Kachumbi
Member
- Aug 26, 2014
- 70
- 30
Mimi ni mdau wa elimu ambaye naguswa sana na usimamizi mbovu wa mitihani ya mwisho ya elimu ya sekondari. Shule nyingi za private zipo kiabiashara zaidi, hazipo tiyari kuona wazazi wanalipa ada kubwa watoto wao wanafeli,huwa wanalazimika kufanya namna yeyote kuhakikisha namba kubwa ya wanafunzi inapata matokeo mazuri.
Licha ya kuweka alama au wastani wa kufaulu ndani ya shule si kigezo tosha cha wao kuwa na matokeo mazuri, wengine wana wastani wa kawaida.Shule za private ni nyngi wenye hela wanaangalia ipi inafanya vizuri zaidi na baadhi ya wazazi pesa si tatizo. wapo wanafunzi wengine wanabebwa katka wastani sababu ya nyazfa za wazazi wao na michango yao ktk shule huska.
Wanapateje matokeo mazuri?
Kwanza wanatoa rushwa sana kwa wazimamizi wa mitihani ya taifa,mathalani mwalmu wa serikal unakuta anapoke laki 3 kwenye mshahara wake, anapofka kituo cha usimamizi anapewa bahasha ya milion 1 nje ya malipo kawaida,alafu anaambiwa jitahd kusimamia vizuri.
Mitihani husoviwa nje na kuingizwa ndan ya chumba cha mitihan bila vikwazo sababu wahuska waliisha pewa chao,pia kwa kujzatiti uweka walnz njia zote za kuingilia magar ya wazmamiz wa mitihan na watoe taarfa manapohs gar hilo.
Pia utoa taarfa kwa maafisa elimu na wangne wanao huska kupeleka wasimamizi wanaoeleweka, pia nao hupewa chao mapema nakuambiana wawe makni.
Cha zaidi asilimia kubwa ya watoto wa maafsa mbalimbali na wenye hela usomea kwenye shule hizo, hakuna afisa anayeweza kukubali mtoto wake afeli iwapo analetewa mbinu mbadala za mtoto wake kufaulu.
Baadhi ya shule udiriki ata kutoa vtisho kwa wasimamizi iwapo wakkataa kutoa ushirikiano mathalan kuambiwa kuamishwa kwenye kituo hcho au atapewe kazi kusimamia tena.
Wengne uchangisha pesa kwa ajil ya kuwapa wasimamizi ili kazi iwe nyepesi, ndo maana wasimamizi wengi wa mitihani upendelea shule za private wakijua kuna chochote na upata uduma nzuri. Wakuu wengi wa shule za Serikali hawana mda huo, na usimamizi wake huwa umeimarika sawasawa.
Wadau si shule zote za private znafanya udanganyifu,baadhi wanafunzi wana uwezo kutosha,kwa hizi shule za wakubwa ndo mipango yao, kuna baadhi ya watoto vgogo ufeli kabisa sababu ya kuwa vilaza sana, Hata kucopy na ku paste hushindwa.
Zaman wakati wa usimamizi mzuri na shule za private hazikuwa nyingi kufanya kuwa za kibiashara zaidi, shule za serikali nyingi zilikuwa zinaongoza, mbali ya hiyo walikuwa wanachuwa nafasi za juu sana,sasa hivi umwone wapi?
Ilichangiwa kuwa ni viongozi wazuri, wazalendo na watiifu, pia walijua elimu nini,na kujua mtu anasitahili kupata kile kinachotakiwa.
Cha zaidi idara ya usalama wa taifa mbovu sana, tena nao wanachangia kushiriki katika maovu kwa kutoa taarifa kwa viongozi shule huska kipi kinaendelea. Hakamatwi mtu, labda inawezeka sababu siku hizi wanafamika kwa kila mtu,siri hamna.
HAYO NI YANGU WADAU,TOA MAWAZO YENU
Licha ya kuweka alama au wastani wa kufaulu ndani ya shule si kigezo tosha cha wao kuwa na matokeo mazuri, wengine wana wastani wa kawaida.Shule za private ni nyngi wenye hela wanaangalia ipi inafanya vizuri zaidi na baadhi ya wazazi pesa si tatizo. wapo wanafunzi wengine wanabebwa katka wastani sababu ya nyazfa za wazazi wao na michango yao ktk shule huska.
Wanapateje matokeo mazuri?
Kwanza wanatoa rushwa sana kwa wazimamizi wa mitihani ya taifa,mathalani mwalmu wa serikal unakuta anapoke laki 3 kwenye mshahara wake, anapofka kituo cha usimamizi anapewa bahasha ya milion 1 nje ya malipo kawaida,alafu anaambiwa jitahd kusimamia vizuri.
Mitihani husoviwa nje na kuingizwa ndan ya chumba cha mitihan bila vikwazo sababu wahuska waliisha pewa chao,pia kwa kujzatiti uweka walnz njia zote za kuingilia magar ya wazmamiz wa mitihan na watoe taarfa manapohs gar hilo.
Pia utoa taarfa kwa maafisa elimu na wangne wanao huska kupeleka wasimamizi wanaoeleweka, pia nao hupewa chao mapema nakuambiana wawe makni.
Cha zaidi asilimia kubwa ya watoto wa maafsa mbalimbali na wenye hela usomea kwenye shule hizo, hakuna afisa anayeweza kukubali mtoto wake afeli iwapo analetewa mbinu mbadala za mtoto wake kufaulu.
Baadhi ya shule udiriki ata kutoa vtisho kwa wasimamizi iwapo wakkataa kutoa ushirikiano mathalan kuambiwa kuamishwa kwenye kituo hcho au atapewe kazi kusimamia tena.
Wengne uchangisha pesa kwa ajil ya kuwapa wasimamizi ili kazi iwe nyepesi, ndo maana wasimamizi wengi wa mitihani upendelea shule za private wakijua kuna chochote na upata uduma nzuri. Wakuu wengi wa shule za Serikali hawana mda huo, na usimamizi wake huwa umeimarika sawasawa.
Wadau si shule zote za private znafanya udanganyifu,baadhi wanafunzi wana uwezo kutosha,kwa hizi shule za wakubwa ndo mipango yao, kuna baadhi ya watoto vgogo ufeli kabisa sababu ya kuwa vilaza sana, Hata kucopy na ku paste hushindwa.
Zaman wakati wa usimamizi mzuri na shule za private hazikuwa nyingi kufanya kuwa za kibiashara zaidi, shule za serikali nyingi zilikuwa zinaongoza, mbali ya hiyo walikuwa wanachuwa nafasi za juu sana,sasa hivi umwone wapi?
Ilichangiwa kuwa ni viongozi wazuri, wazalendo na watiifu, pia walijua elimu nini,na kujua mtu anasitahili kupata kile kinachotakiwa.
Cha zaidi idara ya usalama wa taifa mbovu sana, tena nao wanachangia kushiriki katika maovu kwa kutoa taarifa kwa viongozi shule huska kipi kinaendelea. Hakamatwi mtu, labda inawezeka sababu siku hizi wanafamika kwa kila mtu,siri hamna.
HAYO NI YANGU WADAU,TOA MAWAZO YENU