Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
Habari.
Kwa mtazamo wangu naona kabisa neno "MKUU" limepitwa na wakati hapa JamiiForums.
Ninapendekeza iundwe Tume mpya kwa ajili ya kupata mchakato wa jjna mpya.
Kwanini nasema hivi, wakati najiunga jf sio kwa id hii watu wengi walikuwa na hekima na weredi wa hali ya juu ,ila kwa sasa wajinga wamekuwa wengi na wameweza kulishusha hadhi ya hili jina hata lishindwe kutumika tena.
Nakaribisha mapendekezo.,mimi ningependa litumike Kiongozi.
Kwa mtazamo wangu naona kabisa neno "MKUU" limepitwa na wakati hapa JamiiForums.
Ninapendekeza iundwe Tume mpya kwa ajili ya kupata mchakato wa jjna mpya.
Kwanini nasema hivi, wakati najiunga jf sio kwa id hii watu wengi walikuwa na hekima na weredi wa hali ya juu ,ila kwa sasa wajinga wamekuwa wengi na wameweza kulishusha hadhi ya hili jina hata lishindwe kutumika tena.
Nakaribisha mapendekezo.,mimi ningependa litumike Kiongozi.