Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata.

Wewe angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
Heri yako wewe unayesali Kanisa la Mbinguni linaloongozwa na Malaika. Heri yako wewe Malaika unayeishi Duniani.Lakini kumbuka hata Musa hakukanyaga Kaanani pamoja kuongea physically na Mungu.
 
CCM ni wauaji, badala ya kuanzisha vita ya msituni kuingoa CCM, the first option ni kukaa na muuaji kuona kama ana akili za ziada kuona hatari iliyo mbele. sasa muuaji ameliona hilo, why usizungumze?
Mlianza kukaa na fisadi Lowassa na sasa mmekaa na ccm kabisa.

Yajayo yanafurahisha.
 
Ktk makanisa makubwa yenye migogoro ya kipuuzi ni KKKT na Anglican!
haya mambo huwezi kuyakuta kanisa Katoliki hata mara moja!
Husda, wivu, kijicho, umimi na ubinafsi hasa wa viongozi wao ndio yanayomaliza haya makanisa!
 
Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata.

Wewe angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
Hivi wewe mwenyewe ukisoma unaelewa ulichoandika kweli?
Kwanini usiwe unatulia na kusoma upya ulichoandika kabla ya kurusha?
mara zote huwa unakurupuka kama uharo!
 
Ktk makanisa makubwa yenye migogoro ya kipuuzi ni KKKT na Anglican!
haya mambo huwezi kuyakuta kanisa Katoliki hata mara moja!
Husda, wivu, kijicho, umimi na ubinafsi hasa wa viongozi wao ndio yanayomaliza haya makanisa!

Usisahau msingi wa kuundwa KKKT ulikua ni vurugu

Yaani kanisa lilipatikana baada ya mvurugano
 
"Vijana wa Kikristo sio waaminifu ni wezi, mimi hata kwenye miradi yangu nimeajiri vijana wa kiislamu" jii kauli ilibidi makanisa yatoe tamko kwa pamoja, ina uzito usio wa kupuuzia.
Analinganisha watoto wa "HALALI" na watoto wa "HARAMU"?, kumbe ana MIRADI sasa hapo KKKT si angehama tu? huyu hata akihamia KKKT EA kwa MWAIKALI bado watashindwana, watu walisha mjaza KIBURI, na njia ya mwenye kiburi ni ipi? unaita watu MATAPELI, waongo MAJAMBAZI, kwa kipimo gani? mwenye uwezo wakupima wanaadamu ni Mungu peke yake... mimi namshauri aanzishe kanisa lake ajiri waislamu.
 
Mimi ni mkatoliki. Nilikuwa naongea na ndugu yangu mlutheri mwezi mmoja uliopita kuhusiana na sharika za kimara na kijitonyama. Hoja yangu ilikuwa KKKT hawana utaratibu mzuri wa kuhakikisha wachungaji wao wanakuwa wadogo kuliko taasisi. Haiwezekani kiongozi wa kanisa anavuta watu kutoka pande zote za DSM na bado unaendelea kumwangalia tu. Lazima kichwa kitakuwa kikubwa.
Angalia wakatoliki wanavyoendesha parokia zao. Once padre anapokuwa maarufu eneo alipo atapewa tiketi ya kuondoka hasta kama ni kupelekwa nje ya nchi. Hii inafanya asijione no mkubwa kuliko RC.
Wenetu mchungaji anakaa sehemu miaka na mikaka. Mpaka wanasema tunaenda Kwa Mastai, sijui kimaro.
 
Mashetani ni kama wewe unayebariki uhuni wa malasusa!
Naona upo karibu na kiini ila unaharibu kumuita Malasusa muhuni.Hapo Mchaga anataka kumpola Mnyakyusa Kanisa Ili atawale,kitu ambacho hakiwezekani.Uinjilishaji Tanzania bara uliingilia ardhi ya Unyakyusa kupitia Wamishonari wa Kijerumani kupitia KKKT na Moravian na baadaye kusambaa maeneo mengine ya Kaskazini na Pwani.
Sasa Mchaga anamletea fitina Mnyakyusa,ataweza?
 
Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.

Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi

Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
2023 siiiiikaaahli itaingiza mkono wake Kanisani,

Bt Cha kushangaza ni kuwa, Itakabidhi fimbo Kwa kanisa hilohilo.

Yaani inaitwa kujikaanga Kwa mafuta Yako mwenyewe😳😳!!
 
Mashetani ni kama wewe unayebariki uhuni wa malasusa!
Tatizo lenu ukabila umewakamata sana nyie watu. Yaani wachaga tu ndio mnaona Eliaona hajatendewa haki. Nadhani hata ingekuwa kakutwa na mke wa mtu bado mngesimama naye tu.
 
Mimi ni mkatoliki. Nilikuwa naongea na ndugu yangu mlutheri mwezi mmoja uliopita kuhusiana na sharika za kimara na kijitonyama. Hoja yangu ilikuwa KKKT hawana utaratibu mzuri wa kuhakikisha wachungaji wao wanakuwa wadogo kuliko taasisi. Haiwezekani kiongozi wa kanisa anavuta watu kutoka pande zote za DSM na bado unaendelea kumwangalia tu. Lazima kichwa kitakuwa kikubwa.
Angalia wakatoliki wanavyoendesha parokia zao. Once padre anapokuwa maarufu eneo alipo atapewa tiketi ya kuondoka hasta kama ni kupelekwa nje ya nchi. Hii inafanya asijione no mkubwa kuliko RC.
Wenetu mchungaji anakaa sehemu miaka na mikaka. Mpaka wanasema tunaenda Kwa Mastai, sijui kimaro.
Na ndicho kinachowatafuna KKKT, yaani kanisa linabebwa na umaarufu wa mtu. Kitu kingene nilichokiona KKKT ni kuwa na idadi ndogo sana ya wachungaji wenye elimu kubwa hasa Bachelor- PhD na ambao ni fluent kwenye Kiingereza.
Unajua mnapokuwa wachache sana katika jamii yenu lazima uvimbe Kichwa, mchunguzeni tu huyo Dr. Eliaona na yule Matsai wa Kimara( full ujuaji). Tofauti na RC ambao kwanza mchakato wa kuupata u padre ni sawa na shule ya degree mbili, kwao wasomi ni wengi .
 
Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.

Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi

Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Kkkt ni mali ya nani ? ni mali ya waumini au vp ksma ni mali ya waumini basi mwajiri mkuu ni muumini kama ilivyo serikali ni mali ya wananchi hivyo rais kaajiriwa na wananchi ila kwa sisiemu ya saa mia ni kikundi cha wahuni tu hakuna mwananchi kakiajiri
 
Yaani Christina shusho, Masanja mkandamizaji na MC pilipili wanaanzisha makanisa, ila Mch. Kimara hawezi.
Unachekesha sana
Kujenga jengo moja (yani apo tayari uwanja mnao) angalau imechukua mitaa mingi ya KKKT Dar Es Salaam miaka zaidi ya kumi. Kijitonyama tu ile ardhi ina thamani ya zaidi ya Bilioni mbili.
Mpaka Kimaro aweze kuwa na usharika unaofanana na Kijitonyama, atahitaji takriban miaka 30 ya utumishi uliotukuka.
Usione kina Gwajima na Kina Mwamposa mpaka wa leo wanasalia kwenye 'mabanda'. Kujenga kanisa kama jengo tu, sio kazi ya kitoto. Acha kupata hao waumini wa kulijaza hilo kanisa...
 
Back
Top Bottom