Tetesi: Tutaelewana taratibu; Ukitoa pesa kwa wakala wa pesa Jina liwe la jinsia tofauti na yako hutakiwi kupewa pesa zaidi ya kukamatwa

Tetesi: Tutaelewana taratibu; Ukitoa pesa kwa wakala wa pesa Jina liwe la jinsia tofauti na yako hutakiwi kupewa pesa zaidi ya kukamatwa

😀 😀 😀 😀 😀 Duh eti uende umevalia dera na wigi
 
Hawawezi kufikia huko kote ilihali wanajua wazi watu wamesajiliana line na hii namna ya wenye hawana lone za majina yao ni wengi sana,hii ni biashara inaingiza kodi pia,wakizidi kukazia kupita kiasi basi kuna namna ya kumhujumu tu Rais wetu maana wananchi ndo wataumia na tutalaumu sana,maana yake tutarudi kumlaumu Rais,yamkini huko sehemu husika wanamhujumu mpendwa wetu tunaye muamini sana na yeye anatupambania kweli kweli
Mfano wewe Ni jinsia ya kiume (Me) ukaenda kutoa pesa kwa wakala halafu jina lionekane mtoaji aliyetoa ni jinsia ya kike (KE)! Utaratibu wa Sasa hutakiwi kupewa pesa hiyo vinginevyo Ikitokea iwe Ni kwa huruma ya wakala!

Utaratibu kwa Sasa wenye majina yenye mashaka sahivi unapaswa kuonesha vitambulisho au kutoa maelezo polisi vinginevyo labda uende ukiwa umevaa wigi na dera ndo ukatoe!
 
Kwa Puerto Rico inawezekana Sheria za kukandamiza wananchi zinatolewa haraka na kusainiwa tuu ili waishi kama wanavyotaka wao...
 
Back
Top Bottom