Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Kutokana na hali ya ukuaji wa matumizi makubwa ya mitandao habari zimekuwa zinafika kwa wakati.
Hali hii mpaka tufike Uchaguzi Mkuu sidhani kama nyomi zile tulizoziona chaguzi zilizopita zitaweza kuamua nani anakubalika au nani hakubaliki.
Hii nimetoa kama angalizo kwa wale jamaa wakijani waliozoea kusomba watu kuwaleta kwenye mikutano, narudia uchaguzi ujao hautaamuliwa na nyomi za watu kwenye mikutano.
Hali hii mpaka tufike Uchaguzi Mkuu sidhani kama nyomi zile tulizoziona chaguzi zilizopita zitaweza kuamua nani anakubalika au nani hakubaliki.
Hii nimetoa kama angalizo kwa wale jamaa wakijani waliozoea kusomba watu kuwaleta kwenye mikutano, narudia uchaguzi ujao hautaamuliwa na nyomi za watu kwenye mikutano.