Road Traffic Signal
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 621
- 1,958
Kama alivyoibadilishia mume wakoHiyo 'ndu' kwenye mwili wako ndo haina heshima? Labda kama umeibadilishia matumizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alivyoibadilishia mume wakoHiyo 'ndu' kwenye mwili wako ndo haina heshima? Labda kama umeibadilishia matumizi.
YANI HAO ULIOWAITA WAJINGA TENA UWAPE UONGOZI.Acha masiharaHabari.
Kwa mtazamo wangu naona kabisa neno "MKUU" limepitwa na wakati hapa JamiiForums.
Ninapendekeza iundwe Tume mpya kwa ajili ya kupata mchakato wa jjna mpya.
Kwanini nasema hivi, wakati najiunga jf sio kwa id hii watu wengi walikuwa na hekima na weredi wa hali ya juu ,ila kwa sasa wajinga wamekuwa wengi na wameweza kulishusha hadhi ya hili jina hata lishindwe kutumika tena.
Nakaribisha mapendekezo.,mimi ningependa litumike Kiongozi.
Mkaruka!Habari.
Kwa mtazamo wangu naona kabisa neno "MKUU" limepitwa na wakati hapa JamiiForums.
Ninapendekeza iundwe Tume mpya kwa ajili ya kupata mchakato wa jjna mpya.
Kwanini nasema hivi, wakati najiunga jf sio kwa id hii watu wengi walikuwa na hekima na weredi wa hali ya juu ,ila kwa sasa wajinga wamekuwa wengi na wameweza kulishusha hadhi ya hili jina hata lishindwe kutumika tena.
Nakaribisha mapendekezo.,mimi ningependa litumike Kiongozi.
Tata!Tumekupata mkuu, umeokiongea kiukuu sana mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Itumike Mkurugenzi
Huyo kiongozi anamuongoza nani?Habari.
Kwa mtazamo wangu naona kabisa neno "MKUU" limepitwa na wakati hapa JamiiForums.
Ninapendekeza iundwe Tume mpya kwa ajili ya kupata mchakato wa jjna mpya.
Kwanini nasema hivi, wakati najiunga jf sio kwa id hii watu wengi walikuwa na hekima na weredi wa hali ya juu ,ila kwa sasa wajinga wamekuwa wengi na wameweza kulishusha hadhi ya hili jina hata lishindwe kutumika tena.
Nakaribisha mapendekezo.,mimi ningependa litumike Kiongozi.