Tusiweke siasa na utu kwa majambazi, ni watu wabaya na hatari wacha wavune walichopanda

Tusiweke siasa na utu kwa majambazi, ni watu wabaya na hatari wacha wavune walichopanda

VAPS

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
5,610
Reaction score
13,168
Ndugu zangu uhai wa binadamu yeyote ni muhimu sana, Ila hata Muumba katika maandiko kadhaa aliongoza vita na mamia wakaangamia.

Ukweli mchungu majambazi wapo ni watu hatari na wabaya wanapoteza uhai wa watu kwa tamaa ya Mali.

Wanamiliki silaha hatari, kuzikodisha na kufanya mipango ovu kupora na ikibidi kupoza uhai kukidhi malengo Yao.

Si wa kuonea huruma, Jeshi letu la polisi na vyombo vya Usalama wanapambana usiku na mchana kukusanya taarifa, kwa bahati mbaya hawawezi na hawapaswi kuandika taarifa hizo kwa kina zinaweza kuongeza hofu na taharuki kakika jamii.

Wajibu wetu Kama raia wema ni kutoa ushirikiano wa taarifa sahihi kwa Wakati.

Tufurahie amani na kuwapa moyo na ushirikiano walinda Usalama wetu.

Hata maandiko matakatifu yanasisitiza upendo, unyenyekevu, na tusiwe wajinga.

Hongereni kikosi kazi endelezeni mapambano kwa waliochagua kuwa majambazi iwe somo kwa wengine Wajue Dolla ipo kwa ajili ya amani na maslahi mapana ya taifa letu.
 
Ndugu zangu uhai wa binadamu yeyote ni muhimu sana, Ila hata Muumba katika maandiko kadhaa aliongoza vita na mamia wakaangamia.

Ukweli mchungu majambazi wapo ni watu hatari na wabaya wanapoteza uhai wa watu kwa tamaa ya Mali.

Wanamiliki silaha hatari, kuzikodisha na kufanya mipango ovu kupora na ikibidi kupoza uhai kukidhi malengo Yao.

Si wa kuonea huruma, Jeshi letu la polisi na vyombo vya Usalama wanapambana usiku na mchana kukusanya taarifa, kwa bahati mbaya hawawezi na hawapaswi kuandika taarifa hizo kwa kina zinaweza kuongeza hofu na taharuki kakika jamii.

Wajibu wetu Kama raia wema ni kutoa ushirikiano wa taarifa sahihi kwa Wakati.

Tufurahie amani na kuwapa moyo na ushirikiano walinda Usalama wetu.

Hata maandiko matakatifu yanasisitiza upendo, unyenyekevu, na tusiwe wajinga.

Hongereni kikosi kazi endelezeni mapambano kwa waliochagua kuwa majambazi iwe somo kwa wengine Wajue Dolla ipo kwa ajili ya amani na maslahi mapana ya taifa letu.
Wavune walichopanda baada ya kufikishwa mahakamani.
 
Ndugu zangu uhai wa binadamu yeyote ni muhimu sana, Ila hata Muumba katika maandiko kadhaa aliongoza vita na mamia wakaangamia.

Ukweli mchungu majambazi wapo ni watu hatari na wabaya wanapoteza uhai wa watu kwa tamaa ya Mali.

Wanamiliki silaha hatari, kuzikodisha na kufanya mipango ovu kupora na ikibidi kupoza uhai kukidhi malengo Yao.

Si wa kuonea huruma, Jeshi letu la polisi na vyombo vya Usalama wanapambana usiku na mchana kukusanya taarifa, kwa bahati mbaya hawawezi na hawapaswi kuandika taarifa hizo kwa kina zinaweza kuongeza hofu na taharuki kakika jamii.

Wajibu wetu Kama raia wema ni kutoa ushirikiano wa taarifa sahihi kwa Wakati.

Tufurahie amani na kuwapa moyo na ushirikiano walinda Usalama wetu.

Hata maandiko matakatifu yanasisitiza upendo, unyenyekevu, na tusiwe wajinga.

