Tusishobokee Kingereza, ni moja katika lugha mbovu duniani

Tusishobokee Kingereza, ni moja katika lugha mbovu duniani

Kwa umri wangu, Kingereza nimeweza kukifahamu vizuri sana kuliko Watanzania wengi, kwa sababu kuu mbili:

Moja: nimekulia na kusoma Tanganyika na Tanzania, lugha ya kwanza ya kuanza kusomeshewa ilikuwa ni Kiarabu kwenye madrasa, nilipoanza shule (school) lugha ya kwanza ya kusomeshewa ikawa ni Kingereza, masomo yote tulifundishwa kwa Kingereza kasoro somo la Kiswahili na dini tu, kwa Waislam, lugha ya kusomeshewa dini shule ilikuwa ni Kiswahili, ingawa tulikuwa na vipindi viwili vya kusoma dini katika juma zima, waliosoma Dar., watamkumbuka Mwalimu wetu wa somo la Dini ya Kiislam kwenye shule nyingi, za mjini Dar, maana alikuwa akitoka moja anakwenda nyingine kusomesha kipindi cheke, alikuwa akiitwa Maalim JanMohamad na alikua ni vigumu kumsahau kwani alikuwa na ulemavu wa miguu.

Mwalimu JanMohamad alikuwa na asili ya Zanzibar, aliongea Kiswahili na Kingereza vizuri sana, kiasi alikuwa akifundisha kwa lugha zote tatu katika somo lake la dini, Kiarabu, Kiswahili na Kingereza.

Mbili: Nilipoingia utu uzima nikabahatika kuondoika Tanzania na kwenda kuishi nje ya Tanzania, kwa kusoima na kufanya kazi huko kwa miaka mingi sana, nikawa katika mji ambao Kingereza ndiyo ilikuwa lugha ya kwanza, nyingine ikiwa ni Kifaransa kwa apendae, hakikulazimishwa.

Pamoja na mengine, nikaendelea kujifunza na kufundishwa Kingereza miaka yote, hadi leo hii. Nikidhani kuwa Kingereza ni lugha bora duniani. Kwa bahati nzuri au mbaya, nilikuwa sipo sahihi kabisa baada ya kufahamu kuwa Kingereza ni lugha ya kubuni buni tu na haina uasilia.

Nimefikia tamati ya kuasema kuwa tusikixhobokee Kingereza, siyo lugha ya maana na inapoteza muda mwingi sana kukielewa na hata utapoidhani umekielewa utajikuta hujakielewa kwa sababu ni lugha inayobadilika badilika mara kwa mara na pia haina uasili kwa hiyo ina maneno mengi sana ya kuazima lgha nyingine na kuyabadili badili kidogo ili yawe la lafdhi au yasikike kama "Kingereza".

Kingine ambacho hakuna katika Kingereza nilafdhi ya asili, kila mtu anaeongea Kingereza anaongea kwa lafdhi yake na anatamka Kingereza tofauti na mwengine, haijalishi ni Muingereza au kama lugha mama kwake ni Kingereza, atakuwa na kasoro ya matamshi (phoenetic) au webgine huita "accent",kwa sabau Kingereza hakina uasili.

Kingine ni hiki cha maneno ya Kingereza, neno lilelile moja linavyoandikwa lakini linatamkwa tofauti na lingine linapoongewa. Hili hakuna silie mchosha. Mfano neo chozi ni "tear" kwa Kingereza na hiyo hiyo "tear" pia ni chana. Neno "watch" linaweza kuwa kutazama na wakati huo huo ni neno saa. Ndiyo, saa ya mkono ni "watch" kwa Kingereza.

Ndipo Watanzania wengi hufanya utani wa tafsiri ya Kingereza kwa Kiswahili, mfano wa haraka ni sambusa, "clockmosquitoclock".

Kwa ufupi, tusishobokee Kingereza, kina athari kubwa sana ya kutujaza ujinga. Tukienzi na kukishoibokea Kiswahili chetu, ni lugha tamu sana. Tena nasisitiza, serikali iwachane kabisa na mpango wa "Kiswahili sanifu", kwanini ukaisanifu lugha yenye asili? Naamini Kiswahili sanifu ni ujinga wawache kujaribu kukiondowa Kiswahili kwenye uarabu.

Kiswahili ni lugha tamu, historia inayuonesha hata kina Ibn Batuta, waliokuja miaka mingi kabla ya wazungu walikikuta Kiswahili kinaongewa na kuandikwa pwani ya mashariki ya Afrika.

