Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazingua hawaKwahiyo shida ni jinsia sio majina! Kama Mimi ni Sebastian na nikienda ikatokea jina la Lazaro hakuna shida sio
Sent from my Redmi Note 6 Pro using JamiiForums mobile app
Nimecheka kwa sauti aise... You made my eveningMbona guest tunaendaga na cheti cha ndoa na tunapata huduma[emoji3][emoji3][emoji3]
Hujambo..?Nimecheka kwa sauti aise... You made my evening
Mfano wewe Ni jinsia ya kiume (Me) ukaenda kutoa pesa kwa wakala halafu jina lionekane mtoaji aliyetoa ni jinsia ya kike (KE)! Utaratibu wa Sasa hutakiwi kupewa pesa hiyo vinginevyo Ikitokea iwe Ni kwa huruma ya wakala!
Utaratibu kwa Sasa wenye majina yenye mashaka sahivi unapaswa kuonesha vitambulisho au kutoa maelezo polisi vinginevyo labda uende ukiwa umevaa wigi na dera ndo ukatoe!
Sijambo shikamooHujambo..?
Kwa mfano mm naitwa Amani inakuaje apo, maana kuna Amani wa kiume na wapo mademu wanaitwa Amani.?
Kwa Puerto Rico inawezekana Sheria za kukandamiza wananchi zinatolewa haraka na kusainiwa tuu ili waishi kama wanavyotaka wao...
wananyakua kimya kimyaSource pls,maana so far naona bado ni tetesi...