Tutafute jina lingine mbadala wa Mkuu

Kama tutaweza kulibadirisha hili KUCHAKATA/CHAKATWA/MBUSUSU
Basi hilo la mkuu ni jepesi sana
 
Hili jina lilikuja automatically hivyo acha tu liendelee kutumika hayo mengine hapana ni Ujinga mtupu mkuu.
 
YANI HAO ULIOWAITA WAJINGA TENA UWAPE UONGOZI.Acha masihara
 
Mkaruka!
 
Mkuu wacha izo. Maneno yanakuja yenyewe tume ya nini? Mkuu halikuundiwa tume, papuchi halikuundiwa tume, mbususu halijaundiwa tume, na sasa chawa wala halijaundiwa tume.
 
Huyo kiongozi anamuongoza nani?
 
Tuliache, nasikia ukifikia ngazi Fulani katika kundi la freemason unaitwa "Mkuu".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…