Tusitegemee makubwa zaidi kutoka kwa Aziz-Ki!

Tusitegemee makubwa zaidi kutoka kwa Aziz-Ki!

Naomba kuweka wazi kwanza, mimi ni mwanachama kindaki ndaki wa Dar Young Africans.

Kadi ya uanachama namba: TZDAR03067119

Tusipoteze muda twende moja kwa moja kwenye suala la msingi.

Kwenye soka kuna kitu kimoja cha ajabu sana. Mchezaji anaweza kuwa anajua sana soka (skills & Intelligence) ikawa vizuri sana lakini anaweza kukosa tija Uwanjani.

Ninachomaanisha, kwenye majukumu yake asiweze kukupa namba nzuri (magoli & usaidizi).

Ili tuelewane ninachosema, kwanini tusitegemee makubwa kutoka kwa Aziz Ki, lazima tuangalie utendaji wake huko alikopita kwenye timu zote.

Amecheza timu zifuatazo;[emoji1484]

1. CD RAN ROQUE
Mechi: 24
Goals: 02

2. OMONIA NICOSIA
Mechi: 17
Goals: 0
Assists: 01

3. ASEC MIMOSAS
Mechi 30+
Goals: 04
Assists: 02

4. ARIS LIMASOL
Mechi 5
Goals 0
Assists 0

Wazungu wanasemaga, "Numbers don't lie".

Wakimaanisha ukiwa unafanya vizuri, takwimu zitakubeba na kudhihirisha ubora wako.

Je, wewe kama mwanasoka ambae unafuatilia soka vizuri, hizo namba za Azizi Ki hapo juu zimekuridhisha?

Je, hizo namba hapo juu zinaendana na ubora wake ambao tuliambiwa kabla hajaja?

Je, unadhani kama alishindwa kufanya vizuri kwenye timu zote alizocheza huko nyuma kwanini iwe Yanga ndiyo sehemu ataonyesha uwezo?

Nimeepuka kuongea kwa mihemko na nimeweka namba zake kama msingi wa kujenga hoja yangu kuwa Azizi Ki tusitegemee maajabu makubwa kutoka kwake kwa sababu hata huko alikotoka hakuwa bora kiasi hicho (kutokana na namba - michango, magoli & usaidizi)

Narudia tena kwa Aziz-Ki tuliaminishwa vibaya . Alikua amepaishwa sana kana kwamba ni mchezaji wa daraja la juu wakati kiuhalisia namba zake uwanjani hazionyeshi hilo.

Mimi binafsi, naamini mpaka sasa tulichokiona kwa Azizk Ki ndicho hicho pekee ambacho anaweza kufanya. Hakuna kipya zaidi ambacho ataonyesha. Hakuna suala la kumvumilia, hapo ndipo uwezo na ufanisi wake ulipoishia.

Sitotegemea usaidizi 6, au magoli zaidi ya 6 kutoka kwa Aziz Ki katika msimu huu akiwa Yanga.

Aziz Ki, akifikisha hizo takwimu mnitafute nimeweka laki mbili dau mezani.

Kama kuna mtu angependa kupinga hoja yangu, aje na ukweli mtupu nimekaa pale.[emoji117]View attachment 2381780View attachment 2381782
Kuwa na subira,mambo mazuri hayahitaji haraka
 
Naomba kuweka wazi kwanza, mimi ni mwanachama kindaki ndaki wa Dar Young Africans.

Kadi ya uanachama namba: TZDAR03067119

Tusipoteze muda twende moja kwa moja kwenye suala la msingi.

Kwenye soka kuna kitu kimoja cha ajabu sana. Mchezaji anaweza kuwa anajua sana soka (skills & Intelligence) ikawa vizuri sana lakini anaweza kukosa tija Uwanjani.

Ninachomaanisha, kwenye majukumu yake asiweze kukupa namba nzuri (magoli & usaidizi).

Ili tuelewane ninachosema, kwanini tusitegemee makubwa kutoka kwa Aziz Ki, lazima tuangalie utendaji wake huko alikopita kwenye timu zote.

