Tutaje wilaya zenye barabara mbovu za vijijini

Tutaje wilaya zenye barabara mbovu za vijijini

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna council hawajui tu kutengeneza barabara wao hata barabara ya kuunganisha wilaya na wilaya za tanroad unakuta wanasubiri MWENGE upite ndo iburuzwe. kwangu mimi aisee nikiwa kama mkazi wa kusini halmshauri ya nachingwea na tunduru wanazingua sana Tena wilaya kongwe na zenye kila kitu mazao, Madini, kambi za jeshi lakini kwenye barabara washamba sana sijajua wanafeli wapi.
 
Geita vijijini,kahama, simanjiro,kiteto, Kahana,songwe,chunya, mbulu, karatu, kondoa,chema,Hai,
 
Kuna council hawajui tu kutengeneza barabara wao hata barabara ya kuunganisha wilaya na wilaya za tanroad unakuta wanasubiri MWENGE upite ndo iburuzwe. kwangu mimi aisee nikiwa kama mkazi wa kusini halmshauri ya nachingwea na tunduru wanazingua sana Tena wilaya kongwe na zenye kila kitu mazao, Madini, kambi za jeshi lakini kwenye barabara washamba sana sijajua wanafeli wapi.
Barabara hazisimamiwi na halmashauri
 
Bonyokwa aisee kule sijui ni wilaya gani
Barabara mbovu vilima vya hatari usafiri bado kidogo ubinuke tikitaka
 
Back
Top Bottom