Tutaje Kampuni, Taasisi, au Mabosi ambao Wanajali Wafanyakazi

Tutaje Kampuni, Taasisi, au Mabosi ambao Wanajali Wafanyakazi

GenuineMan

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2017
Posts
6,260
Reaction score
14,470
Kuna uzi humu unaongelea makampuni ambayo hayajari wafanyakazi wake., wengine wananyanyasa kabisa wafanykazi.

Upande mwingine kuna makampuni au Taasisi ambazo zinajari wafanyakazi au waajiriwa, nao wanastahiri kutambuliwa na kupewa pongezi hapa JF.

Mimi naanza na Boss wa Tronic, kampuni ya vifaa vya umeme iliyopo jijini DSM.

Zijafanya kazi hapo ila sifa zake nzuri nimezisikia kutoka kwa watu wangu wa karibu.

Mshahara kwa wakati,
Parcel za vyakula kila baada ya muda fulani.
Posho za sikukuu,
Kulipia ada za watoto wa wafanyakazi n.k

Twende kazi...
 
JMT, nasikia waajiri ndo wamekuwa waajiriwa, waajiri feki wanakula bata, namba E zinakwenda kwa kasi ya mwanga...chawa ni profesheni mpya, uzenji ni kwalifikesheni ya upigaji....
 
EAST AFRICA BORNWOOD COMPANY.

MAFINGA IRINGA TZ.

Mshahara wanalipa kwa wakati na ni pesa nono bonasi pia ni nyingi.

Boss anajali sana wafanyakazi na hapendi viongozi wa chini waishi kwa matabaka dhidi ya wanaowasimamia.
 
Kwa sisi Afisa Ubashiri mambo sio mabaya. Mkeka ukitiki Kanji hakuzungushi, unapata pesa yako chap
 
Sandvik Tanzania ukipata Kazi ya profession hapo umetoka... Mlinzi tu analipwa zaidi ya 700,000/=
 
Back
Top Bottom