Hongereni kikosi kazi endelezeni mapambano kwa waliochagua kuwa majambazi iwe somo kwa wengine Wajue Dolla ipo kwa ajili ya amani na maslahi mapana ya taifa letu.
Naunga mkono hoja!
wakati mwingine polisi sio wajinga kuvamia kwako na kutaka kukagua silaha etc!wanakuwa na taarifa zao za kiitelijensia na ni kweli zipo sahihi!sio lzm siku unayokamatwa ndo uwe umefanya uhalifu, wakati mwingine mtu anafanya uhalifu hata baada ya miezi 2 ndo anakamatwa akiwa katulia kwake na familia!!tusitake kugeneralize makosa ya polisi mtwara kuwa ndo makosa ya polisi wote hata pale ambapo wanafanya kazi yao kwa usahihi!hawa majambazi sijui panya road wacha wachapwe vyuma tu maana wao hawana huruma!wamemuua yule binti mdogo kabisa kule kawe, wamekatisha ndoto zake kisa ujinga tu wa kutaka kupora TV etc!si wangechukua na kuondoka!!why wamuue??na wao wacha wauwawe hvo hvo kimyakimya!

Polisi endeleeni kupiga vyuma tu as long as mmejihakikishia ni wahalifu then piga chuma tu!!haiwezekani serikali ionekane haifanyi kazi kisa kikundi kdg cha wahuni!POLISI KAZI IENDELEE!hata kama ni nani as long as mna uhakika kafanya kosa piga chuma!alale mbele!!!
 
wachapwe tu risasi maana tuna right of self defense.
maana usipo wawahi wanakuuwa wewe....
jambazi ni muuaji hivyo wachapwe shaba.

Majambazi/vibaka/wauza madawa ya kulevya hawa wote ni wauaji na dawa yao ni moto tu.

kama una ndugu au jamaa amabaye dili zake ni uhalifu/ujambazi/uuzaji madawa ya kulevya ni vyema ukamuasa au kuwaasa waachane ni biashara hiyo vinginevyo lazima ale mchanga.
 
Naunga mkono hoja!
wakati mwingine polisi sio wajinga kuvamia kwako na kutaka kukagua silaha etc!wanakuwa na taarifa zao za kiitelijensia na ni kweli zipo sahihi!sio lzm siku unayokamatwa ndo uwe umefanya uhalifu, wakati mwingine mtu anafanya uhalifu hata baada ya miezi 2 ndo anakamatwa akiwa katulia kwake na familia!!tusitake kugeneralize makosa ya polisi mtwara kuwa ndo makosa ya polisi wote hata pale ambapo wanafanya kazi yao kwa usahihi!hawa majambazi sijui panya road wacha wachapwe vyuma tu maana wao hawana huruma!wamemuua yule binti mdogo kabisa kule kawe, wamekatisha ndoto zake kisa ujinga tu wa kutaka kupora TV etc!si wangechukua na kuondoka!!why wamuue??na wao wacha wauwawe hvo hvo kimyakimya!

Polisi endeleeni kupiga vyuma tu as long as mmejihakikishia ni wahalifu then piga chuma tu!!haiwezekani serikali ionekane haifanyi kazi kisa kikundi kdg cha wahuni!POLISI KAZI IENDELEE!hata kama ni nani as long as mna uhakika kafanya kosa piga chuma!alale mbele!!!

True!
Kufa kwetu na wao wapone au kufa kwao na sisi tupone!
NAONA WAFE WAO TU TENA KWA HALAIKI WALAHI
 
Mimi naubga mkono majambazi wanaotumia silaha wauawe papo hapo
Lakini tatizo ni kuwa polisi ni majambazi pia, watatumia fursa hiyo kuua na kupora watu kwa kisingizio kuwa ni majambazi

Polisi wakiua ntu mtu waandike ripoti itakayochunguzwa kisawasawa na taasisi nyingine ambayo sio polisi
 
