kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Ila japo hawajaenda shule wanajenga hoja nzuri sana kuliko aliyeenda shule. Wangebahatika kwenda shule wangetoboa kimataifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapa umekosea, lengo lawewe kusoma zwangendaba halikuwa kuwa uwe tajiri kupitia history ya zwangendaba hapana ila lengo ni wewe uijue historia ya nchi yako kama wanavyofanya mataifa makubwa kutunza iconic wao walioleta michango yao kwenye taifaMie nimesoma historia ya zwangendaba na lubalunda empire na hakuna nilipo apply, hovyo tu,
nilimeza kile kitabu cha advanced marth na lile likitabu la physics tulikuwa tunaliita abbott, yaani mwalimu aliandika swali namtajia hadi ukurasa wa jibu lilipo ka mwinjilisti wa kisabato,
Sasa ile story ya manenge na mandawa ilikuwa ya nini? Na stori za juma roza.
Ile research paper niliyogundua uhusiano wa rushwa na umasikini sijawahi hata kupewa tuzo. Kuna kiongozi aliwahi sema hajui kwanini sisi ni masikini, nikafanya research hadi nikagundua kwanini sisi ni masikini hadi leo namimi ni masikini.
Bora hizi digirii ziwe kama hati ya nyumba tuweze kuchukulia mkopo au kuwekwa dhamana mahakani nikiwa na kesi,
Mkuu unapima kiwango cha elimu kwa hoja wewe utakuwa mwanasiasaIla japo hawajaenda shule wanajenga hoja nzuri sana kuliko aliyeenda shule. Wangebahatika kwenda shule wangetoboa kimataifa.
Naungana nawewe lakini kuna upande ukifikiria ukisoma elimu inayohusu wewe mtanzania tu hususani hii ya formal schooling utakuta kuna fursa nyingi sana tutakosa kimataifa kwakuwa wagunduzi wa hii dunia ni wazungu waafrica tunagundua tunguli tu za kurogana ukifundishwa izo ni sawa ila sio sawasawaTatizo elimu yetu, iko kimagharibi sana, hatuna elimu ya kiuhalisia wa kiafrika? yani elimu ya asili, yetu africa? elimu inamtego wa kiutumwa kwa ajili mataifa ya ulaya magharibi, uchina walikuja na mfumo wao, wa elimu asilia, umepiga hatua kubwa sana, nchi za kiafrica ziko nyuma sana, kwa kuendekeza, elimu ya mfumo wa kikoloni.
Tatizo wengi wenu mnachanganya elimu na siasa kitu ambacho si sahihiBandari tumefeli kuendesha, Gas ya Mtwara mikataba haieleweki, kwenye madini ndo hakueleweki kabisa.
Mtu msomi wa PhD anaweza akaamka akafuta matokeo ya Uchaguzi mkuu au akaamua kuufuta upinzani.
Kwa kweli katika kaelimu kadogo nilichonacho ila nakubaliana na hao wabunge wanaowabeza wasomi ndani ya Taifa hili.
Mkuu unazungumzia usomi au unzinzi? Hebu kuwa specificMimi nimesoma nimefika chuo -Ila wasomi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa wapo nyuma Elimu haijawasaidia .
Fatilia vizuri wasomi wetu utagundua hilo jambo.
Wachache uno waona wapo smart ni wale ambao walitumia muda wao na gharama kujitafutia maarifa nje ya mtaala rasmi. Kama kusoma Sana vitabu n.k
MTU msomi hata kiingereza hajui, MTU msomi anatukana matusi , MTU msomi mwizi anaiba pesa za walipa kodi ,MTU msomi mzinzi. Anabeti ,mlevi
Hapa Tanzania hamna wasomi Kama wasomi
Mkuu, kwanza fahamu kuwa kuna tofauti ya kusoma na kuelimika,wengi wa hawa wanaoitwa/wanaojiita wasomi,hawajaelimika [hawa ndiyo wanaosemwa],wapo serikalini na nje pia na ipo mifano mingi hai inayothibitisha na kudhihirisha ukweli huko.Fatilia vyema hoja za Hawa jamaa.... Utagundua wanawaponda wasomi na usomi kwa ujumla kwa kua wao wametoboa kwa njia zao bila kusoma.... Fikiria nje ya box
Nakuelewa Sana... Ila approach yao ni unacceptable... Wana shusha hadhi ya elimu yetu kama Haina maana vile.Mkuu, kwanza fahamu kuwa kuna tofauti ya kusoma na kuelimika,wengi wa hawa wanaoitwa/wanaojiita wasomi,hawajaelimika [hawa ndiyo wanaosemwa],wapo serikalini na nje pia na ipo mifano mingi hai inayothibitisha na kudhihirisha ukweli huko.
Tuache ukweli usemwe ili wakujifunza wajifunze na vilaza wabadilike.