Historia haijaishia hapo, inagtuonesha kuwa hata kina Mkwawa na machifu wengine wa bara walikuwa wanaongea na kuandika Kiswahili, barua zao zipo kihistoria.

Mkoloni alipokuja, kama kawaida ili akutawale vizuri ni lazima akudunishe na ujione wewe si lolote si chochote, anaanza kukudunisha kwa lugha take mabayo kama hukuielewa unaonekaza siyo wa maana. Amefanikiwa sna kwenye hilo, mpaka imefikia wakati, tunakidharau Kiswahili chetu na kuona wa maana kati yetu ni yule mwenye kukijuwa Kingereza. Hatupo sahihi kabisa.

Tutakuwa wa maana zaidi tukikienzi Kisahili chetu na kukikuza kutpokana na asili yake na siyo kukisanifu, maana halisi ya neno sanifu, ni kukitania. Hivi kwanini mapoaka tufikie kukitania Kiswahili chetu?

Baraza la Kiswahili Tanzania linafanya kazi mbovu kabisa ya kukiharibu Kiswahili, kukitowa kwenye uasili wake na kukipeleka wapi sielewi.

Asili ya Kiswahili ni pwani, tusijaribu kukisanifu na kukiondowa uhalisia wake kwa kudhani tu, Kiswahili nilugha ya Kiislam. Ujinga mwingine tuliojazwa na wazungu, mpaka imefikia kuna Watanzania hapa hapoa JF wanasema Kingereza ni "lugha ya kikatoliki" Ni ujinga huo.

Tuyaenzi matamshi na matamko ya Kiswahili, tena nashauri Kiswahili kifundishwe kwa herufi a Kiarabu mashuleni, hatutakosea, ndiyo asili yake.

Kujaribu kukiondowa Kiswahili na asili yake na lafdhi yake ya pwani ya mashariki ya Afrika ni kama kujaribu kuifanya bahari iwe dimbwi.

Nawasilisha.
Hasa hawa maprofesa wetu wa chuo kikuu wanaotufundisha, wanatuangaisha sana na vingereza vyao....wanathamini sana misamiati migumu ya kingereza kuliko maudhui ya jambo husika...
 
Pamoja na kiswahili kuwa lugha ya taifa lakini ni lugha ambayo haitoshelezi hata kupata ajira, lakini lugha ya kingereza inakupa urahisi wa kupata ajira na kukufanya uonekane msomi hata kama hukusoma hata darasa moja utathaminiwa kuliko msomi wa kiswahili.

Hata wenye lugha ya kiswahili na wenyewe hawakupi ajira kwa kujua kuongea kiswahili peke yake ni mpaka uwe unaongea kiswahili na kingereza.
 
Kumbe unaweza ukawa mtu mzima na ukawa na exposure ya kuishi nje lakni bado ukawa limbukeni.. Kiingereza ni lugha iliyokamilika. yani maana yake kuna hisia, vitendo nk. vina maneno ya special kwenye kiingereza lakini usikute majina yake kwenye kamusi..Kiswahili bado lugha changa na maneno mengi yanayoongezwa kwenye kamusi yanakopwa kopwa kwenye lugha nyingine
 
Kiingereza ndo lugha Bora na kubwa ulimwenguni
Sio kweli ,lugha kubwa na yenye wazungumzaji wengi ni kichina ,lugha inayoongelewa na mataifa mengi kama lugha mama ni kihispania ,na lugha iliyosambaa zaidi duniani ni English ikifuatiwa na kifaransa ,

Kiswahili ni lugha namba 6 duniani kwa wazungumzaji wengi
 
Kwa umri wangu, Kingereza nimeweza kukifahamu vizuri sana kuliko Watanzania wengi, kwa sababu kuu mbili:

Moja: nimekulia na kusoma Tanganyika na Tanzania, lugha ya kwanza ya kuanza kusomeshewa ilikuwa ni Kiarabu kwenye madrasa, nilipoanza shule (school) lugha ya kwanza ya kusomeshewa ikawa ni Kingereza, masomo yote tulifundishwa kwa Kingereza kasoro somo la Kiswahili na dini tu, kwa Waislam, lugha ya kusomeshewa dini shule ilikuwa ni Kiswahili, ingawa tulikuwa na vipindi viwili vya kusoma dini katika juma zima, waliosoma Dar., watamkumbuka Mwalimu wetu wa somo la Dini ya Kiislam kwenye shule nyingi, za mjini Dar, maana alikuwa akitoka moja anakwenda nyingine kusomesha kipindi cheke, alikuwa akiitwa Maalim JanMohamad na alikua ni vigumu kumsahau kwani alikuwa na ulemavu wa miguu.

