and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Sure. Wala asingeaga hakuna ambae angejuaTabu ilianza na yeye kutangaza kasimamishwa kazi. Angepiga kimya na mambo yangeenda kimya tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure. Wala asingeaga hakuna ambae angejuaTabu ilianza na yeye kutangaza kasimamishwa kazi. Angepiga kimya na mambo yangeenda kimya tu.
Katibu mkuu wa Dayosisi alitafutiwa mshahara na mchungaji kupitia sadaka mkumbuke.1. Wapi sheria ya kazi imetamka likizoya siku 60?
2. Kapewa likizo (batili) na mtu asiye mwajiri wake (Msaidizi wa Askofu, wakati mwajiri Ni Katibu Mkuu, Dayosisi.
toa ujinga wako hapaKuna tetesi wachungaji wote wa Dayosisi aliyozaliwa Dr Eliona Kimaro wanaandaa mgomo na maandamano makubwa kupinga alichofanyiwa mchungaji Kimaro
Ujinga upi?toa ujinga wako hapa
wa Tetesi zako ambazo hazipo na hazitakuwepoUjinga upi?
Nimekuuliza unaabudu wapi ,najua huwezi nijibu kwasababu sio waisilamu,wa TAG,EAGT,au wasabato kote migogoro chungu nzimaMakanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata.
Wewe angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
Unajua maana ya tetesi au Wewe ni la saba?wa Tetesi zako ambazo hazipo na hazitakuwepo
Una majivuno,huenda ukawa mzinifu piaMakanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata.
Wewe angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
Warumi wajanja sana. Hawataki makasisi wao kuoa. Kiruhusu wachungaji, mapadre na kuoa au kuolewa ni shida Kubwa sana ya migogoro kwenye haya makanisa yasiyo yakikatoliki. Ebu fikiria Padre au mchungaji anafamilia huoni hapo matatizo ya kimaslahi yataanzia hapo?.Ktk makanisa makubwa yenye migogoro ya kipuuzi ni KKKT na Anglican!
haya mambo huwezi kuyakuta kanisa Katoliki hata mara moja!
Husda, wivu, kijicho, umimi na ubinafsi hasa wa viongozi wao ndio yanayomaliza haya makanisa!
Wengi ya hao uliowataja huwa ni wachoyo na wenye roho mbaya sijui huwa ni kwaniniMakanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata.
Wewe angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
Kweli kuna mwajiri na mwajiriwa, lakini pembeni kuna waamini ambao wanawalipa wote kupitia sadaka. Hivyo kwenye hili sakata siyo suala la mwajiriwa na mwajiri peke yao.Swala la Mwajiri na Mwajiriwa Waumini wamelishikia bango
Hawajui hata Sheria ya Kazi
Kuna tetesi wachungaji wote wa Dayosisi aliyozaliwa Dr Eliona Kimaro wanaandaa mgomo na maandamano makubwa kupinga alichofanyiwa mchungaji Kimaro
Kkkt ni mali ya nani ? ni mali ya waumini au vp ksma ni mali ya waumini basi mwajiri mkuu ni muumini kama ilivyo serikali ni mali ya wananchi hivyo rais kaajiriwa na wananchi ila kwa sisiemu ya saa mia ni kikundi cha wahuni tu hakuna mwananchi kakiajiri
Kupimo kipi zaidi ya Dubai watu wanaacha maduka wazi wanaenda kuswali na hakuna vibaka nitajie nchi moja tu ya kikristo yenye mfano huo[emoji3][emoji3] sisi wakristu tunashida hatupendi ukweli
Huyo Katibu mkuu ni mwajiri ambaye hana fedha Za kuwalipa wachungaji, Bali wenye fedha na mishahara ni waumini.
Hata Katibu mkuu analipwa kupitia sadaka Za waumini.
Vyanzo vya mapato ya Dayosisi ni sadaka kutoka kwa waumini.
Kama hujui na huamini kwamba wapo wachungaji ambao ni taasisi, waambie KKT wakamguse Mastai wa Kimara tujue joto na baridi.
Halafu anakula sadaka za vijana ambao sio waaminifu"Vijana wa Kikristo sio waaminifu ni wezi, mimi hata kwenye miradi yangu nimeajiri vijana wa kiislamu" jii kauli ilibidi makanisa yatoe tamko kwa pamoja, ina uzito usio wa kupuuzia.