
Mambo ya maana kama yapi mkuu fafanua, kuitwa msomi sio kuwa unajua kila kitu kuna area of specialization mtu aliesomea ualimu umahiri wake anaenda kuuonesha darasani akifundisha wanafunzi, aliesomea udoctor umahiri wake anaenda kuonesha akitibu wagonjwa mahospitalini

Hivyo hivyo aliesomea biashara ataonesha umahiri wake kwenye biasha, na mind u wasomi wengi wanaoacha kelele zinakuwa nyingi siku hizi ni walimu, doctors/nurses pamoja na watu wa human resources yaani watu waliosomea utawala sasa hao wataka usomi wao wakauoneshe kwenye biashara?

Sasa ukija kwenye siasa hao maprofesa wa kwenye siasa hata msiwaongelee kwasasabu siasa ni siasa tu ukiwa na akili siasa sio mahari pako waulize walioleta kujua kwenye uringo wa siasa wameishia wapi?

Hao wabunge kama wanaona elimu haina maana waambieni wakawatibu wagonjwa muhimbili kwa elimu zao za darasa la saba
 
Kishimba usimuweke humo yeye hana formal education lakini ameelimika ndio maana kwenye makampuni yake kaajiri walioenda shule
 
Ndani ya mfumo wa Elimu yetu hii ya kukariri siwezi kukupa mfano wa Msomi anayeweza kuonesha uwezo wa alichosoma ni wachache sana,
Ukishakuwa na elimu ya kukariri jua huwezi vumbua kitu naishia kwenye hiyo hiyo cycle.,
Sihitaji unitajie mtu, nipe mfano wa vitu vya maana vinavyotakiwa kufanywa na msomi aliesomea ualimu, udoctor, ukatibu tawala, ufamasia n.k ili aonekane kafanya kitu cha maana kama msomi
 
Sihitaji unitajie mtu, nipe mfano wa vitu vya maana vinavyotakiwa kufanywa na msomi aliesomea ualimu, udoctor, ukatibu tawala, ufamasia n.k ili aonekane kafanya kitu cha maana kama msomi
Fanyeni vumbuzi au consultatations kwenye fani mlizosomea, mbona vijana wa ufundi veta wanaingiza kwenye kujiajiri straight,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…