Tetesi: Tutaelewana taratibu; Ukitoa pesa kwa wakala wa pesa Jina liwe la jinsia tofauti na yako hutakiwi kupewa pesa zaidi ya kukamatwa

Tetesi: Tutaelewana taratibu; Ukitoa pesa kwa wakala wa pesa Jina liwe la jinsia tofauti na yako hutakiwi kupewa pesa zaidi ya kukamatwa

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Mfano wewe Ni jinsia ya kiume (Me) ukaenda kutoa pesa kwa wakala halafu jina lionekane mtoaji aliyetoa ni jinsia ya kike (KE)! Utaratibu wa Sasa hutakiwi kupewa pesa hiyo vinginevyo Ikitokea iwe Ni kwa huruma ya wakala!

Utaratibu kwa Sasa wenye majina yenye mashaka sahivi unapaswa kuonesha vitambulisho au kutoa maelezo polisi vinginevyo labda uende ukiwa umevaa wigi na dera ndo ukatoe!
 
Mfano wewe Ni jinsia ya kiume (Me) ukaenda kutoa pesa kwa wakala halafu jina lionekane mtoaji aliyetoa ni jinsia ya kike (KE)! Utaratibu wa Sasa hutakiwi kupewa pesa hiyo vinginevyo Ikitokea iwe Ni kwa huruma ya wakala!

Utaratibu kwa Sasa wenye majina yenye mashaka sahivi unapaswa kuonesha vitambulisho au kutoa maelezo polisi vinginevyo labda uende ukiwa umevaa wigi na dera ndo ukatoe!
Kwa mfano mm naitwa Amani inakuaje apo, maana kuna Amani wa kiume na wapo mademu wanaitwa Amani.?
 
Mfano wewe Ni jinsia ya kiume (Me) ukaenda kutoa pesa kwa wakala halafu jina lionekane mtoaji aliyetoa ni jinsia ya kike (KE)! Utaratibu wa Sasa hutakiwi kupewa pesa hiyo vinginevyo Ikitokea iwe Ni kwa huruma ya wakala!

Utaratibu kwa Sasa wenye majina yenye mashaka sahivi unapaswa kuonesha vitambulisho au kutoa maelezo polisi vinginevyo labda uende ukiwa umevaa wigi na dera ndo ukatoe!
tutarudi benki
 
Hicho hakiwezi kufanyika itauwa biashara .. hakuna wakala atakae kataa mteja kwa sababu zisizo mashiko maana hata kwenye kutoa hela mtu anatakiwa awe na kitambulisho! Sasa nani anafata..?
Kama kuna kosa lakufanya basi wafanye hivyo waone hayo mapato yatakavyowapata..
 
Mfano wewe Ni jinsia ya kiume (Me) ukaenda kutoa pesa kwa wakala halafu jina lionekane mtoaji aliyetoa ni jinsia ya kike (KE)! Utaratibu wa Sasa hutakiwi kupewa pesa hiyo vinginevyo Ikitokea iwe Ni kwa huruma ya wakala!

Utaratibu kwa Sasa wenye majina yenye mashaka sahivi unapaswa kuonesha vitambulisho au kutoa maelezo polisi vinginevyo labda uende ukiwa umevaa wigi na dera ndo ukatoe!
hapo sasa ndipo tutakapojua pesa za ukweli zinakaa benki na si kwa wakala.

hakuna namna sasa hivi ni kutumia tu "financial services " halafu una click "mpesa/tigopesa to bank".
 
Hiyo mitandao ya simu inajua hatari itakayowakumba endapo wataruhusu utaratibu, kuna uwezekano mkubwa kupoteza wateja wengi.

BTW ni utaratibu mzuri sanaa kwaajili ya kupunguza na kukomesha wizi wa kimtandao.
 
Mfano wewe Ni jinsia ya kiume (Me) ukaenda kutoa pesa kwa wakala halafu jina lionekane mtoaji aliyetoa ni jinsia ya kike (KE)! Utaratibu wa Sasa hutakiwi kupewa pesa hiyo vinginevyo Ikitokea iwe Ni kwa huruma ya wakala!

Utaratibu kwa Sasa wenye majina yenye mashaka sahivi unapaswa kuonesha vitambulisho au kutoa maelezo polisi vinginevyo labda uende ukiwa umevaa wigi na dera ndo ukatoe!
leta source kwanza acha tantalila tantalila
 
Source pls,maana so far naona bado ni tetesi...
 
Hivi lini serikali itatulipa fedha zetu wastaafu?

Kazi kutunga sheria tu kwa hela zisizo zao.

Fao la kujitoa hakuna, wakati huo huo mnasema vijana wajiajiri.

Mmmh, hivi niko nje ya topic ama!
 
Wakati hizi huduma za kutoa fedha kwa wakala kwa simu zinaanza tulikuwa tunalazimishwa kusaini kwenye yale mavitabu ila sasa hakuna mwendo mdundo nikitoa naondoka zangu.

Hata hili litakaa sawa tu mbele ya safari na maisha yataendelea kama kawaida.

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
 
Ni utaratibu ambao upo tangu zamani i.e unatakiwa uwe na kitambulisho chenye majina sawa na uliosajalia simcard yako sema huu utaratibu haufuatwi na mawakala walio wengi,wachache wanaomba kitambulisho kama unatoa kiasi kikubwa cha fedha.
 
Duuuh mimi natumia namba ya mke wangu mbona patakuwa patamu hapo.
 
Back
Top Bottom