Lugano Edom
Senior Member
- Dec 2, 2021
- 122
- 186
Wanafunzi wa YESU /WAFUASI WA YESU KRISTONi nani aliyekuwa akiambiwa hayo maneno? 🤒
1 Wakorintho 6:9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu.
3 Yohana 1:11