Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Wale wanaosema katika uzi huu kuwa KKKT kuna vurugu na kwao mambo siku zote yanaendeshwa vizuri atafakari kwa Nini Kiongozi wao alienda Canada kuomba msamaha kwa wenyeji asilia wa huko kutokana na kashfa ya kunyanyasa kingono watoto waliokuwa chini ya uangalizi wa Kanisa.
Kuanzia Amerika, ikafika Ulaya na Amerka Kusini kashfa za kunyanyasa watoto kingono zilizohusisha mapadre na kufumbiwa macho na viongozi zimefichuliwa mahakamani.
Wahanga ambao wamefikia utu uzima wameamua kuvunja ukimya. Kadinali mmoja huko Australia ametiwa hatiani kwa kuficha jinai za ulawiti za mapadre wake.
Hapa Tz kuna kesi inaendelea.
Hata kwenye eneo la fedha skendo za benki za Vatican zinashangaza-watu wawili tofauti wameandika vitabu kuhusu hayo.
Usicheke mwenye kibanzi katika jicho, kumbe wewe una boriti jichoni.
 
... shaheed wa mnyaazi huyo! Kukata watu koromeo haoni shida ila Mchungaji kupewa likizo humtoka maneno yasiyo na hisabu.

Kaka yangu ni Yesu baada ya Yeye kuwa w kwanza kufufuka katika wafu nami ni wa pili nimefanyika hivo kiroho. Ni Mungu wangu, Baba na kaka yangu. Hana dhehebu wala dini wote wake wanaitenda kweli yake, ni wake pia wakosefu anawapenda alikuja kwao pia japo wana imani zao hawamtaki ndo hao sasa
 
Hakuna aliye mkamilifu chini ya Jua hata kama wewe siyo RC, Anglican, Walokole na KKKT wewe pia siyo mkamilifu, mkamilifu ni Mungu peke yake.

Neno linasema Watakatifu waishio dunian ndo niliyopendezwa nao. Ishi maisha ya utakatifu Mungu ni cheo sio jina
 
Heri yako wewe unayesali Kanisa la Mbinguni linaloongozwa na Malaika. Heri yako wewe Malaika unayeishi Duniani.Lakini kumbuka hata Musa hakukanyaga Kaanani pamoja kuongea physically na Mungu.

Lakini yupo mbinguni na mimi Nipo kaanani kwan ni mbali ni Shika sheria,Amri,hukumu na maagizo ya Mungu na kuyatenda muombe Mungu akupe mzazi wa kiroho wa kuilea roho yako hiyo dini ya Baba yako umelidhi unaita imani yako haiwezi kutimiliza mapenzi ya Mungu kamwe
 
Mbona makasiriko shehe, pilipili usokula zakuwashiani?[emoji1787]

Malaika alikanyaga Bahari au akakanyaga na nchi kavu ushajiuliza aliwezaje kuikanyaga bahari kwa mguu mmoja. Yesu alikuwa mnyenyekevu dini zina ubabe sbb sio wa Yesu mpaka watakspotoka kwenye dini anatoka mmoja mmoja kwa kuchaguliwa. Yesu ni Bwana
 
Nimekuuliza unaabudu wapi ,najua huwezi nijibu kwasababu sio waisilamu,wa TAG,EAGT,au wasabato kote migogoro chungu nzima

Mimi sio mwana madhehebu. Mimi ni mwana wa Mungu. Naabudu popote kwa Maana ya sehemu ya kukusanyika na wana wa Mungu wenzagu haina haja nikwambie maana kwetu hauji kwa kupenda kwako ila kwa Mungu kukupenda ww. Yaan usha Kuwa kwenye din yako umepigwa kwa waganga umegongwa ukichoka Yesu akakupeda ndo anakuleta nilipo mnaanza upya
 
Hata mimi inanishangaza sana,ukiwasoma wenye KKKT yao unakuta hata wamerudi nyuma kusubiri anguko la huyo aliyeteuliwa kama m'badala.

Huyo Kimaro aachwe ili kile alichokifanya hapo K/nyama akakifanye na kwingine hao wanaomng'ang'ania ni wabinafsi na siioni imani wanayosema wanayo kama ishu ndogo kama hii inawatoa kwenye rail
KKKT Wana utaratibu mbovu sana wa uendeshaji ambao unamtengeneza mtu badala ya kanisa. Hii statement nimeirudia tena na nitafanya hovyo tena na tena. Mchungaji anaachwa sehemu mpaka anajijenga anakuwa Mungu mtu. Kimaro anaweza kuwa na afadhali kuliko wengine. Kanisa liliangalie hili kwa mapana yake
 
Back
Top Bottom