Naunga mkono hoja!
wakati mwingine polisi sio wajinga kuvamia kwako na kutaka kukagua silaha etc!wanakuwa na taarifa zao za kiitelijensia na ni kweli zipo sahihi!sio lzm siku unayokamatwa ndo uwe umefanya uhalifu, wakati mwingine mtu anafanya uhalifu hata baada ya miezi 2 ndo anakamatwa akiwa katulia kwake na familia!!tusitake kugeneralize makosa ya polisi mtwara kuwa ndo makosa ya polisi wote hata pale ambapo wanafanya kazi yao kwa usahihi!hawa majambazi sijui panya road wacha wachapwe vyuma tu maana wao hawana huruma!wamemuua yule binti mdogo kabisa kule kawe, wamekatisha ndoto zake kisa ujinga tu wa kutaka kupora TV etc!si wangechukua na kuondoka!!why wamuue??na wao wacha wauwawe hvo hvo kimyakimya!

Polisi endeleeni kupiga vyuma tu as long as mmejihakikishia ni wahalifu then piga chuma tu!!haiwezekani serikali ionekane haifanyi kazi kisa kikundi kdg cha wahuni!POLISI KAZI IENDELEE!hata kama ni nani as long as mna uhakika kafanya kosa piga chuma!alale mbele!!!
Umesema vema mkuu, Yapo makundi wengine waajiri, vibarua na wengine wamiliki wa silaha. Polisi wanakuwa na taarifa nyingi na za uhakika, nipongeze muundo wa kikosi kazi maalumu unaongeza ufanisi wa kazi.Vijana hao mashujaa maslahi Yao yaboreshwe wanafanya kazi hatarishi na kujitoa maisha Yao kipekee.
 
Marekani miaka ya 50 huko kuna majambazi walikuwa wanasumbua sana...alifahamika kama delinger
Alikuwa anakamatwa anafungwa jela anatoka lakini akawa anaendelea na uhalifu kama kawa....
FBI,police ilibidi wamuondoeee tu
Maana kulikuwa hakuna namna
Hata bongo pia walikuwepo majambazi watukutu sana nao waliishia hivyo hivyo kufyekwa
Kuna watu wanataka kudeal na jambazi kwa kumpetipeti ......
Jambazi hatakiwi hiyo
Hata wakati wa mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani alipotoaga
Tamko la majambaz wote wasalimishe silaha na waje wakiri mbele yake kuwa hawatorudia tena uhalifu tena kwa maandishi wapo waliyo surrender na wapo waliyogoma
Wale waliyogoma na kuendelea na uhalifu,kilichowakuta wanajuwa wenyewe

Ova
 
Ndugu zangu uhai wa binadamu yeyote ni muhimu sana, Ila hata Muumba katika maandiko kadhaa aliongoza vita na mamia wakaangamia.

Ukweli mchungu majambazi wapo ni watu hatari na wabaya wanapoteza uhai wa watu kwa tamaa ya Mali.

Wanamiliki silaha hatari, kuzikodisha na kufanya mipango ovu kupora na ikibidi kupoza uhai kukidhi malengo Yao.

Si wa kuonea huruma, Jeshi letu la polisi na vyombo vya Usalama wanapambana usiku na mchana kukusanya taarifa, kwa bahati mbaya hawawezi na hawapaswi kuandika taarifa hizo kwa kina zinaweza kuongeza hofu na taharuki kakika jamii.

Wajibu wetu Kama raia wema ni kutoa ushirikiano wa taarifa sahihi kwa Wakati.

Tufurahie amani na kuwapa moyo na ushirikiano walinda Usalama wetu.

Hata maandiko matakatifu yanasisitiza upendo, unyenyekevu, na tusiwe wajinga.

Hongereni kikosi kazi endelezeni mapambano kwa waliochagua kuwa majambazi iwe somo kwa wengine Wajue Dolla ipo kwa ajili ya amani na maslahi mapana ya taifa letu.

