Tutafute jina lingine mbadala wa Mkuu

Tutafute jina lingine mbadala wa Mkuu

Tuongezee "ndu" mwisho wa hilo jina letu la awali.

Kama hapo mwanzoni werevu, wastaarabu na wenye hekima tuliitana 'mkuu' lakini sasa hivi wajinga, wapumbavu na wahuni wamekuwa wengi humu na hawana hadhi ya kuwa referred to as 'mkuu' basi hiyo suffix 'ndu' iwekwe mwishoni ili wawe wamepata jina linaloendana na hadhi yao, au nakosea mkuu?
 
Habari.

Kwa mtazamo wangu naona kabisa neno "MKUU" limepitwa na wakati hapa jamiiforum.

Ninapendekeza iundwe Tume mpya kwa ajili ya kupata mchakato wa jjna mpya.

Kwanini nasema hivi.. wakati najiunga jf sio kwa id hii watu wengi walikuwa na hekima na weredi wa hali ya juu ,ila kwa sasa wajinga wamekuwa wengi na wameweza kulishusha hadhi ya hili jina hata lishindwe kutumika tena.

Nakaribisha mapendekezo.,mimi ningependa litumike Kiongozi.
MKuu Ujinga mtupu
 
Mkuu, unaonaje tukitanguliza neno " Muungwana" 🤔
 
Habari.

Kwa mtazamo wangu naona kabisa neno "MKUU" limepitwa na wakati hapa jamiiforum.

Ninapendekeza iundwe Tume mpya kwa ajili ya kupata mchakato wa jjna mpya.

Kwanini nasema hivi.. wakati najiunga jf sio kwa id hii watu wengi walikuwa na hekima na weredi wa hali ya juu ,ila kwa sasa wajinga wamekuwa wengi na wameweza kulishusha hadhi ya hili jina hata lishindwe kutumika tena.

Nakaribisha mapendekezo.,mimi ningependa litumike Kiongozi.
Umesema point mkuu
Ngoja tuliangalie hili nalo, likifaa mbona wazo lako litapita bila kupingwa mkuu
 
Kwa heshima kuu niliyonayo kwako mkuu mi naona Ni Bora tuendelee tu kutumia neno mkuu mkuu
 
Tuongezee "ndu" mwisho wa hilo jina letu la awali.

Kama hapo mwanzoni werevu, wastaarabu na wenye hekima tuliitana 'mkuu' lakini sasa hivi wajinga, wapumbavu na wahuni wamekuwa wengi humu na hawana hadhi ya kuwa referred to as 'mkuu' basi hiyo suffix 'ndu' iwekwe mwishoni ili wawe wamepata jina linaloendana na hadhi yao, au nakosea mkuu?
Mkuu hauna nidhamu mkuu!
 
Habari.

Kwa mtazamo wangu naona kabisa neno "MKUU" limepitwa na wakati hapa jamiiforum.

Ninapendekeza iundwe Tume mpya kwa ajili ya kupata mchakato wa jjna mpya.

Kwanini nasema hivi.. wakati najiunga jf sio kwa id hii watu wengi walikuwa na hekima na weredi wa hali ya juu ,ila kwa sasa wajinga wamekuwa wengi na wameweza kulishusha hadhi ya hili jina hata lishindwe kutumika tena.

Nakaribisha mapendekezo.,mimi ningependa litumike Kiongozi.
Ukitupa suggestions mbalimbali itasaidia mkuu
 
Liendelee kutumika maana linafit kwa gender zote.

Pia unaweza kutumia Kiongozi/Chief/Ndugu etc
 
Tunapoelekea siyo pazuri.Tutaanza kuitana chawa si muda.
Mimi:Eee ndiyo nakupata chawa wangu!
Yeiyee:Haina kwere mkare wake.Weye ndiye chawa kimbwa chawa wangu.Basi tutacheki big chawa.
 
Tuongezee "ndu" mwisho wa hilo jina letu la awali.

Kama hapo mwanzoni werevu, wastaarabu na wenye hekima tuliitana 'mkuu' lakini sasa hivi wajinga, wapumbavu na wahuni wamekuwa wengi humu na hawana hadhi ya kuwa referred to as 'mkuu' basi hiyo suffix 'ndu' iwekwe mwishoni ili wawe wamepata jina linaloendana na hadhi yao, au nakosea mkuu?
Hiyo 'ndu' kwenye mwili wako ndo haina heshima? Labda kama umeibadilishia matumizi.
 
Back
Top Bottom