Mwalimu JanMohamad alikuwa na asili ya Zanzibar, aliongea Kiswahili na Kingereza vizuri sana, kiasi alikuwa akifundisha kwa lugha zote tatu katika somo lake la dini, Kiarabu, Kiswahili na Kingereza.

Mbili: Nilipoingia utu uzima nikabahatika kuondoika Tanzania na kwenda kuishi nje ya Tanzania, kwa kusoima na kufanya kazi huko kwa miaka mingi sana, nikawa katika mji ambao Kingereza ndiyo ilikuwa lugha ya kwanza, nyingine ikiwa ni Kifaransa kwa apendae, hakikulazimishwa.

Pamoja na mengine, nikaendelea kujifunza na kufundishwa Kingereza miaka yote, hadi leo hii. Nikidhani kuwa Kingereza ni lugha bora duniani. Kwa bahati nzuri au mbaya, nilikuwa sipo sahihi kabisa baada ya kufahamu kuwa Kingereza ni lugha ya kubuni buni tu na haina uasilia.

Nimefikia tamati ya kuasema kuwa tusikixhobokee Kingereza, siyo lugha ya maana na inapoteza muda mwingi sana kukielewa na hata utapoidhani umekielewa utajikuta hujakielewa kwa sababu ni lugha inayobadilika badilika mara kwa mara na pia haina uasili kwa hiyo ina maneno mengi sana ya kuazima lgha nyingine na kuyabadili badili kidogo ili yawe la lafdhi au yasikike kama "Kingereza".

Kingine ambacho hakuna katika Kingereza nilafdhi ya asili, kila mtu anaeongea Kingereza anaongea kwa lafdhi yake na anatamka Kingereza tofauti na mwengine, haijalishi ni Muingereza au kama lugha mama kwake ni Kingereza, atakuwa na kasoro ya matamshi (phoenetic) au webgine huita "accent",kwa sabau Kingereza hakina uasili.

Kingine ni hiki cha maneno ya Kingereza, neno lilelile moja linavyoandikwa lakini linatamkwa tofauti na lingine linapoongewa. Hili hakuna silie mchosha. Mfano neo chozi ni "tear" kwa Kingereza na hiyo hiyo "tear" pia ni chana. Neno "watch" linaweza kuwa kutazama na wakati huo huo ni neno saa. Ndiyo, saa ya mkono ni "watch" kwa Kingereza.

Ndipo Watanzania wengi hufanya utani wa tafsiri ya Kingereza kwa Kiswahili, mfano wa haraka ni sambusa, "clockmosquitoclock".

Kwa ufupi, tusishobokee Kingereza, kina athari kubwa sana ya kutujaza ujinga. Tukienzi na kukishoibokea Kiswahili chetu, ni lugha tamu sana. Tena nasisitiza, serikali iwachane kabisa na mpango wa "Kiswahili sanifu", kwanini ukaisanifu lugha yenye asili? Naamini Kiswahili sanifu ni ujinga wawache kujaribu kukiondowa Kiswahili kwenye uarabu.

Kiswahili ni lugha tamu, historia inayuonesha hata kina Ibn Batuta, waliokuja miaka mingi kabla ya wazungu walikikuta Kiswahili kinaongewa na kuandikwa pwani ya mashariki ya Afrika.

Historia haijaishia hapo, inagtuonesha kuwa hata kina Mkwawa na machifu wengine wa bara walikuwa wanaongea na kuandika Kiswahili, barua zao zipo kihistoria.

Mkoloni alipokuja, kama kawaida ili akutawale vizuri ni lazima akudunishe na ujione wewe si lolote si chochote, anaanza kukudunisha kwa lugha take mabayo kama hukuielewa unaonekaza siyo wa maana. Amefanikiwa sna kwenye hilo, mpaka imefikia wakati, tunakidharau Kiswahili chetu na kuona wa maana kati yetu ni yule mwenye kukijuwa Kingereza. Hatupo sahihi kabisa.

Tutakuwa wa maana zaidi tukikienzi Kisahili chetu na kukikuza kutpokana na asili yake na siyo kukisanifu, maana halisi ya neno sanifu, ni kukitania. Hivi kwanini mapoaka tufikie kukitania Kiswahili chetu?

Baraza la Kiswahili Tanzania linafanya kazi mbovu kabisa ya kukiharibu Kiswahili, kukitowa kwenye uasili wake na kukipeleka wapi sielewi.

