Tutaje wilaya zenye barabara mbovu za vijijini

Tutaje wilaya zenye barabara mbovu za vijijini

Nani alikwambia uchague upinzani.
Kama kuna majimbo yenye barabara zenye afadhali ni zile zilizowahi kuwa na wabunge wapinzani lakini yale majimbo yaliyotawaliwa na CCM milele huko ukifika hata kwa miguu inakwama hadi uvutwe na D8 mfano mkoa wote wa Morogoro Dodoma utadhani wanaishi gorillas peke yake
 
Back
Top Bottom