Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Gwajima anakwambia kama Padre Luther alijitoa Kanisa Katoliki akaanzisha Lutheran Church kwanini yeye Gwajima akianzisha Gwajiman Church iwe nongwa? [emoji1787]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ktk makanisa makubwa yenye migogoro ya kipuuzi ni KKKT na Anglican!
haya mambo huwezi kuyakuta kanisa Katoliki hata mara moja!
Husda, wivu, kijicho, umimi na ubinafsi hasa wa viongozi wao ndio yanayomaliza haya makanisa!
Ni Kwa sababu wameruhusiwa kuoa na kuzaa Sasa wanasikiliza ushauri wa wenza wao[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Analinganisha watoto wa "HALALI" na watoto wa "HARAMU"?, kumbe ana MIRADI sasa hapo KKKT si angehama tu? huyu hata akihamia KKKT EA kwa MWAIKALI bado watashindwana, watu walisha mjaza KIBURI, na njia ya mwenye kiburi ni ipi? unaita watu MATAPELI, waongo MAJAMBAZI, kwa kipimo gani? mwenye uwezo wakupima wanaadamu ni Mungu peke yake... mimi namshauri aanzishe kanisa lake ajiri waislamu.
Kupimo kipi zaidi ya Dubai watu wanaacha maduka wazi wanaenda kuswali na hakuna vibaka nitajie nchi moja tu ya kikristo yenye mfano huo[emoji3][emoji3] sisi wakristu tunashida hatupendi ukweli
 
Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.

Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi

Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Hakika, wasimvimbishe kichwa akajikuta ametupwa kuzimu kama Lucifer

Utukufu ni wa Mungu pekee siyo mwanadamu, na Mungu katu hagombei Utukufu na Mwanadamu
 
Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata.

Wewe angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
Mbona makasiriko shehe, pilipili usokula zakuwashiani?🤣
 
Huwa sina ubia au uanachama na Chadema and for that matter Bavicha ila nawaunga mkono kwa 1,000,000,000,000% times kwa wanachokifanya. Mwenye akili yeyote atakuwa na Chadema kwa namna yoyte ile. Wezi, wahuni, kama nyinyi ndio mko CCM. Waungwana tuko Chadema.

Mwenyekiti wenu kasema msitufanyie vurugu wala msitutukane mbona hamumuelewi kamanda mbowe
 
Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.

Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi

Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Nikukumbushe kuwa Wachungaji wote Mwajiriwa wa KKKT wanaolipwa mshahara kila mwisho wa mwezi na sharika zao wenyewe.

Kwa mantiki hiyo kama ushirika wako sadaka Za kila wiki ni kidogo huna chako kama mchungaji.

Ndio sababu wachungaji wanaopendwa na maaskofu wanapangiwa zile sharika zenye waumini wenye uwezo Ili mchungaji apate mshahara.

Kazi ya dayosisi na Jimbo ni kupata asili mia ya sadaka kila wiki.
 
"ELIONA KIMARO HAPO ALIPO TAYARI NI TAASISI KAMILI"
Kanisa la kkkt ni la kiuinjilisti na ndicho afanyacho Kimaro uinjilisti unafahamika ni uhubiri zaidi.
Taasisi kamili kwanini sasa analilia Usharika usio wake? Mwombeeni, vinginevyo mtamwangamiza kwa maneno yenu

Mungu hagombei Utukufu na Mwanadamu ama kiumbe yoyote; kama huamini soma habari za Shetani/Lucifer

Huyo alikuwa Malaika, kiongozi wa Sifa...definitely maarufu kuliko Kimaro

Utii katika Huduma za Kanisa/Kiroho ni jambo kubwa, na nina furaha kwamba Mch.Kimaro ameelewa na kutii maelekezo aliyopewa, mashabiki oyaoya msipeleke njia isiyofaa
 
Nikukumbushe kuwa Wachungaji wote Mwajiriwa wa KKKT wanaolipwa mshahara kila mwisho wa mwezi na sharika zao wenyewe.

Kwa mantiki hiyo kama ushirika wako sadaka Za kila wiki ni kidogo huna chako kama mchungaji.

Ndio sababu wachungaji wanaopendwa na maaskofu wanapangiwa zile sharika zenye waumini wenye uwezo Ili mchungaji apate mshahara.

Kazi ya dayosisi na Jimbo ni kupata asili mia ya sadaka kila wiki.
Mwajiri pale KKKT ni Katibu wa Dayosisi
 
Mwajiri pale KKKT ni Katibu wa Dayosisi
Huyo Katibu mkuu ni mwajiri ambaye hana fedha Za kuwalipa wachungaji, Bali wenye fedha na mishahara ni waumini.
Hata Katibu mkuu analipwa kupitia sadaka Za waumini.

Vyanzo vya mapato ya Dayosisi ni sadaka kutoka kwa waumini.
 
Huyo Katibu mkuu ni mwajiri ambaye hana fedha Za kuwalipa wachungaji, Bali wenye fedha na mishahara ni waumini.
Hata Katibu mkuu analipwa kupitia sadaka Za waumini.

Vyanzo vya mapato ya Dayosisi ni sadaka kutoka kwa waumini.
Ndio azingatie masharti ya Ajira yake hai Waumini hatawakuta kule CMA
 
Back
Top Bottom