Asili ya Kiswahili ni pwani, tusijaribu kukisanifu na kukiondowa uhalisia wake kwa kudhani tu, Kiswahili nilugha ya Kiislam. Ujinga mwingine tuliojazwa na wazungu, mpaka imefikia kuna Watanzania hapa hapoa JF wanasema Kingereza ni "lugha ya kikatoliki" Ni ujinga huo.

Tuyaenzi matamshi na matamko ya Kiswahili, tena nashauri Kiswahili kifundishwe kwa herufi a Kiarabu mashuleni, hatutakosea, ndiyo asili yake.

Kujaribu kukiondowa Kiswahili na asili yake na lafdhi yake ya pwani ya mashariki ya Afrika ni kama kujaribu kuifanya bahari iwe dimbwi.

Nawasilisha.
Sijaona ulipoonyesha ubovu wa kiingereza, ila naona unajaribu kui promo lugha mbovu na ya hovyo bila kuonyesha ubora wake.
 
English language is full of cursed words....English is phonetically reversed Hebrew.
 
Pamoja na kiswahili kuwa lugha ya taifa lakini ni lugha ambayo haitoshelezi hata kupata ajira, lakini lugha ya kingereza inakupa urahisi wa kupata ajira na kukufanya uonekane msomi hata kama hukusoma hata darasa moja utathaminiwa kuliko msomi wa kiswahili.

Hata wenye lugha ya kiswahili na wenyewe hawakupi ajira kwa kujua kuongea kiswahili peke yake ni mpaka uwe unaongea kiswahili na kingereza.
Mara nyingi hua tunapapatikia lugha za watu kwa sababu ya njaa zetu, Nchi zote zilizojitosheleza kiuchumi hua hawana mpango na lugha za Nchi nyingine, hata ukitaka kusoma Masters lazima usome kwa lugha yao hasa wao wakiwa kama ndiyo wafadhili wako!!
 
Kwa umri wangu, Kingereza nimeweza kukifahamu vizuri sana kuliko Watanzania wengi, kwa sababu kuu mbili:

Moja: nimekulia na kusoma Tanganyika na Tanzania, lugha ya kwanza ya kuanza kusomeshewa ilikuwa ni Kiarabu kwenye madrasa, nilipoanza shule (school) lugha ya kwanza ya kusomeshewa ikawa ni Kingereza, masomo yote tulifundishwa kwa Kingereza kasoro somo la Kiswahili na dini tu, kwa Waislam, lugha ya kusomeshewa dini shule ilikuwa ni Kiswahili, ingawa tulikuwa na vipindi viwili vya kusoma dini katika juma zima, waliosoma Dar., watamkumbuka Mwalimu wetu wa somo la Dini ya Kiislam kwenye shule nyingi, za mjini Dar, maana alikuwa akitoka moja anakwenda nyingine kusomesha kipindi cheke, alikuwa akiitwa Maalim JanMohamad na alikua ni vigumu kumsahau kwani alikuwa na ulemavu wa miguu.

Mwalimu JanMohamad alikuwa na asili ya Zanzibar, aliongea Kiswahili na Kingereza vizuri sana, kiasi alikuwa akifundisha kwa lugha zote tatu katika somo lake la dini, Kiarabu, Kiswahili na Kingereza.

Mbili: Nilipoingia utu uzima nikabahatika kuondoika Tanzania na kwenda kuishi nje ya Tanzania, kwa kusoima na kufanya kazi huko kwa miaka mingi sana, nikawa katika mji ambao Kingereza ndiyo ilikuwa lugha ya kwanza, nyingine ikiwa ni Kifaransa kwa apendae, hakikulazimishwa.

Pamoja na mengine, nikaendelea kujifunza na kufundishwa Kingereza miaka yote, hadi leo hii. Nikidhani kuwa Kingereza ni lugha bora duniani. Kwa bahati nzuri au mbaya, nilikuwa sipo sahihi kabisa baada ya kufahamu kuwa Kingereza ni lugha ya kubuni buni tu na haina uasilia.

Nimefikia tamati ya kuasema kuwa tusikixhobokee Kingereza, siyo lugha ya maana na inapoteza muda mwingi sana kukielewa na hata utapoidhani umekielewa utajikuta hujakielewa kwa sababu ni lugha inayobadilika badilika mara kwa mara na pia haina uasili kwa hiyo ina maneno mengi sana ya kuazima lgha nyingine na kuyabadili badili kidogo ili yawe la lafdhi au yasikike kama "Kingereza".

Kingine ambacho hakuna katika Kingereza nilafdhi ya asili, kila mtu anaeongea Kingereza anaongea kwa lafdhi yake na anatamka Kingereza tofauti na mwengine, haijalishi ni Muingereza au kama lugha mama kwake ni Kingereza, atakuwa na kasoro ya matamshi (phoenetic) au webgine huita "accent",kwa sabau Kingereza hakina uasili.

