NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Jangwani Kuna tatizo! Jangwani Kuna tatizo! Jangwani Kuna tatizo!
Naandika Kama shabiki mkereketwa niliyechoshwa na kelele za wachezaji Tena wachezaji ambao ni mafundi haswaa wa mpira Nani asiyejua ubora wa Feisal Salumu alipokua Yanga Sc na ukienda pale msimbazi huwezi kukuta kiungo mkabaji na mwenye kucheza beki wa Kati Kama Yanick Bangala.
Naam watu wa mpira wameshanielewa Nini NALIA NGWENA naongea kuhusu talanta za Hawa wachezaji, kila nikikumbuka majalo ya Djuma Shabani pamoja na ufundi aliounesha kwenye mechi muhimu ya fainali ya kombe la shirikisho Yes! Hakika alikua bado anastahili kuwa Yanga sc.
UondoKaji wa Feisal Salumu ulileta maswali mengi sana na kuchangiwa na mzaha ndani yake "eti alichoka kula ugali na sukari"
Kwa jicho la pili na wenye akili walielewa Nini kinachoendelea jangwani lakini kwa kuwa Yanga sc ni timu kubwa na wenye mashabiki Lia Lia Basi Jambo lilifunikwa kishabiki zaidi na kesi juu ya Feisal salumu iliamuliwa ikulu.
Je asingefahamika ikulu Kama Denis nkane ama chrisprin Ngusi Nini kingeendelea juu ya talanta ya kijana mdogo (Zanzibar finest)??
Leo zimeibuka tetesi za utovu wa nidhamu za Yanick Bangala na Djuma Shabani kwa kuwa Yaniki bangala na Djuma Shabani bado wanacheza mpira huwezi kusikia wakifunguka juu ya hizo tuhuma Bali wanaacha zigo la miba/misumari liwaangukie ili maisha yaendelee na ndicho kilichotokea kwa Feisal Salumu alipohojiwa "Nini viongozi yanga wamekutendea??
Aligoma katakata kusema.
Nitakua mtu wa mwisho kupiga kelele za kusema Yanick Bangala na Djuma Shabani ni watovu wa nidhamu wakati kilichomuondoa Feisal Salumu hakijulikani ni wazi Kabisa Jangwani Kuna tatizo na si wachezaji.
Nawasilisha hoja.
Naandika Kama shabiki mkereketwa niliyechoshwa na kelele za wachezaji Tena wachezaji ambao ni mafundi haswaa wa mpira Nani asiyejua ubora wa Feisal Salumu alipokua Yanga Sc na ukienda pale msimbazi huwezi kukuta kiungo mkabaji na mwenye kucheza beki wa Kati Kama Yanick Bangala.
Naam watu wa mpira wameshanielewa Nini NALIA NGWENA naongea kuhusu talanta za Hawa wachezaji, kila nikikumbuka majalo ya Djuma Shabani pamoja na ufundi aliounesha kwenye mechi muhimu ya fainali ya kombe la shirikisho Yes! Hakika alikua bado anastahili kuwa Yanga sc.
UondoKaji wa Feisal Salumu ulileta maswali mengi sana na kuchangiwa na mzaha ndani yake "eti alichoka kula ugali na sukari"
Kwa jicho la pili na wenye akili walielewa Nini kinachoendelea jangwani lakini kwa kuwa Yanga sc ni timu kubwa na wenye mashabiki Lia Lia Basi Jambo lilifunikwa kishabiki zaidi na kesi juu ya Feisal salumu iliamuliwa ikulu.
Je asingefahamika ikulu Kama Denis nkane ama chrisprin Ngusi Nini kingeendelea juu ya talanta ya kijana mdogo (Zanzibar finest)??
Leo zimeibuka tetesi za utovu wa nidhamu za Yanick Bangala na Djuma Shabani kwa kuwa Yaniki bangala na Djuma Shabani bado wanacheza mpira huwezi kusikia wakifunguka juu ya hizo tuhuma Bali wanaacha zigo la miba/misumari liwaangukie ili maisha yaendelee na ndicho kilichotokea kwa Feisal Salumu alipohojiwa "Nini viongozi yanga wamekutendea??
Aligoma katakata kusema.
Nitakua mtu wa mwisho kupiga kelele za kusema Yanick Bangala na Djuma Shabani ni watovu wa nidhamu wakati kilichomuondoa Feisal Salumu hakijulikani ni wazi Kabisa Jangwani Kuna tatizo na si wachezaji.
Nawasilisha hoja.