Mmemwagwa polisi leo huku mitandaoni kutetea mauaji yenu. Ifahamike nyie polisi hamna weledi wa kazi, hivyo ni kosa kubwa kupora mamlaka ya mahakama kwa kuamua kuwa watuhumu, na watoa hukumu. Nyie hufanyia watu unyama ili wawape rushwa, na wakigoma ndio mnawafanyia mauaji ya kikatili.
 
Naunga mkono hoja!
wakati mwingine polisi sio wajinga kuvamia kwako na kutaka kukagua silaha etc!wanakuwa na taarifa zao za kiitelijensia na ni kweli zipo sahihi!sio lzm siku unayokamatwa ndo uwe umefanya uhalifu, wakati mwingine mtu anafanya uhalifu hata baada ya miezi 2 ndo anakamatwa akiwa katulia kwake na familia!!tusitake kugeneralize makosa ya polisi mtwara kuwa ndo makosa ya polisi wote hata pale ambapo wanafanya kazi yao kwa usahihi!hawa majambazi sijui panya road wacha wachapwe vyuma tu maana wao hawana huruma!wamemuua yule binti mdogo kabisa kule kawe, wamekatisha ndoto zake kisa ujinga tu wa kutaka kupora TV etc!si wangechukua na kuondoka!!why wamuue??na wao wacha wauwawe hvo hvo kimyakimya!

Polisi endeleeni kupiga vyuma tu as long as mmejihakikishia ni wahalifu then piga chuma tu!!haiwezekani serikali ionekane haifanyi kazi kisa kikundi kdg cha wahuni!POLISI KAZI IENDELEE!hata kama ni nani as long as mna uhakika kafanya kosa piga chuma!alale mbele!!!

Unasema tutegemee nia njema (goodwill) ya hawa jamaa?

IMG_20220927_065024_819.jpg


Kwanini wasifuate sheria?

Kwani kina Lissu, Ben, Lijenje, Azory na wale wa kwenye viroba nao unasema je?

Vipi wale wa Zombe?

Vipi wanaojinyonga mikononi mwao hata kwa marapu rapu?

Intelligensia yao makini unayoongelea ni hii itumikayo kukimbizana na vyama vya upinzani?

Ni ombi lako kuwa tuwaamini tu kama dini au misahafu?

NInakazia: "Kupambana na uhalifu kihalifu hakukubaliki"
 
Unasema tutegemee nia njema (goodwill) ya hawa jamaa?

View attachment 2369532

Kwanini wasifuate sheria?

Kwani kina Lissu, Ben, Lijenje, Azory na wale wa kwenye viroba nao unasema je?

Vipi wale wa Zombe?

Vipi wanaojinyonga mikononi mwao hata kwa marapu rapu?

Intelligensia uyao uayoongelea ni hii itumikayo kukimbizana na vyama vya upinzani?

Ni ombi lako kuwa tuwaamini tu kama dini au misahafu?

NInakazia: "Kupambana na uhalifu kihalifu hakukubaliki"
sio wote wenye tabia za kishenzi!so tusiwavunje moyo kupambana na uhalifu kwa sababu ya makosa ya watu wachache!!sasa wahalifu ambao hawasikiii dawa yao ni chuma tuu!hatuwezi kuendelea kuwabembeleza
 
Marekani miaka ya 50 huko kuna majambazi walikuwa wanasumbua sana...alifahamika kama delinger
Alikuwa anakamatwa anafungwa jela anatoka lakini akawa anaendelea na uhalifu kama kawa....
FBI,police ilibidi wamuondoeee tu
Maana kulikuwa hakuna namna
Hata bongo pia walikuwepo majambazi watukutu sana nao waliishia hivyo hivyo kufyekwa
Kuna watu wanataka kudeal na jambazi kwa kumpetipeti ......
Jambazi hatakiwi hiyo
Hata wakati wa mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani alipotoaga
Tamko la majambaz wote wasalimishe silaha na waje wakiri mbele yake kuwa hawatorudia tena uhalifu tena kwa maandishi wapo waliyo surrender na wapo waliyogoma
Wale waliyogoma na kuendelea na uhalifu,kilichowakuta wanajuwa wenyewe

