Tusitegemee makubwa zaidi kutoka kwa Aziz-Ki!

Kwa hyo chama akae Morocco kwasababu himid mao yupo Morocco na kibabaje alicheza hivi akili mnapelekaga wapi yeye mwenyewe aliomba kuondoka kwasababu binafsi sio kama kisinda aliyetimuliwa na kocha anakimbia kimbia kama mbuzi aliyetoroka zizini kocha akasema simtaki mchezaji wa aina hii mkaumchukua kwasababu alimkimbiza onyango ndo akili zenu ziliishia hapo.
 
Enonga ni mvp wa league ya congo unasemaje na sakho ni mshindi wa goal bora Africa huyo mning'iniza midomo kufunga goal mbili ndo kashamzidi chama
Inonga hajawahi kuwa MVP acha uongo, alikuwa ni beki Bora wa Ligi ya Congo
 
Wewe jamaa itakuwa Aziz Ki alikupumulia kisogoni sio kwa jazba hizo aisee
 
hakuna mchezaji hapo
Mchezaji wa mechi 1
MKWAKWANI alifanya nini
Simba bingwa NGAO YA JAMII[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…