Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MKuu Ujinga mtupuHabari.
Kwa mtazamo wangu naona kabisa neno "MKUU" limepitwa na wakati hapa jamiiforum.
Ninapendekeza iundwe Tume mpya kwa ajili ya kupata mchakato wa jjna mpya.
Kwanini nasema hivi.. wakati najiunga jf sio kwa id hii watu wengi walikuwa na hekima na weredi wa hali ya juu ,ila kwa sasa wajinga wamekuwa wengi na wameweza kulishusha hadhi ya hili jina hata lishindwe kutumika tena.
Nakaribisha mapendekezo.,mimi ningependa litumike Kiongozi.
Umesema point mkuuHabari.
Kwa mtazamo wangu naona kabisa neno "MKUU" limepitwa na wakati hapa jamiiforum.
Ninapendekeza iundwe Tume mpya kwa ajili ya kupata mchakato wa jjna mpya.
Kwanini nasema hivi.. wakati najiunga jf sio kwa id hii watu wengi walikuwa na hekima na weredi wa hali ya juu ,ila kwa sasa wajinga wamekuwa wengi na wameweza kulishusha hadhi ya hili jina hata lishindwe kutumika tena.
Nakaribisha mapendekezo.,mimi ningependa litumike Kiongozi.
Nakazia hapa mkuuMkuu linaleta hali fulani ya kuheshimiana na kuleta usawa
Mkuu hauna nidhamu mkuu!Tuongezee "ndu" mwisho wa hilo jina letu la awali.
Kama hapo mwanzoni werevu, wastaarabu na wenye hekima tuliitana 'mkuu' lakini sasa hivi wajinga, wapumbavu na wahuni wamekuwa wengi humu na hawana hadhi ya kuwa referred to as 'mkuu' basi hiyo suffix 'ndu' iwekwe mwishoni ili wawe wamepata jina linaloendana na hadhi yao, au nakosea mkuu?
Ukitupa suggestions mbalimbali itasaidia mkuuHabari.
Kwa mtazamo wangu naona kabisa neno "MKUU" limepitwa na wakati hapa jamiiforum.
Ninapendekeza iundwe Tume mpya kwa ajili ya kupata mchakato wa jjna mpya.
Kwanini nasema hivi.. wakati najiunga jf sio kwa id hii watu wengi walikuwa na hekima na weredi wa hali ya juu ,ila kwa sasa wajinga wamekuwa wengi na wameweza kulishusha hadhi ya hili jina hata lishindwe kutumika tena.
Nakaribisha mapendekezo.,mimi ningependa litumike Kiongozi.
Hiyo 'ndu' kwenye mwili wako ndo haina heshima? Labda kama umeibadilishia matumizi.Tuongezee "ndu" mwisho wa hilo jina letu la awali.
Kama hapo mwanzoni werevu, wastaarabu na wenye hekima tuliitana 'mkuu' lakini sasa hivi wajinga, wapumbavu na wahuni wamekuwa wengi humu na hawana hadhi ya kuwa referred to as 'mkuu' basi hiyo suffix 'ndu' iwekwe mwishoni ili wawe wamepata jina linaloendana na hadhi yao, au nakosea mkuu?