Ova
indeed
hatuwezi kuwalealea majambazi ilihali wao wakikukuta katika anga zao wanakuchapa chuma!na wao wale vyuma tuu hakuna namna!nchi zote duniani ukiwa unasumbua usalama wa nchi kijingajinga unaondolewa tuu!na mm nasema hyo misiba huko temeke iendelee tu mpaka hao vijana wote wajue kuwa uhalifu haulipi!wanakera sana, wamemuua binti wa watu bila kosa lolote halafu mnataka wao tuwabembeleze!????polisi wenyewe wanasema wengi wao ni wazoefu ie wanafungwa wanatoka wanafungwa wanatoka so dawa yao ni shaba tuu!!
 
Ndugu zangu uhai wa binadamu yeyote ni muhimu sana, Ila hata Muumba katika maandiko kadhaa aliongoza vita na mamia wakaangamia.

Ukweli mchungu majambazi wapo ni watu hatari na wabaya wanapoteza uhai wa watu kwa tamaa ya Mali.

Wanamiliki silaha hatari, kuzikodisha na kufanya mipango ovu kupora na ikibidi kupoza uhai kukidhi malengo Yao.

Si wa kuonea huruma, Jeshi letu la polisi na vyombo vya Usalama wanapambana usiku na mchana kukusanya taarifa, kwa bahati mbaya hawawezi na hawapaswi kuandika taarifa hizo kwa kina zinaweza kuongeza hofu na taharuki kakika jamii.

Wajibu wetu Kama raia wema ni kutoa ushirikiano wa taarifa sahihi kwa Wakati.

Tufurahie amani na kuwapa moyo na ushirikiano walinda Usalama wetu.

Hata maandiko matakatifu yanasisitiza upendo, unyenyekevu, na tusiwe wajinga.

Hongereni kikosi kazi endelezeni mapambano kwa waliochagua kuwa majambazi iwe somo kwa wengine Wajue Dolla ipo kwa ajili ya amani na maslahi mapana ya taifa letu.
Wanatakiwa wavunwe wote wakawe malighafi huko kaburini.
 
Marekani miaka ya 50 huko kuna majambazi walikuwa wanasumbua sana...alifahamika kama delinger
Alikuwa anakamatwa anafungwa jela anatoka lakini akawa anaendelea na uhalifu kama kawa....
FBI,police ilibidi wamuondoeee tu
Maana kulikuwa hakuna namna
Hata bongo pia walikuwepo majambazi watukutu sana nao waliishia hivyo hivyo kufyekwa
Kuna watu wanataka kudeal na jambazi kwa kumpetipeti ......
Jambazi hatakiwi hiyo
Hata wakati wa mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani alipotoaga
Tamko la majambaz wote wasalimishe silaha na waje wakiri mbele yake kuwa hawatorudia tena uhalifu tena kwa maandishi wapo waliyo surrender na wapo waliyogoma
Wale waliyogoma na kuendelea na uhalifu,kilichowakuta wanajuwa wenyewe

Ova
Ni wapuuzi wa haki za binadamu. Enzi za JPM walipotea kabisa na sera zao za utu kwanza ameingia SSH wamerudi kwa kasi ya ajabu.
 
Wananchi na wanasiasa wanaopinga udhalimu wa CCM kwa mujibu wa katiba yetu ndiyo unawaita kuwa ni majambazi?🐒🐒🐒

 
Huko Mtwara juzi tu hapa kijana mfanyabiashara wa madini kauwawa na polisi nakuporwa kisha kuvikwa "beji" ya ujambazi.

Kesi bado mbichi halafu watu mnajitokeza tena kushabikia "jungle justice".

Kwa polisi hawa,wanaweza kufa innocents wengi zaidi kuliko hata majambazi.
 
Endeleeni kujitetea wenyewe ila kaeni mkijua mnaua raia wasiokuwa na hatia huku mkiwasingizia ni majambazi siku yenu yaja na ikaribu mno nasi tutafurahia
 
Back
Top Bottom