Sijaelewa ni kina nani walishamwambia akileta za kuletaPale Israel wanayo hayo unayochachukia,washamwambia akileta za kuleta wanayatimua humo humo.
Uzuri wa hizi silaha ndio zina zuia hivyo vita unavyosema, kila moja akiwaza baadae hapa kwangu patakuwa kama Nagasaki au Hiroshima, mwishowe wote wawili hawataki kuruhusu Hali kama hiyo, ila wanapenda vipiganwe Kwa wengine, ili wao wapate fursa ya kuja kuwajengea na kuchukua Mali ghafi.Kwa Mara ya kwanza mabomu ya nuclear yalitumika mwaka 1945 pale Hiroshima na Nagasaki
Athali zake zilikuwa kubwa sana. Watu walikufa, miundombinu iliharibika.
Lakini cha ajabu, pamoja na madhara makubwa wa haya mabomu, wanadamu wameendelea kuyatengeneza na kuyaboresha
Haya mabomu hayatengenezwi kwa bahati mbaya, IPO siku yatatumika. Tutashuhudia dunia ikiharibika mikononi mwetu.
Vita za nuclear zitaleta athali kubwa sana ulimwenguni. Kutatokea uharibifu mkubwa sana duniani.
Tusishabikie Vita, kuna hatari kubwa sana mbeleni.
Kama majitu vichwa ngumu si acha yanyooshwe tu.Tujue moja😎Kwa Mara ya kwanza mabomu ya nuclear yalitumika mwaka 1945 pale Hiroshima na Nagasaki
Athali zake zilikuwa kubwa sana. Watu walikufa, miundombinu iliharibika.
Lakini cha ajabu, pamoja na madhara makubwa wa haya mabomu, wanadamu wameendelea kuyatengeneza na kuyaboresha
Haya mabomu hayatengenezwi kwa bahati mbaya, IPO siku yatatumika. Tutashuhudia dunia ikiharibika mikononi mwetu.
Vita za nuclear zitaleta athali kubwa sana ulimwenguni. Kutatokea uharibifu mkubwa sana duniani.
Tusishabikie Vita, kuna hatari kubwa sana mbeleni.