ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Barabara hazisimamiwi na halmashauriKuna council hawajui tu kutengeneza barabara wao hata barabara ya kuunganisha wilaya na wilaya za tanroad unakuta wanasubiri MWENGE upite ndo iburuzwe. kwangu mimi aisee nikiwa kama mkazi wa kusini halmshauri ya nachingwea na tunduru wanazingua sana Tena wilaya kongwe na zenye kila kitu mazao, Madini, kambi za jeshi lakini kwenye barabara washamba sana sijajua wanafeli wapi.
Ndo hata kuburuza kweli wawasubiri taruraBarabara hazisimamiwi na halmashauri
Akili mbovu kama Magufuli.Nani alikwambia uchague upinzani.
pale gairo vumbi mwanzo mwisho kama wapo jangwaniGairo, mikumi,
Halafu wameng'ang'ana na Shabiby wao utadhani hayo mabasi wanapanda bure.pale gairo vumbi mwanzo mwisho kama wapo jangwani
Usipolipa hela ya kivuko utapiga mbizi hakuna kubembelezana hapa kazi tu.Akili mbovu kama Magufuli.