Amecheza timu zifuatazo;[emoji1484]

1. CD RAN ROQUE
Mechi: 24
Goals: 02

2. OMONIA NICOSIA
Mechi: 17
Goals: 0
Assists: 01

3. ASEC MIMOSAS
Mechi 30+
Goals: 04
Assists: 02

4. ARIS LIMASOL
Mechi 5
Goals 0
Assists 0

Wazungu wanasemaga, "Numbers don't lie".

Wakimaanisha ukiwa unafanya vizuri, takwimu zitakubeba na kudhihirisha ubora wako.

Je, wewe kama mwanasoka ambae unafuatilia soka vizuri, hizo namba za Azizi Ki hapo juu zimekuridhisha?

Je, hizo namba hapo juu zinaendana na ubora wake ambao tuliambiwa kabla hajaja?

Je, unadhani kama alishindwa kufanya vizuri kwenye timu zote alizocheza huko nyuma kwanini iwe Yanga ndiyo sehemu ataonyesha uwezo?

Nimeepuka kuongea kwa mihemko na nimeweka namba zake kama msingi wa kujenga hoja yangu kuwa Azizi Ki tusitegemee maajabu makubwa kutoka kwake kwa sababu hata huko alikotoka hakuwa bora kiasi hicho (kutokana na namba - michango, magoli & usaidizi)

Narudia tena kwa Aziz-Ki tuliaminishwa vibaya . Alikua amepaishwa sana kana kwamba ni mchezaji wa daraja la juu wakati kiuhalisia namba zake uwanjani hazionyeshi hilo.

Mimi binafsi, naamini mpaka sasa tulichokiona kwa Azizk Ki ndicho hicho pekee ambacho anaweza kufanya. Hakuna kipya zaidi ambacho ataonyesha. Hakuna suala la kumvumilia, hapo ndipo uwezo na ufanisi wake ulipoishia.

Sitotegemea usaidizi 6, au magoli zaidi ya 6 kutoka kwa Aziz Ki katika msimu huu akiwa Yanga.

Aziz Ki, akifikisha hizo takwimu mnitafute nimeweka laki mbili dau mezani.

Kama kuna mtu angependa kupinga hoja yangu, aje na ukweli mtupu nimekaa pale.[emoji117]View attachment 2381780View attachment 2381782
Ungeweka Dau tako saa hizi ingekuwa unakaribia kupakuliwa.
 
Kuna time inabidi nitumie lugha ngumu maana una ujuaji wa kijinga huyo Chama angekua na hizo akili asingingeshindwa Morocco
Kwa hyo aziz ki kufunga mechi ya simba na ile ya sudan ndo ameshamzidi chama labda ule mdomo kwa hyo kisinda amerudi yanga akiwa shujaa kwani mchezaji kushindwa kufanya vizuri team moja ndio umfananishe na chama labda kuning'iniza mdomo kama ni mpira hata dilunga hamfikii sio chama huko ni kukosa adabu kumfananisha chama na mtoa meno nje ushabiki unakutoa akili.
 
Kwa hyo aziz ki kufunga mechi ya simba na ile ya sudan ndo ameshamzidi chama labda ule mdomo kwa hyo kisinda amerudi yanga akiwa shujaa kwani mchezaji kushindwa kufanya vizuri team moja ndio umfananishe na chama labda kuning'iniza mdomo kama ni mpira hata dilunga hamfikii sio chama huko ni kukosa adabu kumfananisha chama na mtoa meno nje ushabiki unakutoa akili.
Ulitaka afunge kwenye mechi gani labda ili uamini ni mchezaji mzuri, kati ya Chama na Kisinda nani ana profile kubwa? Chama kasha cheza fainali zozote za Africa kwa vilabu?
 
Ulitaka afunge kwenye mechi gani labda ili uamini ni mchezaji mzuri, kati ya Chama na Kisinda nani ana profile kubwa? Chama kasha cheza fainali zozote za Africa kwa vilabu?
Kweli yanga wenye akili ni wawili yanga anahesabika na yeye ni miongoni mwa wachezaji wsliochukua kombe maana alikuwa mchezaji wa berkene na alikuwa na mkataba nao na ndio maana aliporudi simba haikuweza kumtumia tena kwenye Caf champions league umeona ulivyo na kichaa cha mbuzi kisinda huyu anayekimbia kama mbuzi kichaa ndo umfananishe na chama kule alikuwa anacheza kwasababu ya ukongo tu mchezaji anakimbia mpaka anapita kibendera ndo umfananishe na chama kweli ukiwa yanga akili zinaruka.
 