Kingine ni hiki cha maneno ya Kingereza, neno lilelile moja linavyoandikwa lakini linatamkwa tofauti na lingine linapoongewa. Hili hakuna silie mchosha. Mfano neo chozi ni "tear" kwa Kingereza na hiyo hiyo "tear" pia ni chana. Neno "watch" linaweza kuwa kutazama na wakati huo huo ni neno saa. Ndiyo, saa ya mkono ni "watch" kwa Kingereza.

Ndipo Watanzania wengi hufanya utani wa tafsiri ya Kingereza kwa Kiswahili, mfano wa haraka ni sambusa, "clockmosquitoclock".

Kwa ufupi, tusishobokee Kingereza, kina athari kubwa sana ya kutujaza ujinga. Tukienzi na kukishoibokea Kiswahili chetu, ni lugha tamu sana. Tena nasisitiza, serikali iwachane kabisa na mpango wa "Kiswahili sanifu", kwanini ukaisanifu lugha yenye asili? Naamini Kiswahili sanifu ni ujinga wawache kujaribu kukiondowa Kiswahili kwenye uarabu.

Kiswahili ni lugha tamu, historia inayuonesha hata kina Ibn Batuta, waliokuja miaka mingi kabla ya wazungu walikikuta Kiswahili kinaongewa na kuandikwa pwani ya mashariki ya Afrika.

Historia haijaishia hapo, inagtuonesha kuwa hata kina Mkwawa na machifu wengine wa bara walikuwa wanaongea na kuandika Kiswahili, barua zao zipo kihistoria.

Mkoloni alipokuja, kama kawaida ili akutawale vizuri ni lazima akudunishe na ujione wewe si lolote si chochote, anaanza kukudunisha kwa lugha take mabayo kama hukuielewa unaonekaza siyo wa maana. Amefanikiwa sna kwenye hilo, mpaka imefikia wakati, tunakidharau Kiswahili chetu na kuona wa maana kati yetu ni yule mwenye kukijuwa Kingereza. Hatupo sahihi kabisa.

Tutakuwa wa maana zaidi tukikienzi Kisahili chetu na kukikuza kutpokana na asili yake na siyo kukisanifu, maana halisi ya neno sanifu, ni kukitania. Hivi kwanini mapoaka tufikie kukitania Kiswahili chetu?

Baraza la Kiswahili Tanzania linafanya kazi mbovu kabisa ya kukiharibu Kiswahili, kukitowa kwenye uasili wake na kukipeleka wapi sielewi.

Asili ya Kiswahili ni pwani, tusijaribu kukisanifu na kukiondowa uhalisia wake kwa kudhani tu, Kiswahili nilugha ya Kiislam. Ujinga mwingine tuliojazwa na wazungu, mpaka imefikia kuna Watanzania hapa hapoa JF wanasema Kingereza ni "lugha ya kikatoliki" Ni ujinga huo.

Tuyaenzi matamshi na matamko ya Kiswahili, tena nashauri Kiswahili kifundishwe kwa herufi a Kiarabu mashuleni, hatutakosea, ndiyo asili yake.

Kujaribu kukiondowa Kiswahili na asili yake na lafdhi yake ya pwani ya mashariki ya Afrika ni kama kujaribu kuifanya bahari iwe dimbwi.

Nawasilisha.
Sizitaki mbichi hizi
 
Sijajua kwa nini hasira zimepanda
Nafikiri watu kama ninyi msipewe nafasi ya kusikilizwa mtaharibu jamii
Baada ya kufanikiwa kukijua ukapata shavu ukaenda kufanya kazi nzuri sehemu wanayoongea kiingereza na lugha ya pili ni kifaransa kisha ukafukuzwa kisha uchuki wako unatamani na sisi tusijue language sababu tutafika na kupita ulipofika
eEti u ataka tujue kiarabu tu
Aloukibaru!
 
Sijajua kwa nini hasira zimepanda
Nafikiri watu kama ninyi msipewe nafasi ya kusikilizwa mtaharibu jamii
Baada ya kufanikiwa kukijua ukapata shavu ukaenda kufanya kazi nzuri sehemu wanayoongea kiingereza na lugha ya pili ni kifaransa kisha ukafukuzwa kisha uchuki wako unatamani na sisi tusijue language sababu tutafika na kupita ulipofika
eEti u ataka tujue kiarabu tu
Aloukibaru!
Niliwahi kuandika hivi zamani kiasi:

 
Back
Top Bottom