Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.

Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi

Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Wape za uso wavaa makobazi.....
 
Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata. Ww angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
tupe suluhisho ni nn kifanyike na ni wapi kulikotulia?pia tuambie na wewe uko upande upi labda tutajua na huko uliko kumetulia?
 
"Vijana wa Kikristo sio waaminifu ni wezi, mimi hata kwenye miradi yangu nimeajiri vijana wa kiislamu" jii kauli ilibidi makanisa yatoe tamko kwa pamoja, ina uzito usio wa kupuuzia.
 
"Vijana wa Kikristo sio waaminifu ni wezi, mimi hata kwenye miradi yangu nimeajiri vijana wa kiislamu" jii kauli ilibidi makanisa yatoe tamko kwa pamoja, ina uzito usio wa kupuuzia.
Labda ututajie baadhi ya vijana Waaminifu wa kikristo wanaojulikana
 
... shaheed wa mnyaazi huyo! Kukata watu koromeo haoni shida ila Mchungaji kupewa likizo humtoka maneno yasiyo na hisabu.
Duh kama ni hao ndio usiseme migogoro mpaka ngumi kwenye mihadhara,bora wa rc wao wanayo ya kutosha sema wanamalizia Vatican
 
Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.

Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi

Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Dakta Shoo kampa likizo ya lazima Dakta Kimaro 😆😆😆
 
HUU UCHUNGUZI WA MAISHA BINAFSI NANI KUUONGOZA...?

DIWANI
MWENYEKITI WA MTAA
BALOZI
MJUMBE WA NYUMBAKUMI
BABU YAKE
MJOMBA WAKE
SHANGAZI WAKE
MBUNGE
RAIS
WAZIRI
ASKOFU
KARANI WA SENSA
NHC
TBA
HELA
BAR
KIONGOZI WA KABILA LA BABA MTOA POST
KIONGOZI WA KABILA LA MAMA MTOA POST

ILA ASISAHAU HADI ALIYEMFANYA MTOA POST APOST ARIDHIKE


UFISADI WA KUTISHA TAMISEMI

HATUTAKI KUFA TUTAMPATAJE!? MCHEZO TUNAUPENDA LAANA ZA KUJIAJIRI WAPO 2 KAMA MILIONI 677... TUTAMPATAJE TUMUANDAE (Katiba Mpya Inaitwaje kwa KABILA LAKO MAANA LABDA IPO SIKU WATU WAKO NDIO WANATAKIWA WAELEWE)
 

Attachments

Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.

Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi

Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Mshahara wake hutoka Wapi?Bila Waumini Kuna Taasisi?
 
Mashetani ni kama wewe unayebariki uhuni wa malasusa!
Hakuna uhuni wowote. Aliyemuweka hapo ana haki ya kumuondoa na kumpangia majukumu mengine mahali pengine. Tatizo watu kama wewe mnataka kulifanya kuwa jambo la kisiasa. Kama wachungaji wengine wanaweza kuhamishwa, kwanini isiwe huyo mchungaji wenu? Yuko chini ya taasisi, nilazima aheshimu taratibu za taasisi. Acheni kumpa kichwa.
 
Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata.

Wewe angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
Hakuna aliye mkamilifu chini ya Jua hata kama wewe siyo RC, Anglican, Walokole na KKKT wewe pia siyo mkamilifu, mkamilifu ni Mungu peke yake.
 
Back
Top Bottom