Kweli yanga wenye akili ni wawili yanga anahesabika na yeye ni miongoni mwa wachezaji wsliochukua kombe maana alikuwa mchezaji wa berkene na alikuwa na mkataba nao na ndio maana aliporudi simba haikuweza kumtumia tena kwenye Caf champions league umeona ulivyo na kichaa cha mbuzi kisinda huyu anayekimbia kama mbuzi kichaa ndo umfananishe na chama kule alikuwa anacheza kwasababu ya ukongo tu mchezaji anakimbia mpaka anapita kibendera ndo umfananishe na chama kweli ukiwa yanga akili zinaruka.
Kichaa kimekupanda unarusha matusi badala ya hoja, kama ana ubora huo unaomsea nini kilimtoa huko? Himid Mao pamoja na kusemwa mbovu mwaka wa 7 sasa yupo Egypt hapo, hata yule dogo Kibabage amecheza misimu miwili Morocco huyo wenu nusu msimu kaanza kuimba Narudi nyumbani kama Remmy Ongara
 
Kweli yanga wenye akili ni wawili yanga anahesabika na yeye ni miongoni mwa wachezaji wsliochukua kombe maana alikuwa mchezaji wa berkene na alikuwa na mkataba nao na ndio maana aliporudi simba haikuweza kumtumia tena kwenye Caf champions league umeona ulivyo na kichaa cha mbuzi kisinda huyu anayekimbia kama mbuzi kichaa ndo umfananishe na chama kule alikuwa anacheza kwasababu ya ukongo tu mchezaji anakimbia mpaka anapita kibendera ndo umfananishe na chama kweli ukiwa yanga akili zinaruka.

Aliporudi hakutumika kwa sababu mchezaji mmoja hawezi kucheza hiyo michuano akiwa na timu mbili tofauti. Akili umepeleka wapi?
 
Kwa hyo aziz ki kufunga mechi ya simba na ile ya sudan ndo ameshamzidi chama labda ule mdomo kwa hyo kisinda amerudi yanga akiwa shujaa kwani mchezaji kushindwa kufanya vizuri team moja ndio umfananishe na chama labda kuning'iniza mdomo kama ni mpira hata dilunga hamfikii sio chama huko ni kukosa adabu kumfananisha chama na mtoa meno nje ushabiki unakutoa akili.
Chama ana nini Uarabuni alifeli? Aziz Ki ni MVP wa ligi ya Ivory coast msimu uliopita.
 
Kwa hyo aziz ki kufunga mechi ya simba na ile ya sudan ndo ameshamzidi chama labda ule mdomo kwa hyo kisinda amerudi yanga akiwa shujaa kwani mchezaji kushindwa kufanya vizuri team moja ndio umfananishe na chama labda kuning'iniza mdomo kama ni mpira hata dilunga hamfikii sio chama huko ni kukosa adabu kumfananisha chama na mtoa meno nje ushabiki unakutoa akili.
Makasiriko yote haya kumhusu Kii ni Ile free kick tu basi. No more
 
Chama ana nini Uarabuni alifeli? Aziz Ki ni MVP wa ligi ya Ivory coast msimu uliopita.
Enonga ni mvp wa league ya congo unasemaje na sakho ni mshindi wa goal bora Africa huyo mning'iniza midomo kufunga goal mbili ndo kashamzidi chama
 
Makasiriko yote haya kumhusu Kii ni Ile free kick tu basi. No more
Ndo mlichobakisha hicho mnachangishana hela za waganga kwa ajili ya simba kweli utopolo madishi yameyumba
 
Chama ana nini Uarabuni alifeli? Aziz Ki ni MVP wa ligi ya Ivory coast msimu uliopita.
Kisinda alifaulu mpaka leo yupo uarabuni na ndio anaongoza kwa magoli berkene
 
Aliporudi hakutumika kwa sababu mchezaji mmoja hawezi kucheza hiyo michuano akiwa na timu mbili tofauti. Akili umepeleka wapi?
Elewa hoja ilipoanzia usidandie bomba kwa mbele
 
Back
Top Bottom