Tusiweke siasa na utu kwa majambazi, ni watu wabaya na hatari wacha wavune walichopanda

Tusiweke siasa na utu kwa majambazi, ni watu wabaya na hatari wacha wavune walichopanda

Huko Mtwara juzi tu hapa kijana mfanyabiashara wa madini kauwawa na polisi nakuporwa kisha kuvikwa "beji" ya ujambazi.

Kesi bado mbichi halafu watu mnajitokeza tena kushabikia "jungle justice".

Kwa polisi hawa,wanaweza kufa innocents wengi zaidi kuliko hata majambazi.
Hayo mambo kwa baadhi ya polisi kuwepo ni kawaida
Polisi kote huko duniani kuna good cops and bad cops
Hapa tunaangalia sasa namna ya kudeal na majambazi nk,dawa ni kuwa fyeka

Ova
 
sio wote wenye tabia za kishenzi!so tusiwavunje moyo kupambana na uhalifu kwa sababu ya makosa ya watu wachache!!sasa wahalifu ambao hawasikiii dawa yao ni chuma tuu!hatuwezi kuendelea kuwabembeleza
Nani mgeni na polisi hawa ndugu? Samia anajua. Wewe unajua. Hata wao wanajua:

"Ukisikia mtuhumiwa kafia mikononi mwao, usiwasikilize!"
 
Kweli kuna baadhi ya tunaoambiwa ni majambazi wanaweza wasiwe na hatia, lakini polisi wanafanyakazi nzuri kuyadhibiti majaambazi, haswa waliojihami kwa selaha za moto. Ambao wameshakumbana na ujambazi wanajua machungu na maruerue yake. Ambao hawajakutana nayo, wataendelea kulilia haki za binadamu huku wakisahau kuwa raia wema waadhirika wa ujambazi wana haki pia.
 
Back
Top Bottom