Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Eti kitanda cha laki tano kimekuwa ml 8 uongo uongo uongo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti kitanda cha laki tano kimekuwa ml 8 uongo uongo uongo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naunga hojaSio Kila bidhaa mlengwa ni wewe, Kila biashara Ina soko inalolenga ndio maana chips kuku hiyo hiyo utauziwa elfu 5 mbagala ila ukienda machimbo ya masaki huko utauziwa elfu 30.
Hiyo bei ni kubwa kwako ila wateja wao ni mahoteli makubwa, mabalozi, political class, business moguls n.k so wanaiweka bei inayoakisi thamani ya wateja wao.
So usishtuke sana quality ni Ile Ile tofauti ni market segment tu.
Kwa hivi vitanda tunavyolalia migongo inauma balaa wacha tuendelee kujipa moyo tu..These are preces for the rich, on quality side ni cha kawaida sana hata kuliko vya akina sie.
Inaitwa market segregationSio Kila bidhaa mlengwa ni wewe, Kila biashara Ina soko inalolenga ndio maana chips kuku hiyo hiyo utauziwa elfu 5 mbagala ila ukienda machimbo ya masaki huko utauziwa elfu 30.
Hiyo bei ni kubwa kwako ila wateja wao ni mahoteli makubwa, mabalozi, political class, business moguls n.k so wanaiweka bei inayoakisi thamani ya wateja wao.
So usishtuke sana quality ni Ile Ile tofauti ni market segment tu.
Samahani kidogo umesema ni milioni tisa au milioni 19?Nakumbuka niliendaga pale lifemate kuna sofa nililiona nikauliza bei tena ilikua msimu wa punguzo yule dada akaniambia m19 nilitoka haraka nikijua kabisa nimeingia sehemu isio sahihi kwangu mwishoe nikaishia kwenda keko nikamuungisha mwanangu 😂😂😂😂😂
Tanda lenyewe baya labda wawauzie magabacholiMh, hiyo bei ya kitanda na jinsi kilivyo!!!!!!!!Tutafute hela tu kwa kweli!!!!!!Ukiongea sana utaonekana una nongwa!!!!!!!!!!!! Pita kule na hiyo ni ofa ya punguzo!!!!!!!
GSM
View attachment 2714621
Aisee 😃😃😃Tanda lenyewe baya labda wawauzie magabacholi
Think in terms of DollarMh, hiyo bei ya kitanda na jinsi kilivyo!!!!!!!!Tutafute hela tu kwa kweli!!!!!!Ukiongea sana utaonekana una nongwa!!!!!!!!!!!! Pita kule na hiyo ni ofa ya punguzo!!!!!!!
GSM
View attachment 2714621
Hapana quality haiwezi kuwa sawa, nimelala hotel nyingi za Nyota mbalimbali ukweli ni kwamba kuna kulala na kupitisha usiku.Sio Kila bidhaa mlengwa ni wewe, Kila biashara Ina soko inalolenga ndio maana chips kuku hiyo hiyo utauziwa elfu 5 mbagala ila ukienda machimbo ya masaki huko utauziwa elfu 30.
Hiyo bei ni kubwa kwako ila wateja wao ni mahoteli makubwa, mabalozi, political class, business moguls n.k so wanaiweka bei inayoakisi thamani ya wateja wao.
So usishtuke sana quality ni Ile Ile tofauti ni market segment tu.
Mkuu ni milioni 19 yaani milioni kumi na tisa na hapo wana discount ya 30% kama sijasahauSamahani kidogo umesema ni milioni tisa au milioni 19?
Aloooh!!Hapana quality haiwezi kuwa sawa, nimelala hotel nyingi za Nyota mbalimbali ukweli ni kwamba kuna kulala na kupitisha usiku.
Wengi tunapitisha usiku tu ndio maana back pain hazituishi, godoro la laki NNE ni kutumia miezi miwili tu au 6 siyo miaka unadanganywa alinunuwa babu mpaka Mjukuu analitumia.
Wanalala wenye vitanda vya milioni kumi na tisa. Sisi wengine tunapitisha usiku!Hebu nile nanasi langu nikalale mie.